Kama dunia inazunguka, kwanini miamba na milima haiporomoki? Na kwa nini bahari isimwage maji yake?

Kama dunia inazunguka, kwanini miamba na milima haiporomoki? Na kwa nini bahari isimwage maji yake?

What will happen kama dunia ikipoteza force of gravity;je vitu vitangukia wapi
Force of gravity ndiyo inayosababisha sayari zote zizunguke jua.force of gravity iko Kati ya vitu vyovyote viwili kwenye uzito.Hata kati yako na kajiwe.sema Ni ndogo Sana.
Kama hizi force ikiondoka Basi itakuwa Ni mwisho wa dunia na sayari zote.
Ila sidhani kama itatokea.labda black holes ndo zitakazomaliza universe yetu.Ila tutakuwa tushakufa kabla haijatokea kwasababu mpaka jua liishiwe nguvu na kuwa black hole mbali Sana.
 
Ivi kwamfano Gravity force ikipotea, na sayari zikajiachia... Huko chini zitakapokwenda, kuna mwisho? Kukoje?
Au mfano chombo kikitoka nje ya dunia, alaf kisiamue kwenda Kwenye sayari yoyote, bali kikaenda chini na kuziacha sayari juu.. Kule kitakapokwenda, je, kuna mwisho? Kukoje?
Naomba msaada wakuu
Nadhani hicho chombo kitakwenda Galaxy nyingine ambayo sio milky way
 
Hapo ndiyo ujue Mungu Mkubwa. Uumbaji wake hata wanasayansi waliobobea duniani hawaoni ndani hata chembe.

Kuna vitu vinanitatiza sana sijui ni sababu ya kutaka kujua kila kitu Mimi sio mtaalam wa Geography japo wakati nipo sekondari tu kwa nadharia na kuna concept inasema dunia huwa inazunguka au inajizungusha kwenye mhimili wake. Ila maswali ninayojiuliza inazunguka vipi? Na kwanini isifike kipindi leo tujione tupo upande huu kesho upande mwingine? au mwaka huu tupo upande huu mwaka kesho tupo upande mwingine.

Na pia pia kama inazunguka nilitegemea kwa hali ya kawaida kama unavyozungusha kitu chochote chenye maji kisicho na mfuniko maji yale yatamwagika lakini maji ya bahari mbona hayamwagiki? au ndio hiyo gravity? Na pia effect ya miamba na milima hainokeni labda kupomoka zaidi ya ile wanayosema plate movement kwenye Physical Geography.

Swali la msingi kama inazunguka Je, kwanini kila siku tunajiona tupo sehemu ileile?&[HASHTAG]#8203[/HASHTAG];
 
Kuna swali kauliza bwana mmoja halijajibiwa wakuu"" kama mtu ukiruka na chombo angani ukiwa hapa dar na ukakaa stationary kwa masaa kazaa huko angani atakaporudi ardhini anaweza kujikuta eneo tofauti na dar?"""
Dunia inazunguka pamoja na anga yake.kama uko kwenye anga ya dunia utakapo rudi utajikuta bado upo Dar.Lakini kama ulipaa ukafika nje ya anga ya mvutano wa dunia ukirudi utakuta Dar imehama.
 
Mkuu Annuity
Ni kweli dunia huzunguka jua pia kujizungusha kwenye mhimili wake,swali lako kua kwanini maji hayamwagiki au vitu haviporomoki umeshajijibu mwenyewe..naam gravity ndio sababu ya kila kitu kutegemea dunia kua kama mhimili wake mkuu,yani kila kitu kinavutwa toward the centre of the earth.Jinsi ulivyodhani kua dunia yaweza kua kama "chupa ya chai isiyo na mfuniko" kua ukiigeuza juu chini chai itamwagika ki kua unapogeuza vile ile chai isiyo na kizuizi inavutwa kuelekea katika dunia ndio sababu itatoka na kwenda ardhini wala haiwezi toka ikamwagika angani..nadhani umeona tofauti ya chupa ya chai na dunia kua dunia huvuta kulakitu ikiwemo hiyo chupa ya chai ndio maana unapotoa mfuniko na kugeuza chai huenda inapovutwa...kuhusu kutokujihisi kua upo upande wa pili wa dunia ni hivi;
Wote viumbe na sayari na kila kitu kingine vipo ndani ya universe(ulimwengu) na ulimwengu unafanana kila mahali..ndiomaana ukiwa Singida ukiangalia nyota ni vilevile na utakapoenda Tanga nyota ni zilezile hivyo hata unapogeuzwa upande wa pili kitu ni kilekile au juu na chini ya dunia kitu ni kile kile....


it is he who created the night and the
day, and the sun and the moon. they swim
along, each in an orbit 21:33 quran.
Nashukuru kaka dah
 
Suala la kumwagika maji au milima kuanguka ndio tija nyingngine inayoonyesha dunia inazunguka tena kwa speed kubwa sana mpaka vitu hivo haviwezi move out of the earth bali vitabaki sehem ilipo

Ni kama vile ukizungusha ndoo iliyojaa maji, kama ukiizungusha kwa speed kubwa maji hayo hayawez mwajika bali yataendelea kubak kwenye ndoo hiyo.
 
Inajizungusha katika speed ya ngapi katika mhimili wake,?na ngapi kuzunguka jua?
 
Great Thinker alhajry
nimefurahiya mchango wako pamoja na swali la mtoa mada Annuity, mengi uliyoyaeleza kwa upande mmoja nayakubali au nayaona yanalogic japo pia yana walakini hapa na pale,
tatizo langu kubwa lipo hapo kwenye Nyekundu, ki ukweli ningependa kutofautiana na wewe kwamba kupoteza mvutano wa Ardhi (Gravity force) HAITATOKEA KAMWE. kwa sababu ifuatayo:

Dunia hipo kwenye position iliyopo kutoka Centre of Gravity kwa sababu ya uzito wake (Mass), badiliko lolote la uzito kwenye Dunia litaathiri position ya Dunia either ielekee karibu na centre of Gravity au iende mbali na Centre ya Gravity

Dunia inawezaje Kupata uzito wa Ziada?
Tuna ushahidi mwingi wa foreign Rock mass (jiwe la Mbozi) ambazo hazikuwa kwenye Dunia lakini zilikuja duniani na sasa ni part ya Dunia, Jiwe la Mbozi ni Dogo sana lakini ikitokea Jiwe/Kimondo-Metiorite Kubwa ikadondokea ndani ya Dunia automatically weight ya Dunia itaongezeka na Dunia itamove kwenda kwenye Stability point Ku compensate extra weight iliyoongezeka, hivyo hii Gravity tuliyonayo haitakuwa hii na Dunia haitakuwa kwenye hii position iliyopo,

Dunia inawezaje Kupoteza uzito wake?
1. Dunia itapoteza uzito ikiwa tu kuna vitu vyenye uzito vilivyo part ya Dunia vikitoka ndani ya Dunia,
Mfano, Kuna research nyingi sana za space na kwenye Sayari zingine zinafanywa na nchi Kubwa America, Russia, China, Japan, India nk. Hizo research zina involve kutuma vyombo ambavyo havirudi tena Duniani.

Mfano Wamerekani walipeleka Chombo Mass mwaka 2012 (Mars Exploration Rover), Jumla ya uzito wake ukichanganya component zote (Rover yenyewe, lander, Backshell, Instruments nk) ilikuwa na total mass ya 1,063 kg (Tani moja), huo uzito Haurudi tena Duniani yaani Dunia imeshapoteza (tani moja) uzito huo moja kwa moja.

Kwa mass ya Dunia huo Uzito wa Rover ni Insignificant, lakini swali la muhimu ni Vyombo vingapi na vyenye uzito kiasi gani vinaenda space kila Mwaka?, kuna saterilte Ngapi na zenye uzito kiasi ngapi zinaenda space kila mwaka?

Kwa Dunia kupoteza uzito itafikia point huo Uzito utakuwa significant na Dunia itakuwa Nyepesi, hivyo itatoka hii position iliyopo sasa kwenda kwenye Stability inayofanana na Uzito wake

Karibuni kwa Changamoto
seanherms, Monstgala
Mkuu kama weight ya dunia itapotea kwa space shuttles kwenda anga la mbali,je huoni kutabalance maana generation itakayozaliwa itabidi iwe inaconsume less materials than us,?from earth?
 

Nimeweka hii link kuonesha kinachotokea mara nguvu ya mvutano inapokuwa haipo... hii ni international space station ambayo iko kwenye orbit..na wanasayansi wanaoishi huko wanaweza kuiona dunia inavyozunguka..kwenye space hakuna gravitational force..na ndo maana unaona huyu astronaut wa ASA anaelea tu..zipo pia video nyingi zinazoendana na hii ukiangalia unaweza kujifunza zaidi
 
Great Thinker alhajry
nimefurahiya mchango wako pamoja na swali la mtoa mada Annuity, mengi uliyoyaeleza kwa upande mmoja nayakubali au nayaona yanalogic japo pia yana walakini hapa na pale,
tatizo langu kubwa lipo hapo kwenye Nyekundu, ki ukweli ningependa kutofautiana na wewe kwamba kupoteza mvutano wa Ardhi (Gravity force) HAITATOKEA KAMWE. kwa sababu ifuatayo:

Dunia hipo kwenye position iliyopo kutoka Centre of Gravity kwa sababu ya uzito wake (Mass), badiliko lolote la uzito kwenye Dunia litaathiri position ya Dunia either ielekee karibu na centre of Gravity au iende mbali na Centre ya Gravity

Dunia inawezaje Kupata uzito wa Ziada?
Tuna ushahidi mwingi wa foreign Rock mass (jiwe la Mbozi) ambazo hazikuwa kwenye Dunia lakini zilikuja duniani na sasa ni part ya Dunia, Jiwe la Mbozi ni Dogo sana lakini ikitokea Jiwe/Kimondo-Metiorite Kubwa ikadondokea ndani ya Dunia automatically weight ya Dunia itaongezeka na Dunia itamove kwenda kwenye Stability point Ku compensate extra weight iliyoongezeka, hivyo hii Gravity tuliyonayo haitakuwa hii na Dunia haitakuwa kwenye hii position iliyopo,

Dunia inawezaje Kupoteza uzito wake?
1. Dunia itapoteza uzito ikiwa tu kuna vitu vyenye uzito vilivyo part ya Dunia vikitoka ndani ya Dunia,
Mfano, Kuna research nyingi sana za space na kwenye Sayari zingine zinafanywa na nchi Kubwa America, Russia, China, Japan, India nk. Hizo research zina involve kutuma vyombo ambavyo havirudi tena Duniani.

Mfano Wamerekani walipeleka Chombo Mass mwaka 2012 (Mars Exploration Rover), Jumla ya uzito wake ukichanganya component zote (Rover yenyewe, lander, Backshell, Instruments nk) ilikuwa na total mass ya 1,063 kg (Tani moja), huo uzito Haurudi tena Duniani yaani Dunia imeshapoteza (tani moja) uzito huo moja kwa moja.

Kwa mass ya Dunia huo Uzito wa Rover ni Insignificant, lakini swali la muhimu ni Vyombo vingapi na vyenye uzito kiasi gani vinaenda space kila Mwaka?, kuna saterilte Ngapi na zenye uzito kiasi ngapi zinaenda space kila mwaka?

Kwa Dunia kupoteza uzito itafikia point huo Uzito utakuwa significant na Dunia itakuwa Nyepesi, hivyo itatoka hii position iliyopo sasa kwenda kwenye Stability inayofanana na Uzito wake

Karibuni kwa Changamoto
seanherms, Monstgala
Hapo Umesahahu idadi ya watu na wa nyama inaongezeka na kuongeza uzito? Mimi huwa nafikiria kuhamisha uzito kutoka sehemu moja na kuelemea upande tofauti kama vile kuchimba mchanga Kokoto nk. Unzitoa polini na kujaza mjini.
 
Kuna vitu vinanitatiza sana sijui ni sababu ya kutaka kujua kila kitu Mimi sio mtaalam wa Geography japo wakati nipo sekondari tu kwa nadharia na kuna concept inasema dunia huwa inazunguka au inajizungusha kwenye mhimili wake. Ila maswali ninayojiuliza inazunguka vipi? Na kwanini isifike kipindi leo tujione tupo upande huu kesho upande mwingine? au mwaka huu tupo upande huu mwaka kesho tupo upande mwingine.

Na pia pia kama inazunguka nilitegemea kwa hali ya kawaida kama unavyozungusha kitu chochote chenye maji kisicho na mfuniko maji yale yatamwagika lakini maji ya bahari mbona hayamwagiki? au ndio hiyo gravity? Na pia effect ya miamba na milima hainokeni labda kupomoka zaidi ya ile wanayosema plate movement kwenye Physical Geography.

Swali la msingi kama inazunguka Je, kwanini kila siku tunajiona tupo sehemu ileile?&[HASHTAG]#8203[/HASHTAG];
Hili swali nimekuwa nikijiuliza kipindi mtoto
 
daah hili swali huwa najiuliza toka primary yaani!
Chukua kamba funga jiwe anza kulizungusha litengeneze duara , ww unakuwa kama jua na jiwe ndo dunia , mvutano kat ya ww(jua) na jiwe(dunia) ambao kamba unafeel ndo gravity, sasa vuta picha kamba imekatika utapata jibu dunia(jiwe) itaelekea wap.
 
Back
Top Bottom