Kama fomu tu iko hivi, vipi upigaji na uhesabuji kura?

Kama fomu tu iko hivi, vipi upigaji na uhesabuji kura?

ccm kwa vile inakubalika nchi mzima kwanini mnavuruga zoezi zima bila sababu za msingi au lengo mshinde kwa kishindo bila ya upinzani?
Mkuu Mimi si muumini wa siasa... kwenye hili jukwaa nachungulia tu ili nijue nini kinaendelea kwenye nchi yangu
 
Viongozi wa upinzani mmepata sababu na ushahidi wa kutangaza kujitoa kwenye huu uchaguzi wa kihuni.

Kinachofanyika na serikali ya CCM ni kuona watu wote hawana akili kabisa ni mapunguani. Ni dhahiri hawa watu wamejipanga bila kujali aibu yeyote. Ukiangalia sababu za kuenguliwa ni za kijinga kabisa.

Sasa unaweza kujiuliza kama ni fomu tu hali ipo hivi, vipi upigaji wa kura? Hali si itakuwa kufuru.

Wapinzani wekeni tamaa za uongozi pembeni na kutoa tamko rasmi la kususia uchaguzi. Kuendelea kushiriki uchaguzi wa hovyo kama huu ni kubariki ushindi wa wizi wa CCM
Kila siku kususia ..? Watafute njia mbadala ya kudili na hawa mapumbavu
 
Mleta mada nenda mirembe ukapange chumba. NI BURE!!

Mbowe wamepewa pesa nyingi sana kwa ajili ya uchaguzi kwa hiyo hawezi kujitoa zaidi ya kulia lia na akina Mrema.

Hakuna siku Mbowe anafanya biashara lichaa. Yule jamaa yupo after money . JPM alijua mchezo wa wapinzani ndio maana alitaka vyama vya upinzani vife ili abaki kupambana majibu ndani ya CCM . Bahati Mbaya waliwahi na sasa Wahuni wanacheza na siasa za kusaka noti kwa kutumia watanganyika.
Mi huwa na wahurumia mno wakina mama wajawazito na wapinzani kwa ujumla wanao enda kupanga foreni ili kupiga kura huku wakijua kabisa mfumo uliopo kivyovyote vile wapinzani hawawezi shida.

Nikupoteza muda. ni vyema nguvu hizi tukazielekeza kudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi


Kwa hiyo hizo nguvu za katiba mpya zitatoka wapi kwa wapumbavu wanaoshindwa kudhibiti uchaguzi wa serikali za mitaa .

Yaani uchaguzi unaofanywa na watu wa mtaani unashindikana kuwadhibiti CCM mtawezaje kupata katiba mpya isiyo na kura wala ulaji zaidi ya watawala na mafisadi kujilinda ili wafie madarakani .


Duniani kote hakuna nchi ya kidemokrasia yenye uchaguzi wa mitaani kwa watu wanaolala na kula na kunywa pamoja kama ilivyo Tanzania.

Yaani ni uchaguzi mwepesi sana na wenye fursa ya kuonyeshana makali mpaka wanaoiba na wanaotangazwa wakatae kutangazwa kwa kisago na kiyama wa atakachopata. Ni aibu kubwa sana kwa Chadema kukosa uelekeo kwenye uchaguzi wa mitaani usio hata na picha wala nini !!
Uchaguzi wa kihuni ukapelekwa kihuni na kimafya mpaka. Yaani sijaona mtu kiongozi wa upinzani duniani mjinga kama Mbowe. Ila ni sawa maana haijawahi kutokea duniani Tajiri kupigania maslahi ya wanyonge kama kuna mtutu wa bunduki mbele. Bora angekaa pembeni akafafhili vijana wahuni kucheza mziki wa kiduku na CCM . Huu mziki ulikua ni wa Lisu ,Heche, Boni Yai , Pambalu , Mdude,Dr.Slaa. n.k. Uhuni huu wa wasimamizi na Mchengerwa ungeisha kabla ya mwaka huu kuisha.

lakini eti wakina Mnyika na Mrema wanaita Jambo TV na kuanza kulia lia lia kwa huruma eti wananchi wataamua wenyewe.

Pesa za Ruzuku mmemaliza halafu wananchi wataamua . Achieni hivyo viti inavyotumia maisha ya watu kujinufaisha .Lisu wa watu alipigwa risasi akijua anapigania chama cha siasa kumbe ni saccos ya Mbowe kupiga pesa.
 
Kule Mkoani RUVUMA hasa Wilaya ya MBINGA kuna madiwani hawajui kusoma wala kuandika.
Sijui kuhusu Wilaya ya Tunduru vilevile sijui hao wa Serikali za mitaa kama HATA KUHESABU 1-10 WANAWEZA.
 
Hivi Huyu mtu kwa nini mnamlea Sana? Vitu anavyo andika haviendani na mada husika tena anaongea ushetani tu... kwa nini mnaendelea kumlea?
hua nashangaa sana JF,...anaandika kichefu chefu muda wote,... nadhani ni same id na division four ,....ni kero
 
Wapinzani leteni hoja za kupinga huu ubabiloni unaofanywa na tume ,,mnaenguliwa kihuni then akinav mbowe mmekaa kimyaaa na mnajua kabisa huu ni muda kuingia madarakani Kwa sanduku la kura
Mfano, I'd yako iboreshe kwenye form na kusomeka...Boayio Hotayi...
Alafu tukuengue kwa kashindwa kuandika jina lako!
.....tukubaliane kuwa hatujastaarabika kufuata mfumo wa vyama vingi. Sioni sababu za kuwa wanafaki na kuingia gharama za kuiambia dunia kuwa sisi ni wafuasi wa multipartism.
Tuseme wazi kuwa sisi ni wa chama kimoja na dunia ituelewe kama wachina walivyo.
 
Back
Top Bottom