Jide keshawaambie hata akifa, Ruge na Kusaga wakitia timu msibani wapigwe mawe na waombolezaji, tena radio yao isitangaze habari za kifo chake. Naona nao wameamua kutii mapema kwa kutolitaja jina lake.
Hicho kibibi mbona chenyewe kwenye ule waraka wake kiliandika kwamba hakitaki Ruge na Joey waende kwenye msiba wake na kama ikitokea wakienda basi washabiki na wapenzi wake wawapopoe mawe...sasa kwa nini Clouds waendelee kukipa promo?
Hivyo kama unazungumzia chuki basi anza kwanza na hicho kibibi. Hakina bifu ya kweli na Clouds zaidi ya kutafuta kiki tu.
Nimemuona shinyanga kafunika balaa! Kibibi kiko juu, ule umati kama fiesta tu. Jeshi la bibi moja!.
Ila sasa wimbo sio wa jide. Hata akitajwa mnabana kama vile lemetamkwa tusi, au kawatukanisha?
mnapata wapi muda wa kusikiliza hiyo radio ya wehu?
Nimemuona shinyanga kafunika balaa! Kibibi kiko juu, ule umati kama fiesta tu. Jeshi la bibi moja!.
Ila sasa wimbo sio wa jide. Hata akitajwa mnabana kama vile lemetamkwa tusi, au kawatukanisha?
Jide keshawaambie hata akifa, Ruge na Kusaga wakitia timu msibani wapigwe mawe na waombolezaji, tena radio yao isitangaze habari za kifo chake. Naona nao wameamua kutii mapema kwa kutolitaja jina lake.
mnapata wapi muda wa kusikiliza hiyo radio ya wehu?
Radio binafs inatalatibu zake sawa na wewe ulivyojipangia talatibu zako kama inakukela kuna radio zaid ya mia tanzania ruhusa kupeleka nyimbo zake radio nyingine wazicheze sio kulaum clouds fm ni radio ya watu ila ukizingua wanakutema hawana ubabaishaji wao habari ndo hiyoDaaaa pamoja na kwamba kiasi flani mnawainua wasanii wa Hapa nyumbani ila hampo sawa kwa msanii Lady j dee! kama haujanielewa sikiliza clouds fm wiki ijayo kwenye wimbo wa BEN POL. Jikubali pale anapolitaja jina la j dee. wameminya ile mbaya. Najiuliza kumshirikisha jide tu kunaweza pelekea usipate sapoti ya media hii ambayo inajiita Radio ya watu! Watz bwana! yaani mtu kueleza ukweli jinsi anavyoibiwa kosa. Hata kama hammpendi j dee basi wimbo ni wa ben paul basiii hakuna haja ya kulibana jina la jdee. Radio gani ya watu yenye ubaguzi? Walipeni cha kwao ila msiwaibie kwa kigezo cha kuwanyima airtime kwenye kiredio chenu. ikumbukwe kwenye vikwazo ndo fursa hizo. siungi mkono huo utaratibu wenu. wewe Kusaga na nani na nani........ mjipangeeeeeeeeeeeeeeee.
ningeshangaa kama nisingemuona Nyani Ngabu kwenye uzi huu..
Daaaa pamoja na kwamba kiasi flani mnawainua wasanii wa Hapa nyumbani ila hampo sawa kwa msanii Lady j dee! kama haujanielewa sikiliza clouds fm wiki ijayo kwenye wimbo wa BEN POL. Jikubali pale anapolitaja jina la j dee. wameminya ile mbaya. Najiuliza kumshirikisha jide tu kunaweza pelekea usipate sapoti ya media hii ambayo inajiita Radio ya watu! Watz bwana! yaani mtu kueleza ukweli jinsi anavyoibiwa kosa. Hata kama hammpendi j dee basi wimbo ni wa ben paul basiii hakuna haja ya kulibana jina la jdee. Radio gani ya watu yenye ubaguzi? Walipeni cha kwao ila msiwaibie kwa kigezo cha kuwanyima airtime kwenye kiredio chenu. ikumbukwe kwenye vikwazo ndo fursa hizo. siungi mkono huo utaratibu wenu. wewe Kusaga na nani na nani........ mjipangeeeeeeeeeeeeeeee.
Ahaaaaaa., ngoja aje kibonde asome atakujibu kesho
Hivi ile kesi ya ruge kumstaki jide inaendeleaje au imeishaje?
Binafs naona Jide anazidi kufanikiwa,YAHYA WAKE ANACHEZWA REDIO ZOTE,NA ANASHIKA NAFASI YA JUU KWENYE HIZO CHART,JAMBO AMBALO HATA WASIPOPIGA YEYE ATA-SHINE,RIZKI YA MTU HAIPO KWA MTU,ILA MUNGU HUIPITISHIA KWA MTU
Hizi redio za majungu kama clouds hakuna haja ya kuhangaika nazo. Zimejaa makanjanja watupu!!!!!!!