Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 3,506
- 6,305
Kwani soda zilitengenezwa special for children auSoda umekuwa mtoto mdogo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani soda zilitengenezwa special for children auSoda umekuwa mtoto mdogo.
Kabisa.Kwani soda zilitengenezwa special for children au
Imeandikwa wapiKabisa.
Hàta Mungu hajawahi kukwambia alikuwepo toka tarehe ngapi.Siku chache zijazo, waumini watasherehekea kuzaliwa kwa Yesu aka Kristo aka Issa Masihi aka Mwana wa Joseph aka Mwana wa Maria aka Issa bin Mariam aka Son of Man aka Mwana wa Adam aka Mwana wa Mungu aka Mkombozi aka Kristo au mpakwa mafuta aka Neno aka Mwana kati ya watatu waundao Mung nk. Kama kuna mtu mwenye ushahidi anayejua siku au tarehe aliyozaliwa Yesu––––kama kweli aliwahi hata kuwepo––––atusaidie kutujuza siku au tarehe hiyo. Ukisoma Biblia na Quran, hazielezi alizaliwa au kufa lini zaidi ya stori za Pwagu na Pwaguzi, Chizi na Mchizani. Je Yesu alizaliwa tarehe ngapi wanangu?