myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Hapo ndipo wengi wanaposhindwa kuelewa...amekagua serikali na taasisi zake tuKwan CAG ameenda kukagua Clouds au Wizara ya maliasili .?? ... Anayetakiwa kuonyesha list ni Yule aliyelipa au aliyelipwa? Nafkri CAG hahusiki kabisa na Clouds ,yeye anahusika na wizara ya Malia asili...kama clouds walitos rist haina shida , maliasili mbna hawakumpa hzo rist
Masoud amesema malipo yaliyofanyika ni halali kwa mujibu wa nyaraka na sheria.
Aliyelipwa amekubali kuwa ni kweli amelipwa na risiti za kielektroniki alitoa
Na kama CAG nguvu yake inaishia kwenye kukagua upande mmoja tu bila kujiridhisha upande wa pili basi anatumia mbinu za kizamani sana.
Matokeo ya shule za kata.We pimbi lini CAG akakagua private company?
Mhhh..mkuu kwani aliyelipa si wizara ya maliasili? Si ndiyo ilipolipa ilipewa risiti? Kwa nini haikumuonyesha risiti CAG wakati wa ukaguzi? Mdau mwingine amesema kuwa malipo yote na kazi yenyewe haikuwa na mkataba ikimaanisha kuwa mambo yalienda kienyeji..huoni kama hapo kuna dalili za wazi za upigaji???Masoud amesema malipo yaliyofanyika ni halali kwa mujibu wa nyaraka na sheria.
Aliyelipwa amekubali kuwa ni kweli amelipwa na risiti za kielektroniki alitoa
Na kama CAG nguvu yake inaishia kwenye kukagua upande mmoja tu bila kujiridhisha upande wa pili basi anatumia mbinu za kizamani sana.
Risiti za zile mashine za vichochoroni haziwezi kuonekana Maliasili.Kwan CAG ameenda kukagua Clouds au Wizara ya maliasili .?? ... Anayetakiwa kuonyesha list ni Yule aliyelipa au aliyelipwa? Nafkri CAG hahusiki kabisa na Clouds ,yeye anahusika na wizara ya Malia asili...kama clouds walitos rist haina shida , maliasili mbna hawakumpa hzo rist
Bwazee, usione akina Zitto wanajifaraghua, CAG huibua hoja na zikipata majibu, huwa hakuna tatizo. Hivyo sio kila hoja ni ufisadi.Jana alisikika meneja wa fedha wa Clouds media akidai kuwa taasisi yake iliwasilisha kwa CAG risiti zote za kielectronic kama alivyoagiza na siyo kweli kwamba kuna utata katika malipo waliyolipwa na wizara ya maliasili na utalii.
Ndiposa natafakari kama meneja huyo wa fedha bwana Masoud anasema ukweli basi kuna tatizo kubwa kwenye hiyo taarifa ya CAG ihusuyo ukaguzi.
Ni vema CAG mheshimiwa Kichere akalitolea ufafanuzi hili jambo.
Ukinizingua Nitakuzingua!