Kama David Silinde aliitumikia CCM kwa siri kwa miaka 5 aliyokuwa Bungeni inawezekana sasa anaitumikia CHADEMA akiwa CCM

Kama David Silinde aliitumikia CCM kwa siri kwa miaka 5 aliyokuwa Bungeni inawezekana sasa anaitumikia CHADEMA akiwa CCM

Hayo yalikuwa maneno ya kuwahadaa wajumbe, bahati mbaya wajumbe hawadaganyiki na lolote
 
Kiazi kweli,wampe kazi ya kufagia Lumumba.
 
Hata hivyo amepata kura nyingi sana tofauti na tulivyodhani.

Naona Kama ana nafasi kubwa ya kupitishwa na mamlaka za juu.

Kama alitumika CCM akiwa chadema unategemea anaipenda chadema? Yaani awe CCM aitumikie chadema?

Sidhani.
Silinde akipitishwa CCM hawezi kuchukua hilo jimbo hata kwa mtutu wa bunduki! Hizo kura alizopata ni nguvu kubwa sana imetumika ikiwemo yeye mwenye kutumia pensheni ya bungeni, bado Lepolepo na PM walipiga kambi kumnadi!
 
Silinde akipitishwa CCM hawezi kuchukua hilo jimbo hata kwa mtutu wa bunduki! Hizo kura alizopata ni nguvu kubwa sana imetumika ikiwemo yeye mwenye kutumia pensheni ya bungeni, bado Lepolepo na PM walipiga kambi kumnadi!

Hivi unategemea kuna mkurugenzi mwenye guts za kumtangaza mshindi mpinzani?
 
Usaliti unaondoa akili na maarifa,Silinde atajutia alichokifanya kapoteza jimbo la Momba kizembe kabisa na alikuwa anashida kilaiini kabisa, kwa kupitia chama kilekile cha CHADEMA, hata kama ameahidiwa nafasi za kuteuliwa.

Akumbuke na kujiuliza ni kwa nini wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na nafasi nyingine za kuteuliwa, watu wanakimbia nafasi hizo na kukimbilia kwenye ubunge wa kupigiwa kura?.
 
Vipi hujafika msibani?
Maneno huumba.

David Silinde kwa kutamka hadharani kwamba yeye ni " Chawa" kwa miaka 5 aliyokuwa bungeni alikuwa akiitumikia CCM kwa siri amefungua mlango kwa maadui wa CCM kuweza kumtumia kwa sababu anaweza " kutumika"

Binafsi sikutegemea kauli kama hii itoke kwa mwanasiasa kijana, hata hivyo nawapongeza wajumbe wa Tunduma kwa kulijua hilo na kufanya maamuzi sahihi.

Maendeleo hayana vyama!
 
Haitusaidii kitu sisi wanyonge
Hata hivyo amepata kura nyingi sana tofauti na tulivyodhani.

Naona Kama ana nafasi kubwa ya kupitishwa na mamlaka za juu.

Kama alitumika CCM akiwa chadema unategemea anaipenda chadema? Yaani awe CCM aitumikie chadema?

Sidhani.
 
Hata hivyo amepata kura nyingi sana tofauti na tulivyodhani.

Naona Kama ana nafasi kubwa ya kupitishwa na mamlaka za juu.

Kama alitumika CCM akiwa chadema unategemea anaipenda chadema? Yaani awe CCM aitumikie chadema?

Sidhani.
Umenena vema kusema "SIDHANI".
Unafahamu lolote kuhusu 'double agents existence'?
Anything is on cards.
Bottom line is, hakupaswa kutamka hadharani. A grave mistake for such an enthusiastic green horn politician.
 
Ukimwangalia Silinde huwezi kuamini kama ni graduate wa Chuo Kikuu. Unaweza dhani kuwa ni mpumbavu tu aliyepata bahati.

Ndo mana siku zote huwa Nina mashaka sana na wahitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Wachache sana huwa ndo wanajielewa kama Kina Tundu Lissu. Wengine waliobaki ni takataka tu
 
Maneno huumba.

David Silinde kwa kutamka hadharani kwamba yeye ni " Chawa" kwa miaka 5 aliyokuwa bungeni alikuwa akiitumikia CCM kwa siri amefungua mlango kwa maadui wa CCM kuweza kumtumia kwa sababu anaweza " kutumika"

Binafsi sikutegemea kauli kama hii itoke kwa mwanasiasa kijana, hata hivyo nawapongeza wajumbe wa Tunduma kwa kulijua hilo na kufanya maamuzi sahihi.

Maendeleo hayana vyama!
Aliambiwa aeleze sera zake mbele ya Wajumbe wa Jimbo la Tunduma kuwa ataifanyia nini Tunduma? Yeye akaanza mimi nilifanya kazi kwa siri kuipigania CCM nikiwa CHADEMA. Kwani nani hajui kilichomwondoa Silinde CHADEMA? Mara ooh sisi tulikua tunapinga kila kitu sasa hivi nimeokoka siwezi kupinga. Halafu eti nitajenga majengo ya vituo vya afya na shule kwa hela zangu. Hizo ndio sera kweli? Kwa kweli amewazalilisha sana wasomi wa nchi hii hasa wa UDSM. Alichopata alistahili. Halafu watia nia wetu wanafikiri wananchi waliosoma mpaka darasa la saba hawajui kupambanua sera!
 
Aliambiwa aeleze sera zake mbele ya Wajumbe wa Jimbo la Tunduma kuwa ataifanyia nini Tunduma? Yeye akaanza mimi nilifanya kazi kwa siri kuipigania CCM nikiwa CHADEMA. Kwani nani hajui kilichomwondoa Silinde CHADEMA? Mara ooh sisi tulikua tunapinga kila kitu sasa hivi nimeokoka siwezi kupinga. Halafu eti nitajenga majengo ya vituo vya afya na shule kwa hela zangu. Hizo ndio sera kweli? Kwa kweli amewazalilisha sana wasomi wa nchi hii hasa wa UDSM. Alichopata alistahili. Halafu watia nia wetu wanafikiri wananchi waliosoma mpaka darasa la saba hawajui kupambanua sera!
[emoji23][emoji23][emoji23] yaani sijui kwnn mtu akiwa mwana ccm anakuwa mtu wa hovyo hovyo kichwani
 
Back
Top Bottom