Kama chuki kweli Clouds fm mnatisha kwa Lady J dee

Kama chuki kweli Clouds fm mnatisha kwa Lady J dee

Jide keshawaambie hata akifa, Ruge na Kusaga wakitia timu msibani wapigwe mawe na waombolezaji, tena radio yao isitangaze habari za kifo chake. Naona nao wameamua kutii mapema kwa kutolitaja jina lake.

elewa kua kasema nyimbo zake siyo za watu wengine
 
Mnayataka wenyewe kwa kusikiliza hicho kiredio cha kijinga. Mi wala sina muda nacho, ndo maana hunikuti na malalamiko ya hivyo.
 
Nimemuona shinyanga kafunika balaa! Kibibi kiko juu, ule umati kama fiesta tu. Jeshi la bibi moja!.

Ila sasa wimbo sio wa jide. Hata akitajwa mnabana kama vile lemetamkwa tusi, au kawatukanisha?
Hicho kibibi mbona chenyewe kwenye ule waraka wake kiliandika kwamba hakitaki Ruge na Joey waende kwenye msiba wake na kama ikitokea wakienda basi washabiki na wapenzi wake wawapopoe mawe...sasa kwa nini Clouds waendelee kukipa promo?

Hivyo kama unazungumzia chuki basi anza kwanza na hicho kibibi. Hakina bifu ya kweli na Clouds zaidi ya kutafuta kiki tu.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Nimemuona shinyanga kafunika balaa! Kibibi kiko juu, ule umati kama fiesta tu. Jeshi la bibi moja!.

Ila sasa wimbo sio wa jide. Hata akitajwa mnabana kama vile lemetamkwa tusi, au kawatukanisha?

Kwani chenyewe kinataka hata kutajwa kwenye hiyo redio?
 
Poleni wapenzi wa kulazimishwa kusikiliza baahi ya nyimbo ama wasanii. Mimi mwenzenu toka kitambo nipo na CD zangu za Msondo, Nginde, Marijani, Vijana, Zaiko Langa Langa, Wenge BCBG, Defao, Bima Lee, Maquis, na bendi nyingi tu za sasa ambazo kwa makusudi mawingu hawataki kupiga kwa sababu hawawezi kuwatumia wasanii wake kuwauzia unga nje.
 
Best visasi vya Clouds FM vinanishangaza sana. Sijui ni kitu gani wanachoachieve kwa kuminya jina la Jide lisitajwe katika nyimbo ambazo wasanii wenzie wamemtaja. Bahati nzuri sasa Bongo tuna redio stations za kumwaga, ingekuwa ni Clouds FM tu ndio redio station pekee basi Jide angelala njaa lakini anapeta kwa raha zake. Visasi vya kitoto kiasi hiki kutaka kukomoana havisaidii lolote sana sana Clouds wanajikomoa wenyewe maana baadhi ya wasikilizaji wanaweza kabisa kuwa hawaridhishwi na jinsi wanavyomtendea Jide hivyo kuamua kutosikiliza Clouds FM. It is time to let bygones be bygones.

Nimemuona shinyanga kafunika balaa! Kibibi kiko juu, ule umati kama fiesta tu. Jeshi la bibi moja!.

Ila sasa wimbo sio wa jide. Hata akitajwa mnabana kama vile lemetamkwa tusi, au kawatukanisha?
 
Jide keshawaambie hata akifa, Ruge na Kusaga wakitia timu msibani wapigwe mawe na waombolezaji, tena radio yao isitangaze habari za kifo chake. Naona nao wameamua kutii mapema kwa kutolitaja jina lake.

hahahahhaa,wanatii agizo bila shuruti,kuna kitu nahis walidhamiria ila wamechelewa,maana wao wamezoea kuwaisgina watu na kuwapoteza ili baadae wawalilie na kuwanyanyasa,lakin binafsi redio zote namsikia jide na yahya wake wanapeta,
 
Radio imejaa mashoga watangazaji wanaliwa kama mboga nitapotaka kusema jambo huwa sifichi ruge bonge la snitch eti anaanzisha chama wakati yeye ndio chanzo cha mziki wetu kukwama--rais wa mbeya
=====================
Ukipata Ujumbe wa chuki matusi futa delete kabisa
=====================
 
Daaaa pamoja na kwamba kiasi flani mnawainua wasanii wa Hapa nyumbani ila hampo sawa kwa msanii Lady j dee! kama haujanielewa sikiliza clouds fm wiki ijayo kwenye wimbo wa BEN POL. Jikubali pale anapolitaja jina la j dee. wameminya ile mbaya. Najiuliza kumshirikisha jide tu kunaweza pelekea usipate sapoti ya media hii ambayo inajiita Radio ya watu! Watz bwana! yaani mtu kueleza ukweli jinsi anavyoibiwa kosa. Hata kama hammpendi j dee basi wimbo ni wa ben paul basiii hakuna haja ya kulibana jina la jdee. Radio gani ya watu yenye ubaguzi? Walipeni cha kwao ila msiwaibie kwa kigezo cha kuwanyima airtime kwenye kiredio chenu. ikumbukwe kwenye vikwazo ndo fursa hizo. siungi mkono huo utaratibu wenu. wewe Kusaga na nani na nani........ mjipangeeeeeeeeeeeeeeee.
Radio binafs inatalatibu zake sawa na wewe ulivyojipangia talatibu zako kama inakukela kuna radio zaid ya mia tanzania ruhusa kupeleka nyimbo zake radio nyingine wazicheze sio kulaum clouds fm ni radio ya watu ila ukizingua wanakutema hawana ubabaishaji wao habari ndo hiyo
 
Daaaa pamoja na kwamba kiasi flani mnawainua wasanii wa Hapa nyumbani ila hampo sawa kwa msanii Lady j dee! kama haujanielewa sikiliza clouds fm wiki ijayo kwenye wimbo wa BEN POL. Jikubali pale anapolitaja jina la j dee. wameminya ile mbaya. Najiuliza kumshirikisha jide tu kunaweza pelekea usipate sapoti ya media hii ambayo inajiita Radio ya watu! Watz bwana! yaani mtu kueleza ukweli jinsi anavyoibiwa kosa. Hata kama hammpendi j dee basi wimbo ni wa ben paul basiii hakuna haja ya kulibana jina la jdee. Radio gani ya watu yenye ubaguzi? Walipeni cha kwao ila msiwaibie kwa kigezo cha kuwanyima airtime kwenye kiredio chenu. ikumbukwe kwenye vikwazo ndo fursa hizo. siungi mkono huo utaratibu wenu. wewe Kusaga na nani na nani........ mjipangeeeeeeeeeeeeeeee.

Kwa sasa kuiita radio ya watu unakosea bali ni radio ya wafu
 
Binafs naona Jide anazidi kufanikiwa,YAHYA WAKE ANACHEZWA REDIO ZOTE,NA ANASHIKA NAFASI YA JUU KWENYE HIZO CHART,JAMBO AMBALO HATA WASIPOPIGA YEYE ATA-SHINE,RIZKI YA MTU HAIPO KWA MTU,ILA MUNGU HUIPITISHIA KWA MTU

Kweli mkuu umenena
 
Back
Top Bottom