Kama CEO Popat na Msemaji Ibwe watakuwepo Azam FC hadi tarehe 25 Oktoba, 2023 wakicheza na Yanga SC basi Watafungwa

Kama CEO Popat na Msemaji Ibwe watakuwepo Azam FC hadi tarehe 25 Oktoba, 2023 wakicheza na Yanga SC basi Watafungwa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kwa 95% Kiongozi wa Azam FC ( ambaye Watu wa Mpira Tanzania tunajua ni mwana Yanga SC lia lia ) CEO Popat ndiyo huwa Silaha Kuu ya Yanga SC kuifunga Azam FC muda wowote na inavyotaka.

Na hiyo 5% iliyobaki ni ya Msaliti mwingine mdogo Msemaji Ibwe ( ambaye ni mwana Yanga SC kindakindaki ) hadi anakera kama si Kuboa pia sometimes.

Dogo Tajiri Yusuf Bakhressa umeshatonywa ( umeshaambiwa ) mno juu ya hili na hasa hawa Wanafiki na Wasaliti Waandamizi wawili Unaowaaamini ( sijui Wamekuroga ) ulionao Azam FC kuwa pia ndiyo Kikwazo cha Azam FC yako kufanya vyema ndani na nje ya nchi ila hutaki Kusikia halafu Azam FC ikifanya hovyo unakimbilia Kuwalaumu Waamuzi na TFF kuwa Wanakuonea wakati kumbe Maadui zako Wakubwa Wawili unao na Umewakumbatia hapo hapo Azam FC yako.
 
Kwa 95% Kiongozi wa Azam FC ( ambaye Watu wa Mpira Tanzania tunajua ni mwana Yanga SC lia lia ) CEO Popat ndiyo huwa Silaha Kuu ya Yanga SC kuifunga Azam FC muda wowote na inavyotaka.

Na hiyo 5% iliyobaki ni ya Msaliti mwingine mdogo Msemaji Ibwe ( ambaye ni mwana Yanga SC kindakindaki ) hadi anakera kama si Kuboa pia sometimes.

Dogo Tajiri Yusuf Bakhressa umeshatonywa ( umeshaambiwa ) mno juu ya hili na hasa hawa Wanafiki na Wasaliti Waandamizi wawili Unaowaaamini ( sijui Wamekuroga ) ulionao Azam FC kuwa pia ndiyo Kikwazo cha Azam FC yako kufanya vyema ndani na nje ya nchi ila hutaki Kusikia halafu Azam FC ikifanya hovyo unakimbilia Kuwalaumu Waamuzi na TFF kuwa Wanakuonea wakati kumbe Maadui zako Wakubwa Wawili unao na Umewakumbatia hapo hapo Azam FC yako.
Tumeona jinsi Mwamuzi Tatu malogo alivyopuliza vizuri kipyenga kuwapa ushindi wa dezo kwaiyo ni Bora ukae kimyaaaa Kama unanyolewa wakina popat watakuwepo Kila timu inayocheza na yanga kwa maana Tff, kamati ya waamuzi na BODI ya LIGI washabariki undava uendelee, na mechi iyo aikuhusu kaa pembeni!
 
Kwa 95% Kiongozi wa Azam FC ( ambaye Watu wa Mpira Tanzania tunajua ni mwana Yanga SC lia lia ) CEO Popat ndiyo huwa Silaha Kuu ya Yanga SC kuifunga Azam FC muda wowote na inavyotaka.

Na hiyo 5% iliyobaki ni ya Msaliti mwingine mdogo Msemaji Ibwe ( ambaye ni mwana Yanga SC kindakindaki ) hadi anakera kama si Kuboa pia sometimes.

Dogo Tajiri Yusuf Bakhressa umeshatonywa ( umeshaambiwa ) mno juu ya hili na hasa hawa Wanafiki na Wasaliti Waandamizi wawili Unaowaaamini ( sijui Wamekuroga ) ulionao Azam FC kuwa pia ndiyo Kikwazo cha Azam FC yako kufanya vyema ndani na nje ya nchi ila hutaki Kusikia halafu Azam FC ikifanya hovyo unakimbilia Kuwalaumu Waamuzi na TFF kuwa Wanakuonea wakati kumbe Maadui zako Wakubwa Wawili unao na Umewakumbatia hapo hapo Azam FC yako.
Mnaanzisha ugomvi wakati mko kwenye nyumba ya vioo,,hivyo vioo vitapasuliwa mpaka mtanena kwa lugha,,,kina popat watakuwepo kwenye timu zote za LIGI kuu zitazokutana na yanga kudadadek!
 
Kwa 95% Kiongozi wa Azam FC ( ambaye Watu wa Mpira Tanzania tunajua ni mwana Yanga SC lia lia ) CEO Popat ndiyo huwa Silaha Kuu ya Yanga SC kuifunga Azam FC muda wowote na inavyotaka.

Na hiyo 5% iliyobaki ni ya Msaliti mwingine mdogo Msemaji Ibwe ( ambaye ni mwana Yanga SC kindakindaki ) hadi anakera kama si Kuboa pia sometimes.

Dogo Tajiri Yusuf Bakhressa umeshatonywa ( umeshaambiwa ) mno juu ya hili na hasa hawa Wanafiki na Wasaliti Waandamizi wawili Unaowaaamini ( sijui Wamekuroga ) ulionao Azam FC kuwa pia ndiyo Kikwazo cha Azam FC yako kufanya vyema ndani na nje ya nchi ila hutaki Kusikia halafu Azam FC ikifanya hovyo unakimbilia Kuwalaumu Waamuzi na TFF kuwa Wanakuonea wakati kumbe Maadui zako Wakubwa Wawili unao na Umewakumbatia hapo hapo Azam FC yako.

Kwani yeye anacheza namba ngapi uwanjani C.E.O na Afisa habari
 
Kwa 95% Kiongozi wa Azam FC ( ambaye Watu wa Mpira Tanzania tunajua ni mwana Yanga SC lia lia ) CEO Popat ndiyo huwa Silaha Kuu ya Yanga SC kuifunga Azam FC muda wowote na inavyotaka.

Na hiyo 5% iliyobaki ni ya Msaliti mwingine mdogo Msemaji Ibwe ( ambaye ni mwana Yanga SC kindakindaki ) hadi anakera kama si Kuboa pia sometimes.

Dogo Tajiri Yusuf Bakhressa umeshatonywa ( umeshaambiwa ) mno juu ya hili na hasa hawa Wanafiki na Wasaliti Waandamizi wawili Unaowaaamini ( sijui Wamekuroga ) ulionao Azam FC kuwa pia ndiyo Kikwazo cha Azam FC yako kufanya vyema ndani na nje ya nchi ila hutaki Kusikia halafu Azam FC ikifanya hovyo unakimbilia Kuwalaumu Waamuzi na TFF kuwa Wanakuonea wakati kumbe Maadui zako Wakubwa Wawili unao na Umewakumbatia hapo hapo Azam FC yako.
Kwahiyo Popat ndo Huwa anacheza uwanjani?
 
Hao Azam ata Simba itajipigia tu.Simba Sasa hivi inajua kuyafanyia umafia hayo Matawi ya Yanga Yote.Yanga Yote ndio iliyokuwa kule Singida lakini wapi.Hata Yanga mwenyewe atakula kipigo.
 
Back
Top Bottom