Wapo watu wanadhani Magufuli hakuwa na watu na wapo wanadhani Magufuli alifanya Yale hakuambiwa au kutakiwa kuyafanya chini ya Baraza la usalama wa Taifa.
Ikumbukwe Magufuli amekufa kwa sababu ya CCM kuendelea kukaa madarakani hii sio siri wala Habari yakuficha Hayati Magufuli amekufa akilitetea Taifa lake china ya sera hizi hizi za chama Chama cha Mapinduzi.
Hapakuwahi kutokokea Kiongozi wa kitaifa aliwaambia ukweli Watanzania kama alivyo twambia Mzee Magufuli.
Hayati Magufuli amekufa akilitetea Taifa kwa dam na nyama hakulala hakupumzika hakuwa na muda wakupoteza kama kiongozi wakitaifa.
Alifanya kazi kwa uchungu mkubwa na alitaka kuona change for nation.
Sorry wajinga wachache I can call them rat of nation walimuona kama paka hatari katika nyumba alie taka kuangamiza uzao wote wamapanya ktk nyumba.
Leo naliuliza Baraza la usalama wa Taifa na ma general wote na wakuu wa usalama kama Magufuli alifanya kwa ajili ya tumbo lake watuambie ni wapi na kwa ajili gani some hata ya makampuni wanasema yake sio yake sio yake na hao secret service the know what was on the plan.
Kwa manufaa haya Taifa maana watu wabaya walikuwa wakitupangia mabaya usiku na mchana na tulikuwa tukionya mara kuonya some thing bad what to happen?
Tanzania nitaifa kubwa Tanzania ni taifa lenye Mali na kila aina ya utajiri why kikundi fulani ndio kinataka kula na kunyonya maziwa ya mama Tanzania wao na vizazi vyao nakutukana watu kwa masilahi yao binafsi?
Tunajuwa Hayati Mkapa kwanini mnamchukia hakuna siri alipinga watoto wa vigogo kukifunika chama and he was very firm on this so he was a threat to panya in side the house chuki hasira kwa waliokufa nikurudisha nyuma mikakati yakurithishana nyumba. Kwanini mnamlaani Hayati Magufuli alitia sumu ndani ya nyumba kiasi hata wale panya walikuwa wakikwepa sumu nakujuwa sumu walikula na walipitea...
Swali ni moja tu Magufuli alifanya operation zote chini ya secret service. Kwanini and why je semeni mpango kazi wa Taifa ni upi na kwanini upo hivyo je Kuna siri mtaificha au siku zitawaumbua...
Siku hazigandi siku hazigandi Mungu atamlipia Mwl Nyerere atamlipia Sokoine. Atamlipia Mkapa na Magufuli
Ikumbukwe Magufuli amekufa kwa sababu ya CCM kuendelea kukaa madarakani hii sio siri wala Habari yakuficha Hayati Magufuli amekufa akilitetea Taifa lake china ya sera hizi hizi za chama Chama cha Mapinduzi.
Hapakuwahi kutokokea Kiongozi wa kitaifa aliwaambia ukweli Watanzania kama alivyo twambia Mzee Magufuli.
Hayati Magufuli amekufa akilitetea Taifa kwa dam na nyama hakulala hakupumzika hakuwa na muda wakupoteza kama kiongozi wakitaifa.
Alifanya kazi kwa uchungu mkubwa na alitaka kuona change for nation.
Sorry wajinga wachache I can call them rat of nation walimuona kama paka hatari katika nyumba alie taka kuangamiza uzao wote wamapanya ktk nyumba.
Leo naliuliza Baraza la usalama wa Taifa na ma general wote na wakuu wa usalama kama Magufuli alifanya kwa ajili ya tumbo lake watuambie ni wapi na kwa ajili gani some hata ya makampuni wanasema yake sio yake sio yake na hao secret service the know what was on the plan.
Kwa manufaa haya Taifa maana watu wabaya walikuwa wakitupangia mabaya usiku na mchana na tulikuwa tukionya mara kuonya some thing bad what to happen?
Tanzania nitaifa kubwa Tanzania ni taifa lenye Mali na kila aina ya utajiri why kikundi fulani ndio kinataka kula na kunyonya maziwa ya mama Tanzania wao na vizazi vyao nakutukana watu kwa masilahi yao binafsi?
Tunajuwa Hayati Mkapa kwanini mnamchukia hakuna siri alipinga watoto wa vigogo kukifunika chama and he was very firm on this so he was a threat to panya in side the house chuki hasira kwa waliokufa nikurudisha nyuma mikakati yakurithishana nyumba. Kwanini mnamlaani Hayati Magufuli alitia sumu ndani ya nyumba kiasi hata wale panya walikuwa wakikwepa sumu nakujuwa sumu walikula na walipitea...
Swali ni moja tu Magufuli alifanya operation zote chini ya secret service. Kwanini and why je semeni mpango kazi wa Taifa ni upi na kwanini upo hivyo je Kuna siri mtaificha au siku zitawaumbua...
Siku hazigandi siku hazigandi Mungu atamlipia Mwl Nyerere atamlipia Sokoine. Atamlipia Mkapa na Magufuli