Elections 2015 Kama atasoma hapa Mh. Magufuli ahailishe kugombea ubunge jimbo la Chato

Elections 2015 Kama atasoma hapa Mh. Magufuli ahailishe kugombea ubunge jimbo la Chato

Ndugu zangu si kwamba watu wanamchukia Magufuli hayo yanayoandikwa ni kweli huyu Bwana anamajibi machafu sana kwa wapigakura wake na wananchi kwa ujumla kwa kuwa rocords zipo za video na sauti yake naomba wadau wenye nazo watengeneze vopande vidogo vidogo vya maneno hayo na wavirushe kwenye mitandao ili watanzania waamini haya sio kwamba tunamchukia amefanya hivyo sio tu jimboni kwake hata sehemu nyingine kama kigamboni pia alitukana madereva kipindi kile cha sakata la mizigo kwenye maroli na tukumbuke mwalimu alichokisema ukizoea kula nyama za watu hauta acha sio kwamba akiwa rais ataacha tabia hii chafu kwani ipo ndani yake
 
bavicha hadithi zenu za sijui Dr Magufuli ni mzuri lakini atawajali wazee hivyo hafai tumezichoka na haziuziki tena. mnapinga mtu bila kuonesha mbadala wa kwenu ni nani mbona mko kimyaa? mnajifariji tu humu ndani.

Oooh Magufuli ana maamuzi magumu sasa mnataka awe na mepesi kama ya Mtei ya kuzuia chama chake kisikubari Lipumba awe mgombea urais wa UKAWA.
 
Mtahangaika Sana na makufuli ndiyo huyo tena acha heshima irudi
 
Jamaa ndo Rais hautaki hama nchi!! alipo chukua fomu mlisema akipita anafaa ko mlikua mnatania? wenzenu wamefanya kweli
 
[QUOTE=Watu8;Utendaji upi aliyekuwanayo ni ule wa uuzaji wa nyumba za serikali na bara2 zisizokuwa na viwango?apana jpm
 
Ila kweli ubinadamu kazi, uyu mh. magufuri hata kama ana kauli mbaya, ila watu wa CHATO hawana shukrani kwa uyu jamaa.

Kiukweli hapa tanzania kwa sasa hakuna wilaya inayopaa kwa maendeleo kama chato, tuachane na mambo ya kisiasa, chato kwa sasa ni wilaya ya mfano katika Tanzania, kwanza ni wilaya yenye miaka 6, yaani imeanzishwa mwaka 2007 ila mpaka sasa ni wilaya inayotegemea kuwa na maji ya bomba kuja kufika mwezi wa tisa,

Ni wilaya ambayo barabara zake zote zinapitika kwa wakati wote katika mwaka, Ni wilaya yenye umeme ingawa ni wa jenereta, ni wilaya yenye barabara ya rami yenye urefu wa zaidi ya Km 100,

Ni wilaya yenye rami karibia mitaa yote ya chato mjini. Jamaa kajitahidi kufanya vitu hivi vyote lakini watu hata hawamkubali pamoja na mapungufu yake.

Jamaa kaleta miradi ya kutosha hapa wilayani iliyotoa ajira kwa vijana, ila kumbuka nabii hathaminiwi nyumbani hat siku moja.

Pia haya majungu yanatoka kwa vijana wa vijiweni hasa pale chato mjini ambao wanataka kila jamaa akija wampe umbea ili awape angalau vijisent, ila jamaa hana tabia ya kugawa ela, yeye anataka watu wafanye kazi kuliko kukaa kijiweni.

Kitu kingine ni kuwa hawa watu wa chato ni wavivu sana, kukaa sana vijiweni pamoja na majungu! Hawataki kufanya kazi wamekalia majungu tu!

Pia jamaa aliwaambia kuwa kamwe hawatakaa waajiriwe Halmashauri kwa kuwa kulikuwa na kiwanda cha pamba hapa chato ambacho kilikuwa na wazawa wa kutosha toka hapa chato ila badala ya kufanya kazi na kukiendeleza hiki kiwanda, wao walijikita katika kukifilisi, kuiba mafuta, vifaa mbali mbali vya kiwanda mpaka kikafa

Hapo sasa ndo hasira zilimjaa na kuwaambia " Kwa kuwa mmekifilisi na kukiua hiki kiwanda kamwe hamtaajiriwa katika halmashauri hii" hapo ndo kikawa chanzo cha kumchukia ingawa jamaa alikuwa anawaambia ukweli.

Nayasema haya kwa kuwa 2011 nilikuwa chato na nilikaa hapo miaka 3.

Ni kweli ulivyosema. Na utakuta hapo mjini wafitini ndiyo wengi. Vijana wengi hapo town ni wavivu sana
 
hawa wbnge wa ccm bwana. Nakei wa babati aliwahi ulizwa khs barabara akawajibu bara2 mtaifanyaje mm ndo mwenye gari tu.
 
Watu hawamtaki, sisa za ubinafsi na kauli mbovu, wakati anautubia mkutano wa hadhara ktk jimbo lake la chato mwanamke mmoja alimuuliza" mh, ktk jimbo letu tunashida na maji unatusaidiaje?" mh akamwambia kojoeni mikojo yenu na muikinge mpate maji. Akiwa buziku ktk jimbo lake wananchi wakamuuliza, "mh kwetu lami itapita lini?" akajibu tafuteni mavi ya ng'ombe myapake barabarani yawe lami. Magufuli kwa heri 2015 huna chako tena.

Mwakafulani alikuja Biharamlo akaombwa na mwananchi kuwa tunaomba utuwekee lami barabara inayotoka Bukoba kwenda kijiji cha Lusahunga ili tuweze kupata maendeleo,Yeye alijibu kuwa kama barabara ya lami inaleta maendeleo,kule kijiji cha Lusahunga imepita barabara ya lami inayotoka Rwanda kwenda Kahama nenda ukajenge nyumba yako Lusahunga kwenye lami uone kama lami itakuletea maendeleo.
 
Kumpa kura Magufuli inatakiwa uwe na maamuzi magumu vinginevyo huwezi ukampa kura yako ni bora kura yako ukaitumbukize chooni ikatafunwe na funza wa chooni.
 
Yanatimia...Kama yalivyonenwa na manabii
 
Back
Top Bottom