Kama hakuna Mzee au kiongozi yeyote wa kitaifa atamwambia ukweli Mzee Makamba, yajayo yanafurahisha

Kama hakuna Mzee au kiongozi yeyote wa kitaifa atamwambia ukweli Mzee Makamba, yajayo yanafurahisha

Wapo watu wanadhani Magufuli hakuwa na watu na wapo wanadhani Magufuli alifanya Yale hakuambiwa au kutakiwa kuyafanya chini ya Baraza la usalama wa Taifa.

Ikumbukwe Magufuli amekufa kwa sababu ya CCM kuendelea kukaa madarakani hii sio siri wala Habari yakuficha Hayati Magufuli amekufa akilitetea Taifa lake china ya sera hizi hizi za chama Chama cha Mapinduzi.

Hapakuwahi kutokokea Kiongozi wa kitaifa aliwaambia ukweli Watanzania kama alivyo twambia Mzee Magufuli.

Hayati Magufuli amekufa akilitetea Taifa kwa dam na nyama hakulala hakupumzika hakuwa na muda wakupoteza kama kiongozi wakitaifa.

Alifanya kazi kwa uchungu mkubwa na alitaka kuona change for nation.

Sorry wajinga wachache I can call them rat of nation walimuona kama paka hatari katika nyumba alie taka kuangamiza uzao wote wamapanya ktk nyumba.

Leo naliuliza Baraza la usalama wa Taifa na ma general wote na wakuu wa usalama kama Magufuli alifanya kwa ajili ya tumbo lake watuambie ni wapi na kwa ajili gani some hata ya makampuni wanasema yake sio yake sio yake na hao secret service the know what was on the plan.

Kwa manufaa haya Taifa maana watu wabaya walikuwa wakitupangia mabaya usiku na mchana na tulikuwa tukionya mara kuonya some thing bad what to happen?

Tanzania nitapiga kubwa Tanzania ni taifa lenye Mali na kila aina ya utajiri why kikundi fulani ndio kinataka kula na kunyonya maziwa ya mama Tanzania wao na vizazi vyao nakutukana watu kwa masilahi yao binafsi?

Siku hazigandi siku hazigandi Mungu atamlipia Mwl Nyerere atamlipia Sokoine. Atamlipia Mkapa na Magufuli
Mtu mjinga tu asiyeujua ukweli wa mambo ndio anaweza kumtetea Magufuli!
 
Hiki chama sijui kama kitashinda 2025 - kama kitaendelea kuwaachia watu wa aina ya kina MA-ROPE; hao vichaa kupanda majukwaani na kuelezea chuki zao kwa watu ambao walilifanyia mema taifa hili. Huyo MA-ROPE anaonekana kabisa ni mchumia tumbo, na anapigania maslahi yake binafsi.
Basi kampige kama unamuweza.

Haya ni matokea ua kushabikia uovu tangu hapo mwanzo.

Sema umelalia upande wenu ndio maana mnalala na viatu
 
Ila bibi yako na babu yako wakifa kule kijijini ni mipango ya mungu ila akifa kiongozi mkubwa au magufuli ameuawa! Hizi akili zako ni takataka
Huna akili wewe. Jina lolote nikiandika hapa maana yake inakuwa ameuawa? Huna akili wewe, nimeandika majina ya ma Rais walio tangulia mbele za haki kwa huku tanganyika.. Ama kweli wauji mnajistukia kinoma yani
 
Yaani TumainiEl watanzania mpaka sasa hatuelewi nini maaana ya kitu kinachoitwa usalama wa taifa.

Haiwezekani rais auawe chini ya mikono yao halafu waliomuua waendelee na tambo mpaka kufikia hatua ya kujigamba kwa kauli bila kuogopa.

Ina maana wao ni walinzi wa maslahi gani? Kwa nini huu mjadala wa kumdhihaki Dkt Magufuli wasingeufunga ili watu wajadili maendeleo?

Inasikitisha sana kama kweli eti watu wazuri hawafi jamani basi Mungu yupo.
Mkuu

Kuna uwezekano huko mbeleni kesi ikafunguliwa na jamuhuri kuhusu hii kitu !

Kuna watu wataacha kiti KWA kuguswa na evidences!

Ndicho nionacho!
 
Yaani TumainiEl watanzania mpaka sasa hatuelewi nini maaana ya kitu kinachoitwa usalama wa taifa.

Haiwezekani rais auawe chini ya mikono yao halafu waliomuua waendelee na tambo mpaka kufikia hatua ya kujigamba kwa kauli bila kuogopa.

Ina maana wao ni walinzi wa maslahi gani? Kwa nini huu mjadala wa kumdhihaki Dkt Magufuli wasingeufunga ili watu wajadili maendeleo?

Inasikitisha sana kama kweli eti watu wazuri hawafi jamani basi Mungu yupo.
Mnajihisi sana,, anyway, kama mnataka battle isokay,, tushachoka na mambo yenu, let solve this once and for all,,
 
Wameshasahau waliiua CCM 2015 mpaka alipoifufua Magufuli.

Magufuli hakuifufua ccm acha upotoshaji, bali alikuwa ni mlevi wa madaraka aliyoyatumia kukandamiza upinzani. Usidhani wanaccm wenzake ni wajinga. Wanajua fika hakuwa na ushawishi na wala ccm haikuwa na ushawishi, bali watu walijawa na hofu, kisha wakalishwa mapenzi bandia kwa CCM. Kama aliifufua CCM mbona yeye ndio aliiongoza kwa kunajisi uchaguzi?
 
Sikuwahi kumpenda Magufuli Katika Utawala Wake Lakini Hizi Drama,Mapicha,Fedheha,Dharau,Kejeli,Wizi,Utapeli,Majivuno Na Kashfa Za Viongozi Wa Awamu Hiii...

Wakuu Mungu Ampumzishe Magufuli...
 
Nchi hii kuna watu wanajifanya kama wana hati miliki nayo,wao na familia zao

Ova
 
Nimetazama clips za hotuba ya Kikwete na Makamba kwa umakini nikaona hawa wazee safari hii walikuwa wana hasira hatari. JK huwa yuko soft kwenye hotuba zake ila jana alikuwa wa moto mno. Neno mpuuzi, wapuuzi kalitaja mara kadhaa. Yaani hakuwa na masikhara hata kidogo. Makamba alikuwa na hisia kali toka juzi akihojiwa na waandishi. Mzee Makamba ndo alishindwa kabisa kuji-control. Bado sijaelewa kabisa sababu za wazee kucharuka hivi. Halafu mbona Bashiru alikuwa ka-relax kabisa? Nitafuatilia vizuri.
 
Huna akili wewe. Jina lolote nikiandika hapa maana yake inakuwa ameuawa? Huna akili wewe, nimeandika majina ya ma Rais walio tangulia mbele za haki kwa huku tanganyika.. Ama kweli wauji mnajistukia kinoma yani
Hahahaha!lazima tujishtukie kwani we je?
 
Back
Top Bottom