Kama dunia isingekuwepo, kungekuwa na nini?

Kama dunia isingekuwepo, kungekuwa na nini?

Katika universe kuna millions of galax kaka....katika mzungoko ambapo dunia yetu ipo kuna sayar kama tisa...sasa mtoa mada afikirie katika upana huu kwamba hii galax yetu ina sayar tisa na kuna millions of galax katika universe.....wanasayansi hawajaweza kugundua hata nusu ya kilichopo katika galax ambayo dunia ipo ndani yake...maana yake kuna uwezekano mkubwa sana katika hizo galax nyingine kuna sayari ambazo viumbe vinaishi kama sisi na kuamini Miungu wao na wana historia kama kama zetu...so mleta uzi asiongelee dunia bali universe na galax zake ambazo sayansi haijaweza kugundua bado......kuna watu wanaamini binadamu ni uumbaji wa viumbe vingine kutoka galax za mbali...wengine wanasema dunia ni jela ya wafungwa kutoka galax nyingine...wengine wanasema ni harvest field...ila yote ya yote kama mtoa mada anamaanisha dunia basi jibu rahisi ni kuwa tungekuwa na sayari na galax nyingine kama dunia isingekwepo

Wadau,

Huwa najiuliza sana hili swali; hivi kama kungekuwa hakuna dunia kungekuwa na nini? Naombeni tufikiri na tujuzane, kungeweza labda kuwa na nini?

Karibuni.

Kungekua na pluto.
 
Hahaha, swali la ajabu sana ndugu yangu.

Kwanini unauliza kama dunia isingekwepo ingekuwaje, wakati ipo? Ni kama unapingana na wakati uliopo kwa kufikiria wakati ambao haupo. Kama dunia isingekwepo labda maisha na mfumo mzima wa ulimwengu ungekuwa tofauti na ulivyo hivi sasa, lakini kwa kuwa hivi sasa upo hivi basi jifunze zaidi na uzidi kujifunza maajabu ya ulimwengu.

Mtu anayeuliza swali kama hilo ni mtu aliyeshindwa kufahamu umuhimu wa wakati uliopo na kujikuta unawaza hali na nyakati ambazo hazipo hivi sasa. Live here, at now, with full of awareness. Hicho ndicho kinachotakiwa, usipingane na hali iliyopo kwani ipo kwa malengo maalum.
 
dunia isengekuwepo ina maana na wewe usingekuwepo.
kama haupo then ili swali la kuuliza dunia halipo kwa sababu haukuwepo.
 
hebu fafanua vizuri kijana,ulitaka kusema kusingekuwa na dunia au kusingekuwa na ulimwengu?dunia ni sayari tu iliyopo angani,lakini ulimwengu ni anga pamoja na vitu vyote vilivyomo angani zikiwemo sayari zote!
 
Back
Top Bottom