Kama Chairman Mbowe hana kosa mbona Mnyika alimtuma Zitto kwenda kumuombea msamaha?

Usichoelewa nini? Mbowe na Mnyika wanaitaka TCD kueleza kuwa kesi imekaa kisiasa ifutwe. Hawajataka ukaombwe msamaha kama anavyotafasili aliyepewa taarifa. Ajue haombwi msamaha bali anakumbushwa kufua kesi haina tija. Ndivyo nilivyoelewa.
Pia Lisu anatoa jibu kwa mwenye dhana ya msamaha hayupo sawa bali ni kufua kesi bila masharti.
 
Hata huielewi mantiki ya huo wito, huo wito ulikuja kuwakumbusha watawala waache mashtaka ya uonevu, lakini sio kwasababu walipeleka wito ndio ionekane Mbowe ana hatia, yanayoendelea kule mahakamani yanaonesha dhahiri ile kesi ilivyo ya michongo.
 
Right
 
Sisi wengine si Mbumbumbu FC kama wewe. Alichofanya Mnyika kwenye mkutano wa viongozi wa vyama ni kueleza ukweli na kutaka TCD ihusike kumwambia Mwenyekiti wa CCM kwamba kesi inayomkabili Mwenyekiti mwenzake haina mashiko kijinai zaidi ya Siasa. Kuitwa kesi ya kisiasa Mzee Mangula akasema isisemwe hivyo Kwa sababu kesi iliyopo ni ya jinai na ndipo Mnyika alipompa Committal proceedings ambazo Zitto ameziita nyaraka za kesi ili ajisomee mwenyewe na kupima kilichomo kama kinaendana na Ugaidi. Zitto akabaki na jukumu la kumweleza Rais ukweli kwamba hapo Hakuna kesi zaidi ya Siasa. Je, mpaka hapo ni wapi Mnyika kamtuma Zito kuomba msamaha?
 
Pia kuomba msamaaha hakumanishi umeogopa umeamua kumpa faraja mtesi wako akutane na Mungu wako adha atubu au ajisifu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…