We jamaa umenionaje aisee! Kwa uelewa wa haya mambo na umri nilionao sistahili kunyweshwa chai ya dzain hii. Hizi stori peleka kwa wenzio kwenye vibanda vya movie za James Bond na Rambo
Picha ya majeneza tafadhali! Hakuna siri humu duniani kwa matukio makubwa kama HAYO!Wamekufa wamarekani wengi tu, lakini US na Israel watasema hakuna aliye kufa.
Kweli mkuu hao waajemi wako vizuri kwa propaganda. Kama kuna Wamarekani wangekufa Nancy Pelos pamoja na Demos kina Ihal Omar,wasingemuacha Trump, wangemshutumu sana!Picha ya majeneza tafadhali! Hakuna siri humu duniani kwa matukio makubwa kama HAYO!
TUMEONA live kassim selemani alivyo geuzwa jivu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuonyeshe picha yoyote ya kifo cha Osama au jeneza lakePicha ya majeneza tafadhali! Hakuna siri humu duniani kwa matukio makubwa kama HAYO!
TUMEONA live kassim selemani alivyo geuzwa jivu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Israel hapa inahusika vipi mkuu?Wamekufa wamarekani wengi tu, lakini US na Israel watasema hakuna aliye kufa.
Yamekua haya tena [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]Wake up brother huu mchongo umepangwa....Ayatolla kaongea na Whitehouse iondoe wanajeshi Kwenye hizo base ili wazipige ili Iran wananchi wafurahi halafu watangaze Kwenye news zao kuwa wameua askari wakimarekani wengi ili RAIA za Iran zitulie zikijua zimeshalipa kifo cha shahid Suleiman..... Its a win win situation
Jeneza la Osama Na La Albaghdad 2nalihitaji Hapa [emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]Kweli mkuu hao waajemi wako vizuri kwa propaganda. Kama kuna Wamarekani wangekufa Nancy Pelos pamoja na Demos kina Ihal Omar,wasingemuacha Trump, wangemshutumu sana!
Akikujibu Unitag MKUU.....Tuonyeshe picha yoyote ya kifo cha Osama au jeneza lake
Jeneza la Osama Na La Albaghdad 2nalihitaji Hapa [emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
dogo we hujui kama Jeshi la US limezuia wapiga picture na wandishi wa habari kuingia kwenye hizo base mbili. Yani we unategemea USA atakubali kuonyesha aibu yake kwenu π π π πPicha ya majeneza tafadhali! Hakuna siri humu duniani kwa matukio makubwa kama HAYO!
TUMEONA live kassim selemani alivyo geuzwa jivu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena zime sambaratishwa kabisa na Jeshi la America wamezuia wandishi wa habari kusogea kabisa.Military base zimepigwa hazijapigwa?
Kwahiyo, unataka kusemaje?Tuonyeshe picha yoyote ya kifo cha Osama au jeneza lake
Majeneza yao una kazi gani nayo?Jeneza la Osama Na La Albaghdad 2nalihitaji Hapa [emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna uharibifu huko?? Bivi zile Airfedence zimegonga mwamba??
Mkuu unaanza saa ngapi kuwek update?Majeneza yao una kazi gani nayo?
Huyo mkurupukaji amesha zoeleka humu.Wacha hayo mozowezi ya jeshi la Qatar
Tuliona kasim selemani yale makombora yalivyo usambaratisha Ile convoy YAKE!dogo we hujui kama Jeshi la US limezuia wapiga picture na wandishi wa habari kuingia kwenye hizo base mbili. Yani we unategemea USA atakubali kuonyesha aibu yake kwenu [emoji16] π [emoji23] [emoji23]
Zile ni military facilities. Unadhani hali ya usalama itakuwaje endapo kila mtu akiruhusiwa kuingia humo kupiga picha?Jeshi la US limezuia wapiga picture na wandishi wa habari kuingia kwenye hizo base mbili.