Ndenji five
JF-Expert Member
- Nov 1, 2021
- 1,985
- 3,109
Siku zote lengo la kuanzisha haya maligi ni kumtafuta mshindi
Ila inanishangaza huu mpira wetu wa kitanzania tokea haya maligi yaanze sijawahi kuona hizi timu ndogo zikishika nafasi ya pili au ya kwanza
Je ni kusema kwamba hazina uwezo wa kushinda
Je simba na yanga ni timu zenye wachezaji wenye uwezo mkubwa kuliko wote hapa Tanzania
Kama ni hivyo kwanini simba na yanga ndio zipewe kipaumbele kuliko timu zingine
Mfano timu ndogo zinapokuwa zinapambana na moja ya timu za simba na yanga lazima kuwe na figisu lazima lazima ubebajwi fulani utokee
Sasa kuna maana gani ya kuweka haya maligi kwanini tusiwaachie simba na yanga sisi timu zingine tuwe mashabiki nazan itapendeza
Mnachuana wenye kama ilivyo pale bungeni Dodoma saiz kila meza kijani tu mpaka raha
Maana sioni umuhimu wa kuanzisha ligi ikiwa washindi mnafahamika ni simba au yanga
Mnaua vipaji mnaua hamasa mnaua uwajibikaji mnatupotezea gharama bora ifikie kipindi timu zingine zijiweke pembeni mshindane wenye
Mchukue makombe wenyewe nazan itapendeza
Na watu wa media zetu mlivyokosa ufahamu siku ya simba na yanga promo kibao lakini wakicheza wengineo hakuna huu ni unyanyasaji na ni utengano wa wazi alafu kesho mzungu akimbagua mwafrika kelele kibao kwenye hizo media mbona hili hamlipigii kelele
Na nyie mashabiki acheni kushikiwa akili Tanzania ni ya kwetu sote ushabiki wenu usio fikiria ni wakipuuza hongereni mnaojielewa
Ila inanishangaza huu mpira wetu wa kitanzania tokea haya maligi yaanze sijawahi kuona hizi timu ndogo zikishika nafasi ya pili au ya kwanza
Je ni kusema kwamba hazina uwezo wa kushinda
Je simba na yanga ni timu zenye wachezaji wenye uwezo mkubwa kuliko wote hapa Tanzania
Kama ni hivyo kwanini simba na yanga ndio zipewe kipaumbele kuliko timu zingine
Mfano timu ndogo zinapokuwa zinapambana na moja ya timu za simba na yanga lazima kuwe na figisu lazima lazima ubebajwi fulani utokee
Sasa kuna maana gani ya kuweka haya maligi kwanini tusiwaachie simba na yanga sisi timu zingine tuwe mashabiki nazan itapendeza
Mnachuana wenye kama ilivyo pale bungeni Dodoma saiz kila meza kijani tu mpaka raha
Maana sioni umuhimu wa kuanzisha ligi ikiwa washindi mnafahamika ni simba au yanga
Mnaua vipaji mnaua hamasa mnaua uwajibikaji mnatupotezea gharama bora ifikie kipindi timu zingine zijiweke pembeni mshindane wenye
Mchukue makombe wenyewe nazan itapendeza
Na watu wa media zetu mlivyokosa ufahamu siku ya simba na yanga promo kibao lakini wakicheza wengineo hakuna huu ni unyanyasaji na ni utengano wa wazi alafu kesho mzungu akimbagua mwafrika kelele kibao kwenye hizo media mbona hili hamlipigii kelele
Na nyie mashabiki acheni kushikiwa akili Tanzania ni ya kwetu sote ushabiki wenu usio fikiria ni wakipuuza hongereni mnaojielewa