Great Thinker
alhajry
nimefurahiya mchango wako pamoja na swali la mtoa mada
Annuity, mengi uliyoyaeleza kwa upande mmoja nayakubali au nayaona yanalogic japo pia yana walakini hapa na pale,
tatizo langu kubwa lipo hapo kwenye Nyekundu, ki ukweli ningependa kutofautiana na wewe kwamba kupoteza mvutano wa Ardhi (Gravity force) HAITATOKEA KAMWE. kwa sababu ifuatayo:
Dunia hipo kwenye position iliyopo kutoka Centre of Gravity kwa sababu ya uzito wake (Mass), badiliko lolote la uzito kwenye Dunia litaathiri position ya Dunia either ielekee karibu na centre of Gravity au iende mbali na Centre ya Gravity
Dunia inawezaje Kupata uzito wa Ziada?
Tuna ushahidi mwingi wa foreign Rock mass (jiwe la Mbozi) ambazo hazikuwa kwenye Dunia lakini zilikuja duniani na sasa ni part ya Dunia, Jiwe la Mbozi ni Dogo sana lakini ikitokea Jiwe/Kimondo-Metiorite Kubwa ikadondokea ndani ya Dunia automatically weight ya Dunia itaongezeka na Dunia itamove kwenda kwenye Stability point Ku compensate extra weight iliyoongezeka, hivyo hii Gravity tuliyonayo haitakuwa hii na Dunia haitakuwa kwenye hii position iliyopo,
Dunia inawezaje Kupoteza uzito wake?
1. Dunia itapoteza uzito ikiwa tu kuna vitu vyenye uzito vilivyo part ya Dunia vikitoka ndani ya Dunia,
Mfano, Kuna research nyingi sana za space na kwenye Sayari zingine zinafanywa na nchi Kubwa America, Russia, China, Japan, India nk. Hizo research zina involve kutuma vyombo ambavyo havirudi tena Duniani.
Mfano Wamerekani walipeleka Chombo Mass mwaka 2012 (Mars Exploration Rover), Jumla ya uzito wake ukichanganya component zote (Rover yenyewe, lander, Backshell, Instruments nk) ilikuwa na total mass ya 1,063 kg (Tani moja), huo uzito Haurudi tena Duniani yaani Dunia imeshapoteza (tani moja) uzito huo moja kwa moja.
Kwa mass ya Dunia huo Uzito wa Rover ni Insignificant, lakini swali la muhimu ni Vyombo vingapi na vyenye uzito kiasi gani vinaenda space kila Mwaka?, kuna saterilte Ngapi na zenye uzito kiasi ngapi zinaenda space kila mwaka?
Kwa Dunia kupoteza uzito itafikia point huo Uzito utakuwa significant na Dunia itakuwa Nyepesi, hivyo itatoka hii position iliyopo sasa kwenda kwenye Stability inayofanana na Uzito wake
Karibuni kwa Changamoto
seanherms,
Monstgala