Kama CCM wakifuata utaratibu wao wa kutompinga Rais aliyepo katika kuteua mgombea, basi Samia Suluhu anaweza kuwa Rais wa Tanzania kwa miaka 14

Kama CCM wakifuata utaratibu wao wa kutompinga Rais aliyepo katika kuteua mgombea, basi Samia Suluhu anaweza kuwa Rais wa Tanzania kwa miaka 14

Kumekuwa na ubishi kuhusu kama kwa sasa Samia Suluhu anaongoza awamu ya tano au ya sita. Labda hilo sio jambo la maana. Jambo la msingi ni kwamba raisi Samia Suluhu anaongoza awamu ambayo haitambuliki kikatiba kama ni awamu yake ya kwanza ya uongozi,
Pamoja na kwamba akina Msekwa walitupiga changa sehemu nyingi wakati wanaandika Katiba, hawakuwa mazwazwa kiasi cha kushindwa kuliona hili na kuliweka sawa.
 
Huhitaji kukaa madarakani miaka mingi ili ukete mabadiliko.

Kwa mujibu wa katiba, (sikumbuki kifungu), Rais aliyepo madarakani akifariki, makamu wa Rais ataapishwa kuwa Rais, na huyo Rais aliyeapishwa, kama muda uliobakia wa Rais aliyefariki si chini ya miaka 3, kipindi anachomalizia cha Rais aliyefariki, kitahesabika ni kipindi chake cha kwanza. Hivyo kwa mujibu wa katiba, Mama Samia atakuwa amebakiwa na kipindi kimoja cha kugombea. Hiyo ndiyo sababubua Serikali hii kuitwa awaku ya 6.

Hiyo miaka 9, na hata akiamua asigombee, ndani ya hii miaka yake 4, akijishughulisha zaidi na kujenga taasisi imara, akianzia na katiba bora mpya, nchi itakwenda vizuri na kwa mafanikio makubwa. Nchi haitarudi kwenye utawala ule dhalimu wa awamu ya 5.
 
Huhitaji kukaa madarakani miaka mingi ili ukete mabadiliko.

Kwa mujibu wa katiba, (sikumbuki kifungu), Rais aliyepo madarakani akifariki, makamu wa Rais ataapishwa kuwa Rais, na huyo Rais aliyeapishwa, kama muda uliobakia wa Rais aliyefariki si chini ya miaka 3, kipindi anachomalizia cha Rais aliyefariki, kitahesabika ni kipindi chake cha kwanza. Hivyo kwa mujibu wa katiba, Mama Samia atakuwa amebakiwa na kipindi kimoja cha kugombea. Hiyo ndiyo sababubua Serikali hii kuitwa awaku ya 6.

Hiyo miaka 9, na hata akiamua asigombee, ndani ya hii miaka yake 4, akijishughulisha zaidi na kujenga taasisi imara, akianzia na katiba bora mpya, nchi itakwenda vizuri na kwa mafanikio makubwa. Nchi haitarudi kwenye utawala ule dhalimu wa awamu ya 5.
Katiba sio msahafu....

Tutaibadili tumpe mama mingine kumi.... Atake asitake
 
Jitahidi kuisoma vema Katiba ya Nchi. Samia anaweza kuwa Rais kwa awamu mbili ya miaka 10 pekee.
Kutokana na uhalisia wa tukio la Rais kufariki akiwa amehudumu miezi mitano tu katika awamu yake ya mwisho, Mama Samia anaweza kuwa madarakani hadi 2030 ikiwa Chama chake kitampa ridhaa ya pili. Si zaidi ya hapo.
 
Rais Samia Atawale mpaka Mola akimuhitaji. Yule shujaa mchawi alituharibia sana nchi
 
Vipi kwa Lisu?

Mataga ni kina nani?
Mataga ni Wahutu/ Warundi wanaojificha kwenye Usukuma, Al-Maarufu SUKUMA GANG.
Wanaroho mbaya sana, wanateka, kutesa na kuua watanzania.
 
Habari mbaya sana hii kwa Warundi / SUKUMA GANG. waliojificha kwenye Usukuma ili watese na kuua watanzania.
 
Mataga ni Wahutu/ Warundi wanaojificha kwenye Usukuma, Al-Maarufu SUKUMA GANG.
Wanaroho mbaya sana, wanateka, kutesa na kuua watanzania.
Aisee..
Kwanini msichukue jeshi wafe?

Kwani hako kanchi kenu ni kakijinga kiasi gani hadi wageni wanawavamia na kuwaua kiasi hicho?
 
Huyu mama aendelee tu, yaani natamaani hata atawale miaka hamsini. Kwa kweli sitaki huu utawala wa waroma urudi madarakani, watawala wanaotawala kama miungu, wanaogopwa utafikiri wanamiliki mbingu na nchi. Yaani Huyu mama aendelee tu miaka mia ikiwezekana.
Kuna watu wanatuaminisha kwamba nchi iliharibika kumbe wao ndo waliharibika.
 
Back
Top Bottom