Kama Barua yenu kwa Spika Ndugai imeitwa 'Kipeperushi' mkienda kukutana na Rais Samia angalieni tu asiwaite 'Wapuuzi' pia

Kama Barua yenu kwa Spika Ndugai imeitwa 'Kipeperushi' mkienda kukutana na Rais Samia angalieni tu asiwaite 'Wapuuzi' pia

Unachangia ki CHADEMA na si KIAKILI.
Kwhy miaka 5 ya uspika wa ndugai amesimamia nn cha maana Kama sio kupoteza muda na akina Lema ..Ni kiongozi wa hovyo never ever happen under strong institution as parliament
 
Ni kweli Spika Ndugai ana 'Mapungufu' yake, ila na Mimi GENTAMYCINE sasa taratibu naanza kuona pia kuna Matatizo ya 'Kimsingi' kwa upande wa Wapinzani ( hasa CHADEMA ) juu ya madai yao ama kwa Serikali au kwa Chama Tawala ( CCM )

Ushauri wangu tu Kwenu Marafiki zangu wa 'Kidemokrasia' nchini Tanzania CHADEMA kama Spika Ndugai kasema 'andiko' mlilompelekea ni 'Kipeperushi' basi nawaombeni mno anzeni Kujipanga hasa 'Kihoja' mnapojiandaa kwenda kukutana na Rais Samia katika Siku mtakayopangiwa ili baada ya kuonana nae asije kuwaita 'Wapuuzi' kwa yale mtakayoyawasilisha Kwake ambayo mmeyapania kweli kweli.

Kwa aina ya Uzungumzaji ule wa Spika Ndugai na ukiiangalia na 'body language' yake ( tena huku akijiamini kabisa ) tusifichane hapa ni lazima tu kutakuwa na Shida Kubwa ya 'Kiutendaji' kwa CHADEMA ila 'inafichwa' ama 'inafunikwa' tu kwa Mgongo wa Mapungufu ya Serikali na Chama Tawala chake cha CCM.

Ni wakati sasa wa Watu Makini ( Waelewa ) kuacha sana Kumshutumu Spika Ndugai 'Kimazoea' au kwa 'Kumkariri' na sasa tugeuke 'Kuwakosoa' hawa CHADEMA ili mwisho wa Siku tutende Haki kwa wote na tusijiingize katika 'Dhambi' ya kuja Kuitwa Wanafiki, Waongo na Wazushi tu wa Masuala.

CHADEMA anzeni 'Kujitathmini' haraka.
Bado unaabudu makucha ya maiti aliyeko kuzimu now? Huwezi kuwa sawa kichwani wewe. Anyway Mungu ni mwema nyir mkiobaki hamna madhara kivile.
 
Sukuma gang mnapoteza muda. Alishindwa Ibilisi Jiwe ninyi mtaweza wapi? CHADEMA is there to stay forever.
 
Ni kweli Spika Ndugai ana 'Mapungufu' yake, ila na Mimi GENTAMYCINE sasa taratibu naanza kuona pia kuna Matatizo ya 'Kimsingi' kwa upande wa Wapinzani ( hasa CHADEMA ) juu ya madai yao ama kwa Serikali au kwa Chama Tawala ( CCM )

Ushauri wangu tu Kwenu Marafiki zangu wa 'Kidemokrasia' nchini Tanzania CHADEMA kama Spika Ndugai kasema 'andiko' mlilompelekea ni 'Kipeperushi' basi nawaombeni mno anzeni Kujipanga hasa 'Kihoja' mnapojiandaa kwenda kukutana na Rais Samia katika Siku mtakayopangiwa ili baada ya kuonana nae asije kuwaita 'Wapuuzi' kwa yale mtakayoyawasilisha Kwake ambayo mmeyapania kweli kweli.

Kwa aina ya Uzungumzaji ule wa Spika Ndugai na ukiiangalia na 'body language' yake ( tena huku akijiamini kabisa ) tusifichane hapa ni lazima tu kutakuwa na Shida Kubwa ya 'Kiutendaji' kwa CHADEMA ila 'inafichwa' ama 'inafunikwa' tu kwa Mgongo wa Mapungufu ya Serikali na Chama Tawala chake cha CCM.

Ni wakati sasa wa Watu Makini ( Waelewa ) kuacha sana Kumshutumu Spika Ndugai 'Kimazoea' au kwa 'Kumkariri' na sasa tugeuke 'Kuwakosoa' hawa CHADEMA ili mwisho wa Siku tutende Haki kwa wote na tusijiingize katika 'Dhambi' ya kuja Kuitwa Wanafiki, Waongo na Wazushi tu wa Masuala.

CHADEMA anzeni 'Kujitathmini' haraka.
Ungepost na hicho kinachodaiwa kipeperushi mkuu, tuone ni kipeperushi au la.
 
Kwhy miaka 5 ya uspika wa ndugai amesimamia nn cha maana Kama sio kupoteza muda na akina Lema ..Ni kiongozi wa hovyo never ever happen under strong institution as parliament
Tumia 'Hoja' katika Kuchangia uwapo JF.
 
Tumia 'Hoja' katika Kuchangia uwapo JF.
Umesahau kuwa ww ndio agent wa siasa chafu humu mzee wa kusifu na kuabudu!!!

Au ilikuwa ni akili ya fursa . Hoja yako ww Ni ipi happy kuunga mkono uvunjifu wa kanuni za muhimili..ww huna hoja Kama Mataga wengine tu
 
Umesahau kuwa ww ndio agent wa siasa chafu humu mzee wa kusifu na kuabudu!!!

Au ilikuwa ni akili ya fursa . Hoja yako ww Ni ipi happy kuunga mkono uvunjifu wa kanuni za muhimili..ww huna hoja Kama Mataga wengine tu
Huyu ndio miongoni mw awasiojulikana. Anajitahidi kuunga mkono Mama lakini nafsi inamkatalia.
 
Kwa mtu mwenye akili timamu kabla hata ya kuijadiri barua ya Chadema to spika angejiuliza, je utaratibu wa kuwapata hao wabunge wa viti maalumu ulifuatwa? Mjinga mmoja anaweza kujibu haraka haraka tu kwamba yes ulifatwa, swali litakua, hivi Husna alijaza saa ngapi zile form while alikua rumande? Enzi za Mwendazake, Chadema walikua na jeuri ya kwenda kumjazisha mwana chama wao magereza form tena usiku na wakafanikiwa hadi kumtoa? Mleta uzi wewe ni msomi wa degree ya SAUT, basi usifanye watu either waidharau degree yako au chuo ulicho soma.
 
Umesahau kuwa ww ndio agent wa siasa chafu humu mzee wa kusifu na kuabudu!!!

Au ilikuwa ni akili ya fursa . Hoja yako ww Ni ipi happy kuunga mkono uvunjifu wa kanuni za muhimili..ww huna hoja Kama Mataga wengine tu
Hauna 'IQ' kubwa ya 'Kujibizana' nami.
 
Back
Top Bottom