Kama Diamond anamuajiri Kitenge na Kumwembe basi jamaa wa pale Mawingu wajitazame upya

Kama Diamond anamuajiri Kitenge na Kumwembe basi jamaa wa pale Mawingu wajitazame upya

Acha ulongo wewe hiyo redio anamiliki diamond na dada wa zanzibar kusaga hana stakes hata 0% humo
Juhayna Zaghalulu Ajmy 53%
Nasib Abdul Juma Isaack 45%
Na jamaa mmoja anaitwa Ali Dai ana 2%

Yuko wapi Kusaga hapo...acheni wudesi

Watanzania baadhi ni watu wasiopenda kuona wenzao wakitusua,mondi is wealthy hilo tukubali kwamba dogo anatupa challenge, tukubali hayo badala ya kuponda tu na kuwapa kichwa wasiostahili!
Diamond hawezi kuwaajiri, ni Joe Kusaga ndio amewapa kazi. Diamond kazi yake ni kuwa mbele tu, ya nyuma ya pazia wanafanya mabosi wake Joe na mkewe na wengine wachache.
 
Kwa kuona kwangu kwa kadri navyozijua hizi fm radios,nahisi Clouds wako vizuri kimkakati na management,kama ni changamoto zitakuwa kila kampuni,ila nawaona wako vizuri.
 
Acha uwongo,Diamond alivyopambana kuisimamisha Wasafi leo mtu aitumie kizembe bila yeye mwenyewe kunufaika,atakua mpumbavu basi,kwa mtu aliyeanzia chini kabisa tunamuona leo anamiliki 45% ya media house mnaona ni kitu kidogo?hebu tupunguze chuki kidogo,kijana amepambana.View attachment 1237015
[/QUOTE
hakuna mtu anachuki na diamond kijana,,kwanza diamond ni kijana mfano kwa vijana wengi wa Tanzania kwa juhudi zake na alipotoka hadi hapa alipo now,,na kila mtanzania mpenda maendeleo lazma amuombe afike mbali zaidi azidi kutoa ajira kwa vijana wenzie,,kinachopingwa hapo ni kusema diamond anamiliki hiyo wa wasafi media na wakati yeye ni shareholder wakimkakati tu kufanikisha lengo la watu kupiga pesa kwa kutengeneza ushindani fake kati ya clouds na wasafi na wakati zote ni za mtu mmoja ...mastermind wa huo mchezo wote ni bwana kusaga..huyo juhaina apo kwenye iyo list ni mkewe..sasa diamond kama ni kweli ana ugomvi na clouds ya kusaga akashirikiane na mtu anaelala nae kila Siku ..ebu tumieni ubongo kidogo vijana..why mnachotwa akili kiupesi sana . .mtu anapiga pesa.
 
hakuna mtu anachuki na diamond kijana,,kwanza diamond ni kijana mfano kwa vijana wengi wa Tanzania kwa juhudi zake na alipotoka hadi hapa alipo now,,na kila mtanzania mpenda maendeleo lazma amuombe afike mbali zaidi azidi kutoa ajira kwa vijana wenzie,,kinachopingwa hapo ni kusema diamond anamiliki hiyo wa wasafi media na wakati yeye ni shareholder wakimkakati tu kufanikisha lengo la watu kupiga pesa kwa kutengeneza ushindani fake kati ya clouds na wasafi na wakati zote ni za mtu mmoja ...mastermind wa huo mchezo wote ni bwana kusaga..huyo juhaina apo kwenye iyo list ni mkewe..sasa diamond kama ni kweli ana ugomvi na clouds ya kusaga akashirikiane na mtu anaelala nae kila Siku ..ebu tumieni ubongo kidogo vijana..why mnachotwa akili kiupesi sana . .mtu anapiga pesa.
Kwahiyo diamond apigi pesa? anawatengenezea watu pesa? we jamaa una akili ndogo sana
 
hakuna mtu anachuki na diamond kijana,,kwanza diamond ni kijana mfano kwa vijana wengi wa Tanzania kwa juhudi zake na alipotoka hadi hapa alipo now,,na kila mtanzania mpenda maendeleo lazma amuombe afike mbali zaidi azidi kutoa ajira kwa vijana wenzie,,kinachopingwa hapo ni kusema diamond anamiliki hiyo wa wasafi media na wakati yeye ni shareholder wakimkakati tu kufanikisha lengo la watu kupiga pesa kwa kutengeneza ushindani fake kati ya clouds na wasafi na wakati zote ni za mtu mmoja ...mastermind wa huo mchezo wote ni bwana kusaga..huyo juhaina apo kwenye iyo list ni mkewe..sasa diamond kama ni kweli ana ugomvi na clouds ya kusaga akashirikiane na mtu anaelala nae kila Siku ..ebu tumieni ubongo kidogo vijana..why mnachotwa akili kiupesi sana . .mtu anapiga pesa.
Hivi unaelewa unachokiongea kweli?Diamond ni sehemu ya wamiliki wa Wasafi media,kwahiyo unachomaanisha 45% ni geresha tu kwamba kuna watu wananufaika zaidi?hivi kweli inaingia akilini kwa mtu aliyepambania wasafi mpaka imesimama kama brand kubwa halafu leo eti itumike kimkakati bila ya yeye kunufaika?sidhani Diamond ni falaa kihivyo!
 
hahahahaha hatari sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kuna watu hawampendi diamond , hawataki kabisa kusikia wasafi ni ya diamond, hahaha chuki mbaya sana
 
Hawezi, bosi wake Joe ndio yupo juu ya kila kitu. Amekuwa bosi wake miaka yote tangu aanze kuwakawaka.
😂😂😂 wewe upo huko unasikiliza wasafi FM na hujui Mimi nina mkataba wa ajira hapa wasafi media na boss wangu mkuu ni mondi huyo Joe anazugaga kupiga story
 
Kusaga anamiliki 51pc ya Wasafi

Kitenge amekuwepo EFM hajawahi wasumbua Clouds
Kumwembe sijawahi elewa anaongea nini.

Uzuri ni kuwa kwenye faida bado wenye Clouds wanapata 51

yaani mwanzisha thread

hajui mmiliki wa clouds ndio wa wasafi pia

ujinga mzigo
 
ina maana ukisema hawezi unamaanisha Hata share/hisa za diamond Radioni kapewa kama zuga tu ila hana mamlaka nazo

au unataka kusema? maana hawezi vipi sasa
Kajifunze hisa zipoje na zina Maana gani ndio urudi kubisha
 
Comments za huu Uzi bwnaa..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hatufaidiki na huu ubishani. Watu waliona threat wakaneutralize kwa kutoa hela 53pc
 
Back
Top Bottom