Mtaa gani wanaomsifia mama? Hahahaha au huko Dubai? Mtaani huku hakuna anayemuelewa mama
Hakuna anayepinga hitaji la katiba ila sio kipaumbele cha Watanzani kwa sasa,Sasa kama katiba ina mrinda kiongozi asishitakiwe akiwa madarakani au baada ya kutoka madarakan unategemea huyo kiongozi akitumia fedha za umma vibaya kuna hatua yeyote itachukuliwa juu yake ikiwa katiba ya nchi inampa kinga ya maovu yake? Muongozo(katiba) mbaya matokeo yake huwa mabaya pia
Uko sahii 100%Mama Samia hana sababu ya kupinga ile rasimu ya katika iliyopendekezwa kwasababu mpaka sasa hana makando kando!!! Kikwete aliitia kwapani ile rasimu ya katiba kwasababu ya ufisadi wake; kwani aliogopa angetiwa kitanzi kama rafiki yake Zuma kule bondeni!!!
Sijazungumzia katiba mpya ila nimepinga hii kauli yako "Wizi ni hulka za watu wala sio zao la katiba"Hakuna anayepinga hitaji la katiba ila sio kipaumbele cha Watanzani kwa sasa,
Ndio Maana Rais Samia ameahidi kulimaliza tatizo la wanasiasa wanataka katiba kwa manufaa yao tu,Sijazungumzia katiba mpya ila nimepinga hii kauli yako "Wizi ni hulka za watu wala sio zao la katiba"
Kuhusu ktiba mpya hilo limekaa kisiasa zaidi kusema sio kipaumbele xha watanzania kwa sasa ni mbinu za kutumia ujinga wetu(maana ata iliyopo watu hawaijui) kama hoja ya kujitetea. Jiulize kwan kipindi walipoanzisha mchakato wa katiba mpya awamu ya nne kwan huo mchakato ulikuwani kipaumbele cha watanzania?
Nzuri mno Mulokozijr12Mama anafanya kazi nzuri sana.
HakikaNzuri mno Mulokozijr12
Mulokozijr12Mama anafanya kazi nzuri sana.
Niambie Mkuu.
Sana kabisaMama anafanya kazi nzuri sana.
ππChadema ππ chetu kinatuharibia siku zote
Hakika tutapiga bao sana,Kila la heri Mheshimiwa Rais Mama Samia afanikishe hili.
Kila la heri Mheshimiwa Rais Mama Samia afanikishe hili.
Baa Jesuswhat u meant plse...baa vichaa?
GoodNdio Maana Rais Samia ameahidi kulimaliza tatizo la wanasiasa wanataka katiba kwa manufaa yao tu,
Kenya wanakatiba nzuri sana Africa ila ndio wanaongoza kwa ufisadi so wizi ni hulka za watu sio uwepo wa katiba mbovu,
Mlituambia hivyo hivyo kwa Kikwete, Mwinyi na Magufuli. We know you are paid for freezing our brain.Mabeberu yanazingatia mambo makubwa matatu,
1. Utawala wa Sheria jambo ambalo Rais Samia kaliweka vizuri,
2.Political Stability hili dunia inajua Tanzania ni nchi ya kidemokrasia ndio maana kule Konde ACT ikashinda mabeberu wanataka hayo,
3. Wanataka kuweko na Sera tabirika za Uchumi Rais Samia amefanya hili,
4. Wanataka Usalama wakutosha kwa wao na mali zao hili halina Shaka Tanzania,
#Awamu hii mama anamaliza mchezo,
Sio ni Uzalendo tu unawasukuma?Mlituambia hivyo hivyo kwa Kikwete, Mwinyi na Magufuli. We know you are paid for freezing our brain.