Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Siku chache zijazo, waumini watasherehekea kuzaliwa kwa Yesu aka Kristo aka Issa Masihi aka Mwana wa Joseph aka Mwana wa Maria aka Issa bin Mariam aka Son of Man aka Mwana wa Adam aka Mwana wa Mungu aka Mkombozi aka Kristo au mpakwa mafuta aka Neno aka Mwana kati ya watatu waundao Mung nk. Kama kuna mtu mwenye ushahidi anayejua siku au tarehe aliyozaliwa Yesu––––kama kweli aliwahi hata kuwepo––––atusaidie kutujuza siku au tarehe hiyo. Ukisoma Biblia na Quran, hazielezi alizaliwa au kufa lini zaidi ya stori za Pwagu na Pwaguzi, Chizi na Mchizani. Je Yesu alizaliwa tarehe ngapi wanangu?