Waugwadu
JF-Expert Member
- May 28, 2019
- 484
- 854
Hiyo 500K nafikiri.Tracker
Sema kama unaweza kubargain 550K unapata kwa pale kwa sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo 500K nafikiri.Tracker
Usiwe mnafiki mkuuItategemea,,,,,,, lakini pia watu hutofautiana kimawazo
Tu connect basiSiku hizi bila connection kufanikiwa ngumu
Jaribu huwezi jua bahati yako.Kumbe hawana lolote.....ko nsijisumbue sana....hata majib hawakutoa
iko hivi Bro pale kinachofanyika ni kunyonya positive energy.Oya wanajamvi, Kuna hizi kampuni wanatangaza kazi afu unapiga aptitude test online, Moja wapo ni ALISTAIR nawataja kwa majina sababu nafanya hip-hop, oy muwachane TU kama hawana mpango wa kuajiri wasitume tangazo, au kama wana watu wao wawaite TU, wanatuchanganya majobless, unapiga Pepa online maswali 40 ujibu ndani ya lisaa limoja, passmark ni 65% humo humo Kuna maswali ya mathematics hasa sequence and series nyingi,ya uelewa, ya language, labda mimi kilaza ila Ile Pepa kutoboa is not easy.
Mara nyingine nlienda kwenye interview somewhere kulikuwa na nafasi 43, kati ya hao 39 walikuwa wanarenew mikataba na nafasi zikabaki nne tupo raia mia mbili na point huko, na wote tulipigwa written Pepa then oral interview what the hell is this, I think authorities know nothing about what the JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala we have been through.
Afu kuna hii ishu ya ajira jeshi la polisi nao sijui wanatuonaje majobless na link Yao mbovu na hawatoi tamko hadi sasa.
Pole San mkuu. Mie pia niliomba nafas ya port clerk na walinitumia aptitude test link ya online nimepiga since February 4 mwak huu. Naon kimya mpk saiv Nd Huw inachukua muda mwngn hivi au Nishachinjwa tyrTracker