Mshuza2 JF-Expert Member Joined Dec 27, 2010 Posts 11,261 Reaction score 17,202 Aug 7, 2019 #21 Uko sahihi..✌️
hp4510 JF-Expert Member Joined Jan 16, 2012 Posts 7,235 Reaction score 7,392 Aug 7, 2019 #22 Abunwasi said: Mpira pamoja na tambo na matani yake yamekuwepo kabla hata baba yake Haji Manara hajazaliwa. Click to expand... Sawa but miaka kadhaa ile hali ya ushabiki ilikuwa imekufa kabisa
Abunwasi said: Mpira pamoja na tambo na matani yake yamekuwepo kabla hata baba yake Haji Manara hajazaliwa. Click to expand... Sawa but miaka kadhaa ile hali ya ushabiki ilikuwa imekufa kabisa
Statesmann JF-Expert Member Joined Jul 16, 2019 Posts 2,344 Reaction score 3,461 Aug 7, 2019 #23 Nimeipenda hii "......Haji anahitajika kuliko wallet iliyosheheni kibunda cha noti za elf kumi kumi kwenye mfuko wa suruali ya mzinzi...."
Nimeipenda hii "......Haji anahitajika kuliko wallet iliyosheheni kibunda cha noti za elf kumi kumi kwenye mfuko wa suruali ya mzinzi...."
Will Jr JF-Expert Member Joined Jul 21, 2018 Posts 4,897 Reaction score 7,074 Aug 7, 2019 #24 mwenye shamba said: Mimi ni yanga ila uhalisia ni kweli tupu,mpira wetu bila manara tungekuwa nyuma sana,anajua kutia hamasa! Tff wamtumie huyu jamaa kwenye timu za taifa Click to expand... Kwani ukikoment ni lazma ujitambulishe we ni timu gani?
mwenye shamba said: Mimi ni yanga ila uhalisia ni kweli tupu,mpira wetu bila manara tungekuwa nyuma sana,anajua kutia hamasa! Tff wamtumie huyu jamaa kwenye timu za taifa Click to expand... Kwani ukikoment ni lazma ujitambulishe we ni timu gani?
MasterP. JF-Expert Member Joined Jun 5, 2013 Posts 8,063 Reaction score 6,405 Aug 7, 2019 #25 Mikia FC
Turnkey JF-Expert Member Joined Jul 9, 2013 Posts 7,359 Reaction score 5,837 Aug 7, 2019 #26 Mashabiki wa Instagram utawajua tu
Proved JF-Expert Member Joined Sep 10, 2018 Posts 32,639 Reaction score 42,908 Aug 8, 2019 #27 OKW BOBAN SUNZU said: Kumbuka pia Haji amekuja wakati wa social media.nakubali kuwa Haji ni kitunguu katika soka la bongo Click to expand... 👊👊👊
OKW BOBAN SUNZU said: Kumbuka pia Haji amekuja wakati wa social media.nakubali kuwa Haji ni kitunguu katika soka la bongo Click to expand... 👊👊👊