Kama hamtendi haki,watu watashirikiana na yeyote anayeweza kuwasaidia kupata haki hata kama mtu huyo atakuwa ni Ibilisi

Kama hamtendi haki,watu watashirikiana na yeyote anayeweza kuwasaidia kupata haki hata kama mtu huyo atakuwa ni Ibilisi

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Huu ndio ukweli mchungu kwa hawa watu hawa ambao wameamua kutumia mabavu kunyanyasa wengine, tena wakitimiza wajibu waliopewa kwa doublestand ya hali ya juu.

Mnawalazimisha watu kutafuta haki zao nje ya mifumo iliyopo kwasababu mifumo hiyo haitendi haki, alafu cha ajabu, nyie ndio mnakuwa wa kwanza kulalamika. Ajabu kabisa hii!!

Kwa kifupi, mnachokifanya ni sawa na kumtandika mtu mzima bakora, alafu ulalamike kuwa anakupigia kelele anapolia kutokana na maumivu uliomsababishia au usitake alie kabisa!

Kwa mwendo huu,hata shetani watashirikiananae mradi tu anaweza kuwasaidia kupata haki yao na hata Mungu atatoa baraka zake na mwisho wa siku mtashindwa tu.
 
20201003_101328.jpg
 
Ukivunja sheria hata ibilisi nae atakukataa tu,maana kuna siku na yeye utavunja sheria zake.
 
Mtapasuka mishipa bure, Ccm bado ipo madarakani kwa miaka miamoja ijayo

Kumbuka Ccm inawanachama hai mlion ishirini acha mashabiki na wafuasi wakati Chadema inawanachama laki tano

Vijana muache mihemuko ya kisiasa mtakufa siku zenu, mwenzenu Uchaguzi ukiisha anarudi zake kula bata ulaya
 
Mshirikiane nao Mara ngapi...nyie leteni hasira za mkizi muuze nchi halafu udhani vikitokea atakaye athirika Ni amsterdam watakapo kua washabeba madini
 

Attachments

  • Screenshot_20201003-103601.png
    Screenshot_20201003-103601.png
    15.2 KB · Views: 2
  • Screenshot_20201003-103535.png
    Screenshot_20201003-103535.png
    16.1 KB · Views: 2
Huu ndio ukweli mchungu kwa hawa watu hawa ambao wameamua kutumia mabavu kunyanyasa wengine, tena wakitimiza wajibu waliopewa kwa doublestand ya hali ya juu.

Mnawalazimisha watu kutafuta haki zao nje ya mifumo iliyopo kwasababu mifumo hiyo haitendi haki alafu cha ajabu nyie ndio mnakuwa wa kwanza kulalamika.

Kwa kifupi, mnachokifanya ni sawa na kumtandika mtu mzima bakora alafu ulalamike kuwa anakupigia kelele anapolia kutokana na maumivu uliomsababishia au usitake alie kabisa.

Kwa mwendo huu,hata shetani watashirikiananae mradi tu anaweza kuwasaidia kupata haki yao na hata Mungu atatoa baraka zake.
Ccm imechokwa, kila sehemu lazima wasombe watu kwa magari kupeleka mikutanoni, waache watu waende wenyewe pia wasikodi wasanii.
 
Tatizo vijana wa Chadema mnauwezo mdogo sana

Ndio Maana mtapigwa tatu bila mbaki mnangaa macho jf
Unaweza kuthibitisha beyond reasonable doubt kuwa hii document ni valid?Unafikiri kila mtu ni mpumbava kama wewe?
 
Hadi kufikia October 26 kura za Ccm zitakuwa zimepanda kwa 98%
Huu utopolo uneandaliwa na Diwani DGI ili kumfurahisha boss wake baada ya kufokewa Sana wiki Jana kwamba hafanyi kazi ipasavyo
 
Back
Top Bottom