Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kilimo cha kutegemea mvua kimepitwa na wakati.
Serikali inatakiwa iwekeze kwenye kilimo cha umwagiliaji nchi nzima.
Inawezekana hata kwa kutumia mikopo mradi ndani ya miaka miwili kila mkulima akawa na uwezo wa kulima muda wowote provided tuna maji ya kutosha.
Miaka yote hyo nilishazaliwa,labda kama ni nyuma ya hapo,97 kama sikosei ni mwaka wa el nino ila sio ukameWatoto wa 2000 changamoto sana, ukipata mda kaa na wazazi wako wakuambie ukame wa 1997 na 1984 mpaka yakaja yale mahind ya njano
Je ng'ombe mmoja mdogo (ndama) anauzwa bei gani hapo Manyara? Nijibu tafadhaliTupeni muda kidogo tufanye shooting madarasa ya mama kwa ajili ya kuonyesha tibisii...........tujipimie urefu wa kamba zetu then tutakuja kuwafariji watu wa manyara kwa kufiwa na mifugo yao kutokana na ukame mkali, kwa aina ya viongozi tulio nao kwa sasa prepare for the worst......
Kwa mkoa wa Mbeya Wilaya za mbarali na Chunyq sio za kutegemea.Mbarali hali ngumu wakulima wanalia kilimo cha mpunga mwaka huu huenda kisiwepo miti wameimaliza huku watu wakiona mti lazma waukate wameamua kuanza kusali sasa😃😃
Ona unavyoaibika,Live bila Chenga,Rukwa hii 👇Mungu hawezi kuleta mvua kwenye Taifa kama hili,labda kimbunga cha Nzige anaweza kuleta lakini siyo mvua👇
View attachment 2081975
Kati ya mimi na hawa mapunguani kwenye hii video ni nani kazua aibu kwa Taifa?🤡🤡🤡
Wewe ndio punguani ila hujijui kuwa ni punguani.Kati ya mimi na hawa mapunguani kwenye hii video ni nani kazua aibu kwa Taifa?🤡🤡🤡
View attachment 2083507
Huna uwezo wa kuelewa nilichokuuliza na ndiyo maana unajibu vitu vya ajabu.Imagine nimekupa hadi picha za live majinya mvua yakitiririka,bado unasema mvua hainyeshi sijui nani kazuia.
Kulaani Rais fisadi kuhamasisha ufisadi kwenye serikali yake ni chuki?We punguani utakufa na chuki zako na hakuna kitu utafanya.
Wewe ni kenge ,utabiri unaouweza ni siku ya kula papuchi ya demu wako tuu.Huna uwezo wa kuelewa nilichokuuliza na ndiyo maana unajibu vitu vya ajabu.
Nimekuuliza kuwa kati ya mimi ambae nimetabiri kuwa mvua haitanyesha kisha ikanyesha na hao mapunguani walioitisha kikao cha kujadili jinsi ya kulitafuna Taifa ni nani kazua aibu kwa Taifa?
Kulaani Rais fisadi kuhamasisha ufisadi kwenye serikali yake ni chuki?
🖕🖕🖕Wewe ni kenge ,utabiri unaouweza ni siku ya kula papuchi ya demu wako tuu.
Nakuletea picha za live maji ya mvua yanatiririka unasema umetabiri mvua hainyeshi ,una kichaa