Kama Gari lilishawahi kukuaibisha, Pita hata utupe experience yako

Kama Gari lilishawahi kukuaibisha, Pita hata utupe experience yako

Niliwapakia wakwe niwawahishe Ubungo terminal saa 11:00 alfajiri, kumbe battery imekauka chaji, mvua inanyesha, fanya nifanyalo haikuwezekana gari halikuwezekana kuwaka, nikamwambia mama mkwe naomba nikuelekeze cha kufanya ili mimi na baba mkwe tusukume yeye alishtue... Baba mkwe akang'aka akasema yeye na mama mkwe wanashuka kusukuma mimi nishtue ...ndiyo ikawa pona yetu
 
Niliwapakia wakwe niwawahishe Ubungo terminal saa 11:00 alfajiri, kumbe battery imekauka chaji, mvua inanyesha, fanya nifanyalo haikuwezekana gari halikuwezekana kuwaka, nikamwambia mama mkwe naomba nikuelekeze cha kufanya ili mimi na baba mkwe tusukume yeye alishtue... Baba mkwe akang'aka akasema yeye na mama mkwe wanashuka kusukuma mimi nishtue ...ndiyo ikawa pona yetu

Baba mkwe aliwaza vizuri kuliko wewe.
 
Back
Top Bottom