Kama Brazil alifungwa kwao na German kwa nini USM Alger asifungwe kwao na Yanga?

Tango73

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2008
Posts
2,180
Reaction score
1,291
Uwezo aliokuwa nao Yanga ni mkubwa tena ni wa kutisha katika medani za soka barani africa. kiukweli kweli kabisa Marumo Gallant walikuwa hatari sana na wakalala mabao mawili kwao africa kusini.

Recodi hii inanipa ubavu wa kuamini 100% ya kuwa Yanga kesho ataifunga algeria timu ya USM Alger bila ya wasi wasi. Mungu ibariki YASC. forward ever not turning back!
 
Mvua ya mawe kesho itabonda balaa huko Algeria, au habari huna?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nasemajeeee nasemajeeee tunapindua jamviiiii
Amarula inaongea hapa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

#WHYNOTUS#
#KUPINDUAJAMVIKWANISHINGAPI#
#KAMAWEWESIYANGANIMKOSAVYOTE#
#TIMUYAWANANCHINDIYOWANANCHI#

SINCE 1935
Yanga wote tukeshe na vinywaji mezani, nasemajeeee timu ni moja tu Tz YANGA πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°
 
Haya mavichwa ngumu eti yanasema malomo gallant ni timu hatari sana! maajabu haya wajameni
 
Acha kufananisha German na vitu vya kijingajinga kama Yanga.
 
Nasimama pale na maji yangu makubwa, kabla hayajaisha mtaniambia. Hamtakaa msahau hii fainali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…