myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Hapo ndipo wengi wanaposhindwa kuelewa...amekagua serikali na taasisi zake tuKwan CAG ameenda kukagua Clouds au Wizara ya maliasili .?? ... Anayetakiwa kuonyesha list ni Yule aliyelipa au aliyelipwa? Nafkri CAG hahusiki kabisa na Clouds ,yeye anahusika na wizara ya Malia asili...kama clouds walitos rist haina shida , maliasili mbna hawakumpa hzo rist