Kama Bulembo anaweza kumdhaliisha Polepole, upi usalama wa waliounga juhudi mkono wakateuliwa nafasi mbalimbali?

Kama Bulembo anaweza kumdhaliisha Polepole, upi usalama wa waliounga juhudi mkono wakateuliwa nafasi mbalimbali?

Huyu mzee anadai hata diplomasia iliharibiwa na Kayafa mkuu RIP kupitia prof wa dump la takataka Kabudi

Huyu anaemdhihaki Magufuli ni mtu anayejinasibu kuwa alikuwa nae karibu kiasi kwamba hata nguo walikuwa wanabadilishana wakati wa kampeni!! Je kama ni kweli Rais Samia anajifunza nini juu ya unafiki wa hawa wanachama wake wa ccm? Tukumbuke Bulembo na familia yake ni wanufaika wakubwa wa URAIS wa mwendazake!!!
 
Niliujua unafiki wa Bulembo alipo kuwa mjumbe wa kamati ya utendaji wa FAT au TFF siku hizi. Huyu yeye anacho angalia maishani make ni FEDHA tu basi. Ni halali au ni haramu hilo utajua wewe.

Wakati ule alikuwa CHAWA wa Ndolanga na ndio alikuwa anamwambia kwa jinsi wajumbe wanavyo mpenda atadumu pale FAT milele.

Siku zile wajumbe wa mkutano mkuu walikuwa 62 tu, sasa yeye Bulembo , Marehemu Makanjira na Mwingine kutoka Rukwa nimemsahau jina, walikuwa wanamshauri Ndolanga awahonge wajumbe 37 tu ili hawa wakimpa kura zao tayari anakuwa mshindi na anakuwa Mwenyekiti wa FAT siku hizi TFF. Kwahiyo walipewa rushwa kubwa kupitia huyu Bulembo na Makanjira aliye kuwa mjumbe wa kamati kuu akitokea Iringa.
Serikali ilipo ona kuwa kumtoa Ndolanga kwa kura isingewezekana , walicho fanya kupitia BMT wakaongeza idadi ya wapiga kura mpaka kufikia 120. Katika uchaguzi ulio fuata serikali walikuwa upande wa LEODIGA CHILLA TENGA , na kumwaga TAKUKURU kila kona kuhakikisha Ndolanga na hawa akina Bulembo hawapati fursa ya kuwa rubuni wajumbe kwa RUSHWA. Ndolanga akashindwa katika uchaguzi ule.

Baada ya hapo huyu Bulembo aka akahamia kwenye siasa.....na kamwe hakuacha kuwa CHAWA. Ni mtu anaye angalia tumbo lake.

Nilicho jifunza katika maisha CHAWA ni wabaya kuliko SHETANI. Shetani ana huruma kwasababu akijua wewe unampambania Mungu , anakuacha uendelee na Mungu anakubali kushindwa. CHAWA huwa hawakubali kushindwa, ni wabaya.

Hapo alipo fikishwa Polepole ni lazima akubali kushindwa. Hawa darasa la saba akina Bulembo watammaliza siyo tu kisiasa lakini anaweza akajikuta amepoteza vingi including life.

ATAKWENDA POLISI, ATASHANGAA, HAWATA MSIKILIZA KWASABABU WATAKUWA WANASOMA UPEPO WAJUE WALIO MFANYIA HAYO NI CCM AU CHAWA WA TAIFA??

Polepole akubali kuwa Magufuli is No More, na huo ndio mwisho wao popote walipo, iwe bandarini, Dodoma au kwenye Siasa ndio mwisho wa ENZI.

Huyu CHAWA mbobevu amejua hilo, amesha jua ahamie shati lipi. Kwasasa yupo na Samia , kabla alikuwa kwa Kikwete. Huyo ndio Bulembo ninaye mjua mimi.
Aysee..namkumbuka huyu Bulembo kpmd akiea mwenyekit wa umoja wa wazaz...alikuja shuleni akiwa kama mwenyekit wa shule zote za umoja wa wazazii....yaan jamaa alikuwa anaongea kwa dharau zilizopitilizaa....aliambatana na huyu naskia mnamwita Lemutuz humu...yaan alikuwa anaongea kwa kujisifia kwamba pamoja na baba yake Malechela kuwa wazir ila alisoma USA kwa kutegemea ada ya kuosha vyombo kwenye mahotel...hapa ndo nkaona viongozi wanatuchukulia sie mandezi sanaa
 
Niliujua unafiki wa Bulembo alipo kuwa mjumbe wa kamati ya utendaji wa FAT au TFF siku hizi. Huyu yeye anacho angalia maishani make ni FEDHA tu basi. Ni halali au ni haramu hilo utajua wewe.

Wakati ule alikuwa CHAWA wa Ndolanga na ndio alikuwa anamwambia kwa jinsi wajumbe wanavyo mpenda atadumu pale FAT milele.

Siku zile wajumbe wa mkutano mkuu walikuwa 62 tu, sasa yeye Bulembo , Marehemu Makanjira na Mwingine kutoka Rukwa nimemsahau jina, walikuwa wanamshauri Ndolanga awahonge wajumbe 37 tu ili hawa wakimpa kura zao tayari anakuwa mshindi na anakuwa Mwenyekiti wa FAT siku hizi TFF. Kwahiyo walipewa rushwa kubwa kupitia huyu Bulembo na Makanjira aliye kuwa mjumbe wa kamati kuu akitokea Iringa.
Serikali ilipo ona kuwa kumtoa Ndolanga kwa kura isingewezekana , walicho fanya kupitia BMT wakaongeza idadi ya wapiga kura mpaka kufikia 120. Katika uchaguzi ulio fuata serikali walikuwa upande wa LEODIGA CHILLA TENGA , na kumwaga TAKUKURU kila kona kuhakikisha Ndolanga na hawa akina Bulembo hawapati fursa ya kuwa rubuni wajumbe kwa RUSHWA. Ndolanga akashindwa katika uchaguzi ule.

Baada ya hapo huyu Bulembo aka akahamia kwenye siasa.....na kamwe hakuacha kuwa CHAWA. Ni mtu anaye angalia tumbo lake.

Nilicho jifunza katika maisha CHAWA ni wabaya kuliko SHETANI. Shetani ana huruma kwasababu akijua wewe unampambania Mungu , anakuacha uendelee na Mungu anakubali kushindwa. CHAWA huwa hawakubali kushindwa, ni wabaya.

Hapo alipo fikishwa Polepole ni lazima akubali kushindwa. Hawa darasa la saba akina Bulembo watammaliza siyo tu kisiasa lakini anaweza akajikuta amepoteza vingi including life.

ATAKWENDA POLISI, ATASHANGAA, HAWATA MSIKILIZA KWASABABU WATAKUWA WANASOMA UPEPO WAJUE WALIO MFANYIA HAYO NI CCM AU CHAWA WA TAIFA??

Polepole akubali kuwa Magufuli is No More, na huo ndio mwisho wao popote walipo, iwe bandarini, Dodoma au kwenye Siasa ndio mwisho wa ENZI.

Huyu CHAWA mbobevu amejua hilo, amesha jua ahamie shati lipi. Kwasasa yupo na Samia , kabla alikuwa kwa Kikwete. Huyo ndio Bulembo ninaye mjua mimi.
Nimeelewa!
 
Niliujua unafiki wa Bulembo alipo kuwa mjumbe wa kamati ya utendaji wa FAT au TFF siku hizi. Huyu yeye anacho angalia maishani make ni FEDHA tu basi. Ni halali au ni haramu hilo utajua wewe.

Wakati ule alikuwa CHAWA wa Ndolanga na ndio alikuwa anamwambia kwa jinsi wajumbe wanavyo mpenda atadumu pale FAT milele.

Siku zile wajumbe wa mkutano mkuu walikuwa 62 tu, sasa yeye Bulembo , Marehemu Makanjira na Mwingine kutoka Rukwa nimemsahau jina, walikuwa wanamshauri Ndolanga awahonge wajumbe 37 tu ili hawa wakimpa kura zao tayari anakuwa mshindi na anakuwa Mwenyekiti wa FAT siku hizi TFF. Kwahiyo walipewa rushwa kubwa kupitia huyu Bulembo na Makanjira aliye kuwa mjumbe wa kamati kuu akitokea Iringa.
Serikali ilipo ona kuwa kumtoa Ndolanga kwa kura isingewezekana , walicho fanya kupitia BMT wakaongeza idadi ya wapiga kura mpaka kufikia 120. Katika uchaguzi ulio fuata serikali walikuwa upande wa LEODIGA CHILLA TENGA , na kumwaga TAKUKURU kila kona kuhakikisha Ndolanga na hawa akina Bulembo hawapati fursa ya kuwa rubuni wajumbe kwa RUSHWA. Ndolanga akashindwa katika uchaguzi ule.

Baada ya hapo huyu Bulembo aka akahamia kwenye siasa.....na kamwe hakuacha kuwa CHAWA. Ni mtu anaye angalia tumbo lake.

Nilicho jifunza katika maisha CHAWA ni wabaya kuliko SHETANI. Shetani ana huruma kwasababu akijua wewe unampambania Mungu , anakuacha uendelee na Mungu anakubali kushindwa. CHAWA huwa hawakubali kushindwa, ni wabaya.

Hapo alipo fikishwa Polepole ni lazima akubali kushindwa. Hawa darasa la saba akina Bulembo watammaliza siyo tu kisiasa lakini anaweza akajikuta amepoteza vingi including life.

ATAKWENDA POLISI, ATASHANGAA, HAWATA MSIKILIZA KWASABABU WATAKUWA WANASOMA UPEPO WAJUE WALIO MFANYIA HAYO NI CCM AU CHAWA WA TAIFA??

Polepole akubali kuwa Magufuli is No More, na huo ndio mwisho wao popote walipo, iwe bandarini, Dodoma au kwenye Siasa ndio mwisho wa ENZI.

Huyu CHAWA mbobevu amejua hilo, amesha jua ahamie shati lipi. Kwasasa yupo na Samia , kabla alikuwa kwa Kikwete. Huyo ndio Bulembo ninaye mjua mimi.
Koti la uandishi wa habari na utangazaji Redio Tanzania na Chuo cha Diplomasia hajisemi sana
 
Naona kama chama sasa ni uwanja wa rafu. Tusubiri tuone maamuzi ya refu.
 
Huyu anaemdhihaki Magufuli ni mtu anayejinasibu kuwa alikuwa nae karibu kiasi kwamba hata nguo walikuwa wanabadilishana wakati wa kampeni!! Je kama ni kweli Rais Samia anajifunza nini juu ya unafiki wa hawa wanachama wake wa ccm? Tukumbuke Bulembo na familia yake ni wanufaika wakubwa wa URAIS wa mwendazake!!!

Unafiki wa kina Bulembo, Nape, Makamba na wengine ni extension tu ya unafiki wa Rais wa kambo (aka Mama lao au Chifu Hangaya). Samaki huoza kuanzia kichwani!
 
Polepole anafanya mass indoctrination. Which is very necessary.
Huwezi tu kufocus katika" kuisafisha "serikali.
Huyu Samia Suluhu atafukuza watu kushoto na kulia. Ikishafika critical number,wenzake watamtimua.
 
Bulembo anapodiriki kusema Katibu Mkuu wa chama hakua mwana CCM anatuma salama Kwa akina Nassary, Mashinji, Mdee na wengine kwamba Muda wao wakufaidi keki ya Taifa umeisha wajiandae kukabidhi V8 vinginevyo waombe sana mwenyekiti wa CCM awakingie kifua.

Hawa wazee wana roho za kikatili na wanapenda sana maendeleo ya watoto wao SI Watanzania. JPM alifikia akawateua yeye na mtoto wake lakini Leo adharani anamdhaliisha kwa sababu TU hayupo hai. Hii inatoa picha kwa viongozi wengine kwamba Tanzania hakuna upendo kwa wanasiasa wanachofanya nikuangalia maslahi.

Upo uwezekano Mwenyekiti wa CCM akadhani amezungukwa na watu kumbe amezungukwa na mbwa mwitu. Upo wakati anaweza akafumbua macho uonevu wa wale wasio wanaccm akidhani wanaccm wapo naye kumbe Bora hata wsio wanaccm maana wanamweleza ukweli.

Huyu Mzee Leo ametufumbua macho hasa alipohoji kama polepole anapesa? Baada tu yakuhoji hivyo tunashuhudia chumba kimoja cha polepole huko Dodoma kikiwa na kila kitu. Means mzee anajua uwezo wa kiuchumi wa Polepole. Kwa mtizamo Wangu Bora polepole anayeishi kwenye chumba kimoja na hana pesa kuliko viongozi wenye pesa walizoiba Kwa wananachi na wanatumia Fedha hizo kudhalilisha wananchi.

Mwisho, Huyu Mzee anaposema alikuwa anabadilishana nguo na JPM kwenye kampeni ni dharau kubwa sana,lakini kibaya Zaid hawa ndio waliokuwa washauri wa JPM na watu wa aina hii ndio wenyeviti wa vyama mikoa na will na intelijensia ya chama haikuona dhamira zao. Je, wanaoutafsiri negatively uongoz wa chama uliopo ni wangapi? Wanavyoendleza hizi harakati ndani ya mfumo ambao chama ndiyo serikali tunadhani tutapata maendeleo? Kwamba uichukie awamu ya Tano na uishauri ipate maendeleo No. Tujitathimini
Pole! Sitakosea kusema: "CCM is a gang of opportunists".
 
Bulembo anapodiriki kusema Katibu Mkuu wa chama hakua mwana CCM anatuma salama Kwa akina Nassary, Mashinji, Mdee na wengine kwamba Muda wao wakufaidi keki ya Taifa umeisha wajiandae kukabidhi V8 vinginevyo waombe sana mwenyekiti wa CCM awakingie kifua.

Hawa wazee wana roho za kikatili na wanapenda sana maendeleo ya watoto wao SI Watanzania. JPM alifikia akawateua yeye na mtoto wake lakini Leo adharani anamdhaliisha kwa sababu TU hayupo hai. Hii inatoa picha kwa viongozi wengine kwamba Tanzania hakuna upendo kwa wanasiasa wanachofanya nikuangalia maslahi.

Upo uwezekano Mwenyekiti wa CCM akadhani amezungukwa na watu kumbe amezungukwa na mbwa mwitu. Upo wakati anaweza akafumbua macho uonevu wa wale wasio wanaccm akidhani wanaccm wapo naye kumbe Bora hata wsio wanaccm maana wanamweleza ukweli.

Huyu Mzee Leo ametufumbua macho hasa alipohoji kama polepole anapesa? Baada tu yakuhoji hivyo tunashuhudia chumba kimoja cha polepole huko Dodoma kikiwa na kila kitu. Means mzee anajua uwezo wa kiuchumi wa Polepole. Kwa mtizamo Wangu Bora polepole anayeishi kwenye chumba kimoja na hana pesa kuliko viongozi wenye pesa walizoiba Kwa wananachi na wanatumia Fedha hizo kudhalilisha wananchi.

Mwisho, Huyu Mzee anaposema alikuwa anabadilishana nguo na JPM kwenye kampeni ni dharau kubwa sana,lakini kibaya Zaid hawa ndio waliokuwa washauri wa JPM na watu wa aina hii ndio wenyeviti wa vyama mikoa na will na intelijensia ya chama haikuona dhamira zao. Je, wanaoutafsiri negatively uongoz wa chama uliopo ni wangapi? Wanavyoendleza hizi harakati ndani ya mfumo ambao chama ndiyo serikali tunadhani tutapata maendeleo? Kwamba uichukie awamu ya Tano na uishauri ipate maendeleo No. Tujitathimini
Kiroboto ameyataka mwenyewe wacha yamkute.,
 
Kwa yanayoendelea sasa hivi nimefahamu ni kwa nini Hayati Magufuli aliongoza nchi hii kwa mkono wa chuma bila kujali ni nani alimsaidia nini ili kuyafikia madaraka ya U Raisi, Ni dhahiri alitambua amezungukwa na wahuni hivyo basi aliamua kutokucheka na kima
Kweli alimtosa Yule rafiki yake wa Mambo ya ndani,hakutishiwa nyau.
 
Niliujua unafiki wa Bulembo alipo kuwa mjumbe wa kamati ya utendaji wa FAT au TFF siku hizi. Huyu yeye anacho angalia maishani make ni FEDHA tu basi. Ni halali au ni haramu hilo utajua wewe.

Wakati ule alikuwa CHAWA wa Ndolanga na ndio alikuwa anamwambia kwa jinsi wajumbe wanavyo mpenda atadumu pale FAT milele.

Siku zile wajumbe wa mkutano mkuu walikuwa 62 tu, sasa yeye Bulembo , Marehemu Makanjira na Mwingine kutoka Rukwa nimemsahau jina, walikuwa wanamshauri Ndolanga awahonge wajumbe 37 tu ili hawa wakimpa kura zao tayari anakuwa mshindi na anakuwa Mwenyekiti wa FAT siku hizi TFF. Kwahiyo walipewa rushwa kubwa kupitia huyu Bulembo na Makanjira aliye kuwa mjumbe wa kamati kuu akitokea Iringa.

Serikali ilipo ona kuwa kumtoa Ndolanga kwa kura isingewezekana , walicho fanya kupitia BMT wakaongeza idadi ya wapiga kura mpaka kufikia 120. Katika uchaguzi ulio fuata serikali walikuwa upande wa LEODIGA CHILLA TENGA , na kumwaga TAKUKURU kila kona kuhakikisha Ndolanga na hawa akina Bulembo hawapati fursa ya kuwa rubuni wajumbe kwa RUSHWA. Ndolanga akashindwa katika uchaguzi ule.

Baada ya hapo huyu Bulembo aka akahamia kwenye siasa na kamwe hakuacha kuwa CHAWA. Ni mtu anaye angalia tumbo lake.

Nilicho jifunza katika maisha CHAWA ni wabaya kuliko SHETANI. Shetani ana huruma kwasababu akijua wewe unampambania Mungu , anakuacha uendelee na Mungu anakubali kushindwa. CHAWA huwa hawakubali kushindwa, ni wabaya.

Hapo alipo fikishwa Polepole ni lazima akubali kushindwa. Hawa darasa la saba akina Bulembo watammaliza siyo tu kisiasa lakini anaweza akajikuta amepoteza vingi including life.

ATAKWENDA POLISI, ATASHANGAA, HAWATA MSIKILIZA KWASABABU WATAKUWA WANASOMA UPEPO WAJUE WALIO MFANYIA HAYO NI CCM AU CHAWA WA TAIFA??

Polepole akubali kuwa Magufuli is No More, na huo ndio mwisho wao popote walipo, iwe bandarini, Dodoma au kwenye Siasa ndio mwisho wa ENZI.

Huyu CHAWA mbobevu amejua hilo, amesha jua ahamie shati lipi. Kwasasa yupo na Samia , kabla alikuwa kwa Kikwete. Huyo ndio Bulembo ninaye mjua mimi.
Umeongea ukweli mkuu
Hawa wazee wanchokiangalia ni pesa pesa pesa. Na matumbo yao
 
"Wanaumana na kukanyagana" alisikika mmasia mmoja hivi akimwambia msukuma machungoni
 
Mimi sisiemu wakipigana mabanzi huwa nafurahi sana

Chadema wasalitiana nawasikitia wanavyopteana[emoji2]

Siasa za bongo full comedy

Watu wazima na ndevu wanageuka kuwa wapashunaku. Wachambaji

Bulembo yeye,mwanae,na mkewe wote walikula teuzi mamilioni yakimiminika ndani ya paa moja
 
Back
Top Bottom