Kama binadamu wote wataenda Peponi au Jehanamu vipi kuhusu wanyama wengine?

Kama binadamu wote wataenda Peponi au Jehanamu vipi kuhusu wanyama wengine?

So unamaanisha kumuuza mnyama ni dhambi? Pia kama nimekuelewa vizuri mnyama aliyemtendea mnyama mwingine uovu ataadhibiwa kabla ya kugeuzwa vumbi (chui wote wataadhibiwa sababu chui anaweza ua wanyama sita akala mmoja?)
Mwadamu anaruhusiwa kumuuwa kwa ajili ya kuuza nyama apate fedha,nyama ya kula na nahitaji mengineyo,ila hairuhusiwi kumuua mnyama bila sababu ya msingi labda awe hatari kwa uhai wako,mharibifu WA mazao au muenezaji WA magonjwa,,ama mnyama huweza kumuwinda mnyama mwingine kwa ajili ya kula pia,,hayo sio makosa Hata unapomuona chui anauwa wanyama wawili na kula mmoja sio makosa kwa sababu either atamla hiyo mwingine baadaye au pia asipomla ataliwa na wanyama wengine ambayo hawawezi kuwinda wanyama wakubwa ,,,na kwa mnyama aliye mpiga mwenzake pembe au mateke bila sababu ya kujilinda lazima atahukumiwa kabla hajageuzwa kuwa vumbi
 
Kama ukisema hiyo ni pumba. Unaamini nini pumba ya kuwa utafufuliwa. Vipi unaamini pumba kwamba utalipwa. Vipi pumba ya kuwa eti kuna pepo na moto. Vipi unaamini ukifa kuna maisha mengine kabla ya siku ya hukumu. Pumba, pumba, pumba. Unavyoita maneno ya Mungu ni pumba basi wewe unauwezo mzuri wa kusema kuliko yule aliye kuumba PUMBA WEWE
 
Maandiko ya awali ya kiebrania yanaonyesha palikuwa na dampo nje ya mji wa Jerusalem ambalo moto wake ulikuwa hauzimiki.
Yesu katika mahubiri yake alisema ambao hawafuati neno lake, katika utawala wake watatolewa kwenye mji mtakatifu na kutupwa kwenye shimo la jehena kama takataka.
Karne chache zilizofuatia maandiko yalitafsiriwa kwenda kigiriki , kirumi na lugha nyinginezo. Jehena ikaitwa jehanam, na ikatafsiriwa kama sehemu yenye moto wa milele iliyoumbwa na mungu.
Kimsingi katika siku zaba za uumbaji mungu hakuumba moto wa milele kwa ajili ya adhabu.
Dini zilizofuata baada ya uyahudi zilibeba dhana ya Jehanam, ambayo haipo.
Nimekuuliza wewe.umetokea duniani ghafla.au kuna sehemu ulikuwa[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Wale wataalamu wa mambo ya kidini awe Muislam au Mkristo au hata Mhindu naomba kueleweshwa kuhusu Peponi na Jehanamu.

Imekua kawaida ya binadamu kujizungumzia yeye mwenyewe kwamba ndio ataenda peponi au Jehanamu lakini tukirudi katika vitabu vya dini tunaambiwa Mungu alituumba sisi pamoja na wanyama wengine kama Ng'ombe,Kuku, Mbwa nk.

Sasa swali langu ni je baada ya hao wanyama kufa either kwa kuliwa na sisi binadamu au kwa namna nyingine nao wataenda Mbinguni ?

Kwenda Peponi au Jehanamu kunatokana na jinsi mtu alivyoishi hapa duniani katika mpendeza Mungu au kuwa Muovu na kuishia motoni. Matendo ya kila mtu yanarekodiwa na mwisho wa siku kila mtu anapata haki yake. Ndege na wanyama hawana dhambi kwa maana hawajui baya wala zuri la kutenda So hakuna hukumu juu yao kwa maana hawana ufahamu wa kujua zuri wala baya.

Adamu aliamuliwa na Mungu atunze bustani wanyama na ndege ni chakula kwake.

Haya ni kwa Imani ya kikristo.

Au ulifikiri kuna mnyama anastahiri hukumu siku ya mwisho? Nguruwe je? au simba?
 
Mungu akuumba jehanam, na wala akuumba pepo ili binadamu akae.
Sehemu aliyoumbiwa binadamu kukaa ni dunia.
Kama kuna kufufuliwa basi ni hapahapa duniani.
kweli mkuu hio jehnam lni kwajili ya shetan tu sie tutabaki hapahapa
 
Kwani kuna mtu aliyekwenda huko peponi au jehanamu atupe ushaidi tucendelee kuumiza vichwa kama hakuna kwann tuamini vipi na kwa nn pasiwe na ushahid
Kama hakuna ushahidi bac hiyo pepo wala jehanam hakuna wactutishe waache tuendelee kula bata
 
Kwani kuna mtu aliyekwenda huko peponi au jehanamu atupe ushaidi tucendelee kuumiza vichwa kama hakuna kwann tuamini vipi na kwa nn pasiwe na ushahid
Kama hakuna ushahidi bac hiyo pepo wala jehanam hakuna wactutishe waache tuendelee kula bata
Ukifa utaenda kujionea mwenyewe[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
wao nao wana kiunganishi chao na aliyewaumba.....ya kaisari muachie kaisari......
kwa mfano kule jahanamu au peponi....ukijikuta upo peke yako...fikra ya kwanza utawaza ng'ombe na mbuzi ndio wakuondolee upweke...??...la hasha utawawaza wanadamu wenzako..........hali kadharika..wanyama nao wameumbiwa mahala pao.....
 
Back
Top Bottom