Kama Haji Manara hasingekuwepo, Mpira wa nchi hii ungekuwa ulishakufa siku nyingi

Kama Haji Manara hasingekuwepo, Mpira wa nchi hii ungekuwa ulishakufa siku nyingi

Nimeipenda hii


"......Haji anahitajika kuliko wallet iliyosheheni kibunda cha noti za elf kumi kumi kwenye mfuko wa suruali ya mzinzi...."
 
Mimi ni yanga ila uhalisia ni kweli tupu,mpira wetu bila manara tungekuwa nyuma sana,anajua kutia hamasa! Tff wamtumie huyu jamaa kwenye timu za taifa
Kwani ukikoment ni lazma ujitambulishe we ni timu gani?
 
Mikia FC
20190807_232807.jpeg
 
Back
Top Bottom