Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Mtoa comment ana hoja.Ila ww kweli hamnazo hayo maji ya kumwagilia nchi nzima mtayavuta bahari ya Hindi,,
Vyanzo vya maji (mito) inakauka kabisa nenda vijijini utajua!!!
Duuuu poleni Simanjiro (Manyara) kwa ukame unawakumba mpaka mifugo inakufa
Amekwambia huo uwekezaji utumie vyanzo vya maji ya vijito vya msimu?
Nchi yenye mziwa makuu kama hii unaweza ukawaza kufanya miradi ya kitaifa kwa udhaifu wa namna hiyo?