Elections 2015 Kama atasoma hapa Mh. Magufuli ahailishe kugombea ubunge jimbo la Chato

Elections 2015 Kama atasoma hapa Mh. Magufuli ahailishe kugombea ubunge jimbo la Chato

Ni sawa na mbunge wa Handeni, kulizwa tuna shida ya maji utatutaliaje hili tatizo, kajibu mnataka nikakojoe bwawani? Wabunge wote wa CCM hawana akili
Tena kigoda ana madharau sana ***yule serukamba
 
Ni sawa na mbunge wa Handeni, kulizwa tuna shida ya maji utatutaliaje hili tatizo, kajibu mnataka nikakojoe bwawani? Wabunge wote wa CCM hawana akili

Si kweli wote hawana akili, sema baadhi hawana tafakuri nzuri mbele za watu wao. Wapo wazuri ila "system" imewakaba!
 
kajuka,

"ahailishe" ndio nini?
 
Last edited by a moderator:
Nimepewa taarifa sina hakika ka ni true, kwamba Miaka ya 1999/2000 akiwa kijiji cha Buzirayombo ndg Magufuri aliulizwa swali na bwana Sarawe kuhusu utoaji wa tractor za kulima jimboni humo hasa maeneo hayo ya B'yombo na jamaa akajubu eti hata kwao baba na mama yake hajawaletea itawezekanaje ninyi yaani wanabuzirayombo!
 
Mkuu pamoja na kauli tatanishi za Dk Magufuli, lakini binafsi naupenda sana utendaji kazi wake kwa kuwa ni mtu wa kufuata kanuni. Jambo hili limewashinda viongozi wengi na ndicho kitu kilichopelekea hata Sokoine kuwa mfano wa viongozi wa kuigwa hata sasa.

watu8; Sasa hiyo siyo tetesi tena bali ukweli mtupu, harafu mtu asiye na staha wala kujua namna ya kuituliza mioyo ya masikini eti yupo kwenye timu ya wanaoutaka Urais lol!
 
Ila kweli ubinadamu kazi, uyu mh. magufuri hata kama ana kauli mbaya, ila watu wa CHATO hawana shukrani kwa uyu jamaa.

Kiukweli hapa tanzania kwa sasa hakuna wilaya inayopaa kwa maendeleo kama chato, tuachane na mambo ya kisiasa, chato kwa sasa ni wilaya ya mfano katika Tanzania, kwanza ni wilaya yenye miaka 6, yaani imeanzishwa mwaka 2007 ila mpaka sasa ni wilaya inayotegemea kuwa na maji ya bomba kuja kufika mwezi wa tisa,

Ni wilaya ambayo barabara zake zote zinapitika kwa wakati wote katika mwaka, Ni wilaya yenye umeme ingawa ni wa jenereta, ni wilaya yenye barabara ya rami yenye urefu wa zaidi ya Km 100,

Ni wilaya yenye rami karibia mitaa yote ya chato mjini. Jamaa kajitahidi kufanya vitu hivi vyote lakini watu hata hawamkubali pamoja na mapungufu yake.

Jamaa kaleta miradi ya kutosha hapa wilayani iliyotoa ajira kwa vijana, ila kumbuka nabii hathaminiwi nyumbani hat siku moja.

Pia haya majungu yanatoka kwa vijana wa vijiweni hasa pale chato mjini ambao wanataka kila jamaa akija wampe umbea ili awape angalau vijisent, ila jamaa hana tabia ya kugawa ela, yeye anataka watu wafanye kazi kuliko kukaa kijiweni.

Kitu kingine ni kuwa hawa watu wa chato ni wavivu sana, kukaa sana vijiweni pamoja na majungu! Hawataki kufanya kazi wamekalia majungu tu!

Pia jamaa aliwaambia kuwa kamwe hawatakaa waajiriwe Halmashauri kwa kuwa kulikuwa na kiwanda cha pamba hapa chato ambacho kilikuwa na wazawa wa kutosha toka hapa chato ila badala ya kufanya kazi na kukiendeleza hiki kiwanda, wao walijikita katika kukifilisi, kuiba mafuta, vifaa mbali mbali vya kiwanda mpaka kikafa

Hapo sasa ndo hasira zilimjaa na kuwaambia " Kwa kuwa mmekifilisi na kukiua hiki kiwanda kamwe hamtaajiriwa katika halmashauri hii" hapo ndo kikawa chanzo cha kumchukia ingawa jamaa alikuwa anawaambia ukweli.

Nayasema haya kwa kuwa 2011 nilikuwa chato na nilikaa hapo miaka 3.
 
Magufuri na Muhongo yaani kwenye KAULI zao huwa nachoka!
Uzuri rasimu inasema WAZIRI marufuku kuwa Mbunge!
 
Mleta mada ni shabiki Fulani Wa kuchafua jina la mtu,anafahamu Kabisa MAgufuri si malaika na anafahamu vile vile kuwa si wana chato wote wangempenda.kwa hiyo analeta ushawishi aliotumwa na waliomtuma.
 
Ila kweli ubinadamu kazi, uyu mh. magufuri hata kama ana kauli mbaya, ila watu wa CHATO hawana shukrani kwa uyu jamaa.

Kiukweli hapa tanzania kwa sasa hakuna wilaya inayopaa kwa maendeleo kama chato, tuachane na mambo ya kisiasa, chato kwa sasa ni wilaya ya mfano katika Tanzania, kwanza ni wilaya yenye miaka 6, yaani imeanzishwa mwaka 2007 ila mpaka sasa ni wilaya inayotegemea kuwa na maji ya bomba kuja kufika mwezi wa tisa,

Ni wilaya ambayo barabara zake zote zinapitika kwa wakati wote katika mwaka, Ni wilaya yenye umeme ingawa ni wa jenereta, ni wilaya yenye barabara ya rami yenye urefu wa zaidi ya Km 100,

Ni wilaya yenye rami karibia mitaa yote ya chato mjini. Jamaa kajitahidi kufanya vitu hivi vyote lakini watu hata hawamkubali pamoja na mapungufu yake.

Jamaa kaleta miradi ya kutosha hapa wilayani iliyotoa ajira kwa vijana, ila kumbuka nabii hathaminiwi nyumbani hat siku moja.

Pia haya majungu yanatoka kwa vijana wa vijiweni hasa pale chato mjini ambao wanataka kila jamaa akija wampe umbea ili awape angalau vijisent, ila jamaa hana tabia ya kugawa ela, yeye anataka watu wafanye kazi kuliko kukaa kijiweni.

Kitu kingine ni kuwa hawa watu wa chato ni wavivu sana, kukaa sana vijiweni pamoja na majungu! Hawataki kufanya kazi wamekalia majungu tu!

Pia jamaa aliwaambia kuwa kamwe hawatakaa waajiriwe Halmashauri kwa kuwa kulikuwa na kiwanda cha pamba hapa chato ambacho kilikuwa na wazawa wa kutosha toka hapa chato ila badala ya kufanya kazi na kukiendeleza hiki kiwanda, wao walijikita katika kukifilisi, kuiba mafuta, vifaa mbali mbali vya kiwanda mpaka kikafa

Hapo sasa ndo hasira zilimjaa na kuwaambia " Kwa kuwa mmekifilisi na kukiua hiki kiwanda kamwe hamtaajiriwa katika halmashauri hii" hapo ndo kikawa chanzo cha kumchukia ingawa jamaa alikuwa anawaambia ukweli.

Nayasema haya kwa kuwa 2011 nilikuwa chato na nilikaa hapo miaka 3.

Pamoja unachozungumza kuwa na ukweli kiasi chake lakini pia tambua magufuli ilifikia wakati akashindwa kuelewana na uongozi wa halmashauri hasa alipolazimisha wafanyakazi wapange kwenye nyumba zake, akafanya hiana kwa mdogo wake ili arithi mali za baba ake. Jamaa ni mbinafsi ameua bandari ya chato.....
 
Pamoja unachozungumza kuwa na ukweli kiasi chake lakini pia tambua magufuli ilifikia wakati akashindwa kuelewana na uongozi wa halmashauri hasa alipolazimisha wafanyakazi wapange kwenye nyumba zake, akafanya hiana kwa mdogo wake ili arithi mali za baba ake. Jamaa ni mbinafsi ameua bandari ya chato.....

wenye akili timamu tunatambua utendaji kazi wa magufuli,umbea na maneno maneno tumeshayazoea na ndio sifa ya wajinga.Katika baraza la JK nani kama magufuli ktk utendaji kazi? Licha ya kuingiliwaingiliwa kiutendaji jamaa anapiga kazi na matunda yanaonekana.Watz tumezoea kubwabwaja tu,magufuli hajatangaza nia ya kugombea urais,mafisi wengine wenye uchu na madaraka akina LOWASA,SITTA na MEMBE wanahangaika usiku na mchana,hawa hawafai hata kidogo
 
Watu hawamtaki, sisa za ubinafsi na kauli mbovu, wakati anautubia mkutano wa hadhara ktk jimbo lake la chato mwanamke mmoja alimuuliza" mh, ktk jimbo letu tunashida na maji unatusaidiaje?" mh akamwambia kojoeni mikojo yenu na muikinge mpate maji. Akiwa buziku ktk jimbo lake wananchi wakamuuliza, "mh kwetu lami itapita lini?" akajibu tafuteni mavi ya ng'ombe myapake barabarani yawe lami. Magufuli kwa heri 2015 huna chako tena.

Tutasema Bora Kikwete.

Huyu jamaa ana kauli chafu.
 
Hata aliyekuwa mbunge wa jimboni kwetu ilemela alikuwa na majibu mabaya balaa kuna mwananchi aliwahi muuliza swali kuwa mh. kwetu umeme utafika lini nae alijibu kwa kuuliza swali kua je wewe ulieuliza swali unanyumba ya kuvuta umeme?
HAWANA MAJB MAZR

Hayo ni matokeo ya ulevi wa kuwa madarakani kwa muda mrefu bila mabadiliko. Hivyo utawakuta wanatumia uzoefu tofauti na taratibu na kanuni za uongozi.

Kumbuka hata mgonjwa anapougua sana tena kwa muda mrefu, hufikia wakati ambapo ukimsalimia huwa anajibu, nimeamka salama isipokuwa tu ni ule ugonjwa wangu. Unaona, mwisho wa siku anabaki kuwa mmiliki wa ugonjwa kana kwamba alizaliwa nao, kumbe ni ile hali tu ya kuugua kwa muda mrefu.

Tukiwa na mfumo wa uongozi wa kubadilishana, majibu yote ya kejeli yataisha maana kuna watu wanadhani kuwa kabla yao hapakuwa na viongozi, na hawatakuwapo baada yao.
 
Dr Magufuli ni kiboko ya UKAWA. Mtatoa povu weee lakini ndo rais wenu mwisho wa siku. Hivi nyie bavicha niwaulize swali mgombea wenu ni nani huko UKAWA?
 
Mleta mada inaonekana hata shule hajaenda sijaona hoja zake za msingi .
Nenda shule kwanza ndipo uwe unaongea mbele za watu wenye akili na walioenda shule.
 
Hata aliyekuwa mbunge wa jimboni kwetu ilemela alikuwa na majibu mabaya balaa kuna mwananchi aliwahi muuliza swali kuwa mh. kwetu umeme utafika lini nae alijibu kwa kuuliza swali kua je wewe ulieuliza swali unanyumba ya kuvuta umeme?
HAWANA MAJB MAZR

Hii ni kweli na ndio kauli iliyomtoa ANTONY DIALO ilemela mana na aliulizwa barabara ziboleshwe akajibu nyinyi hamna magari barabara za nini?
 
Back
Top Bottom