Kama CHADEMA imejengwa na mabilioni ya Mbowe nyie wengine mmechangia nini?

Kama CHADEMA imejengwa na mabilioni ya Mbowe nyie wengine mmechangia nini?

Tulichanga ila hela zilitumika kama picha inavyoonyesha.
 

Attachments

  • IMG_20211028_071405.jpg
    IMG_20211028_071405.jpg
    50.7 KB · Views: 1
Kwa maelezo ya Mbowe ametumia mabilioni ya fedha kuijenga CHADEMA. Kwa bahati nzuri hakuna anayekanusha haya kutoka kwa wana CHADEMA wenzake.

Swali langu wengine mchango wao ni upi au ni kama KUPE tu kwenye ng'ombe aliyenona?
Hivi unadhani ni wewe Peke yako na bichwa lako bovu ndo ulimsikia Mbowe? Mtu anasema "nimepoteza mabilioni Kwa kujiunga CHADEMA". Wapi amesema ametumia mabilioni kujenga CHADEMA? Watanzania wanajua jinsi miradi ya Mbowe ya mabilioni ilivyoharibiwa Kwa vile tu yuko mwenyekiti wa CHADEMA. Kugeuza kwako maneno hakubadilishi ukweli wanaoujua Watanzania.
 
Kwa maelezo ya Mbowe ametumia mabilioni ya fedha kuijenga CHADEMA. Kwa bahati nzuri hakuna anayekanusha haya kutoka kwa wana CHADEMA wenzake.

Swali langu wengine mchango wao ni upi au ni kama KUPE tu kwenye ng'ombe aliyenona?
Hawa wengine mapoyoyo ya humu JF yamechangia matusi kwa opposed wao!

Hakuna lingine!
Mbowe yuko sahihi maana Chadema imemfilisi!
 
Ndilo alilolisema? Walikopeshana? Aliseeema, '....Nimetumia mabilioni yangu....." na katikati akadai yeye katoka kwenye familia ya wenye hela....Zinakauka?
Kama katumia zake kwa anachokipenda sioni sababu kwanini wengine kuumia roho..

Na kwani kusema anatoka kwenye familia yenye hela ni dhambi? au ulitaka adanganye? umaskini pia sio sifa.
 
Kama katumia zake kwa anachokipenda sioni sababu kwanini wengine kuumia roho..

Na kwani kusema anatoka kwenye familia yenye hela ni dhambi? au ulitaka adanganye? umaskini pia sio sifa.
Umeulizwa swali....

Nyinyi mapoyoyo wengine huko Chadema mmechangia nini zaidi ya matusi mpaka sasa?

....Jibu swali....acha kona kona....
 
Back
Top Bottom