Kama CAG amewaonea Clouds Media atashindwaje kuzionea taasisi nyingine kama ATCL n.k?

Kama CAG amewaonea Clouds Media atashindwaje kuzionea taasisi nyingine kama ATCL n.k?

Kwan CAG ameenda kukagua Clouds au Wizara ya maliasili .?? ... Anayetakiwa kuonyesha list ni Yule aliyelipa au aliyelipwa? Nafkri CAG hahusiki kabisa na Clouds ,yeye anahusika na wizara ya Malia asili...kama clouds walitos rist haina shida , maliasili mbna hawakumpa hzo rist
Hapo ndipo wengi wanaposhindwa kuelewa...amekagua serikali na taasisi zake tu
 
Huyo jamaa wa Clouds ilikuwa ni lazima aisafishe taasisi yake hata kwa kupindisha kidogo uhalisia wa kashfa iliyopo...kwa sababu anafahamu CAG hawezi kuanza kujibizana na Clouds
 
Umeziona hizo risiti za kielectronic??
Masoud amesema malipo yaliyofanyika ni halali kwa mujibu wa nyaraka na sheria.

Aliyelipwa amekubali kuwa ni kweli amelipwa na risiti za kielektroniki alitoa

Na kama CAG nguvu yake inaishia kwenye kukagua upande mmoja tu bila kujiridhisha upande wa pili basi anatumia mbinu za kizamani sana.
 
Masoud amesema malipo yaliyofanyika ni halali kwa mujibu wa nyaraka na sheria.

Aliyelipwa amekubali kuwa ni kweli amelipwa na risiti za kielektroniki alitoa

Na kama CAG nguvu yake inaishia kwenye kukagua upande mmoja tu bila kujiridhisha upande wa pili basi anatumia mbinu za kizamani sana.
Mhhh..mkuu kwani aliyelipa si wizara ya maliasili? Si ndiyo ilipolipa ilipewa risiti? Kwa nini haikumuonyesha risiti CAG wakati wa ukaguzi? Mdau mwingine amesema kuwa malipo yote na kazi yenyewe haikuwa na mkataba ikimaanisha kuwa mambo yalienda kienyeji..huoni kama hapo kuna dalili za wazi za upigaji???
 
Kwan CAG ameenda kukagua Clouds au Wizara ya maliasili .?? ... Anayetakiwa kuonyesha list ni Yule aliyelipa au aliyelipwa? Nafkri CAG hahusiki kabisa na Clouds ,yeye anahusika na wizara ya Malia asili...kama clouds walitos rist haina shida , maliasili mbna hawakumpa hzo rist
Risiti za zile mashine za vichochoroni haziwezi kuonekana Maliasili.
 
Jana alisikika meneja wa fedha wa Clouds media akidai kuwa taasisi yake iliwasilisha kwa CAG risiti zote za kielectronic kama alivyoagiza na siyo kweli kwamba kuna utata katika malipo waliyolipwa na wizara ya maliasili na utalii.

Ndiposa natafakari kama meneja huyo wa fedha bwana Masoud anasema ukweli basi kuna tatizo kubwa kwenye hiyo taarifa ya CAG ihusuyo ukaguzi.

Ni vema CAG mheshimiwa Kichere akalitolea ufafanuzi hili jambo.

Ukinizingua Nitakuzingua!
Bwazee, usione akina Zitto wanajifaraghua, CAG huibua hoja na zikipata majibu, huwa hakuna tatizo. Hivyo sio kila hoja ni ufisadi.
 
Back
Top Bottom