Acha kufananisha German na vitu vya kijingajinga kama Yanga.Uwezo aliokuwa nao Yanga ni mkubwa tena ni wa kutisha katika medani za soka barani africa. kiukweli kweli kabisa Marumo Gallant walikuwa hatari sana na wakalala mabao mawili kwao africa kusini.
Recodi hii inanipa ubavu wa kuamini 100% ya kuwa Yanga kesho ataifunga algeria timu ya USM Alger bila ya wasi wasi. Mungu ibariki YASC. forward ever not turning back!
Nasimama pale na maji yangu makubwa, kabla hayajaisha mtaniambia. Hamtakaa msahau hii fainali.Nasemajeeee nasemajeeee tunapindua jamviiiii
Amarula inaongea hapa πππππ
#WHYNOTUS#
#KUPINDUAJAMVIKWANISHINGAPI#
#KAMAWEWESIYANGANIMKOSAVYOTE#
#TIMUYAWANANCHINDIYOWANANCHI#
SINCE 1935
Yanga wote tukeshe na vinywaji mezani, nasemajeeee timu ni moja tu Tz YANGA π°π°π°π°π°π°π°π°π°π°π°π°