Citizen B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 6,681
- 9,084
I see you are still sleeping...huu ni mchezo tu kila nchi haitaki vita kwasababu wakipigana watakaofaidika ni Russia na China
Kwahyo wewe explanation yako ya kwanin wanajeshi hawakuwepo Kambini ni ip?
Kwahyo wewe explanation yako ya kwanin wanajeshi hawakuwepo Kambini ni ip?
We jamaa umenionaje aisee! Kwa uelewa wa haya mambo na umri nilionao sistahili kunyweshwa chai ya dzain hii. Hizi stori peleka kwa wenzio kwenye vibanda vya movie za James Bond na Rambo