Kama haujawahi kunywa energy drinks Hongera na Jiepushe nazo. Kama umezoea kuzitumia Tafadhali weka mpango wa kupunguza na kuacha

Watu wa boda boda wanakipenda kweri kweri

Ova
 
Nikajua umekuja na utafiti, kumbe ni porojo tu!
 
Reactions: FWC
Kinywaji pekee nipendacho ni maji na juisi ya asili (ya kutengeneza na matunda og)

Nina miaka kadhaa sinywi soda wala kinywaji chochote cha kiwandani
Hata hizo juice siyo salama pia, kula matunda kwa kiasi

Ukinywa juice ya chungwa unakamua machungwa mangapi?
 
Majibu tyari mtaani ingawa mdo mdo sana. Kijana wa 20s au below alipata shida kwenye moyo wake muhimbili wakamuwahi kisa hvo vdude.
 
Kinywaji pekee nipendacho ni maji na juisi ya asili (ya kutengeneza na matunda og)

Nina miaka kadhaa sinywi soda wala kinywaji chochote cha kiwandani
Ila hiyo haitakufanya usife mkuu maana mademu unagegeda bila ndom na unazama kunako chumvi sasa si bora mnywa energy tu hapo
 
Hizo zina watu wake.
Wale tunaotumia nguvu nyingi kufanya kazi ndo zetu
 
Acha kutisha watu kisa Mo hajawahi kunywa, nini faida ya kufa na kuzikwa ukiwa na afya njema?
 
hizo kitu hazifai

niligida vikopo viwili, aisee ilikuwa kidogo nikate moto aicee.

mapigo ya moyo yalipanga ghafla nikahisi kama Izraeli mtoa roho yuleee ananingoja

ilikuwa naelekea kuzimika laivu.

saivi kama lazima ninywe ivo vidude basi lazma nichanganye na vitu vingine kama maji soda nk
 
Marekani wanaoongoza kwa kufanya kazi duniani wanapiga 5hr energy shots na zingine stronger zaidi ya hiyo ya Mo mara 10 miaka na miaka na kuna redbull hadi za nusu lita na hawajaona hiyo hatari we na vibarua wako mmeona hd kuanzisha thread? Umetumwa kuua biashara za watu? Sio mbaya fanyeni utafiti kwa emperical data then conclude sio kutazama vijana wako watano kuja kuanzisha uzi wa kuharibu maelfu ya ajira za watu na kodi!
 

Attachments

  • IMG_7375.png
    3.3 MB · Views: 8
  • IMG_7374.png
    743.3 KB · Views: 8
Ila hiyo haitakufanya usife mkuu maana mademu unagegeda bila ndom na unazama kunako chumvi sasa si bora mnywa energy tu hapo
Mimi sio shabiki wa uvinza, kuhusu ndom situmii ila kuna vipimo, na mimi mtu wa kubadili mademu,
 
Kipindi nipo Law School nilikuwa lazima ninywe Mo Xtra mbili nazimix na Hills Water. Aisee nkishika kitabu cha Dr. Tenga na Dr. Mramba tutakutana asubuhi hapo.

Ila nashukuru Mungu nilikuja kuacha baada ya ile shule ngumu kuisha.
 
Mimi sio shabiki wa uvinza, kuhusu ndom situmii ila kuna vipimo, na mimi mtu wa kubadili mademu,
Vipimo vinakudanganya ndani ya masaa 72 aliye pata maambukize anaweza kuambukiza mwingine lakini ndaniya masaa 72 HIV test kit haiwezi kusoma ikakupa ya +ve
 
Too much of anything is harmful , mimi ni mtumiahi wa energy drinks wa siku nyingi tangu enzi hizo za red bull hayo madhara sijawahi kukutana nayo sabab nakunywa kwa sababu maalumu mara mbili au tatu hivi kwa mwezi.

Japo hayo madhara hata mimi nimeyshuudia kwa watu wengi wanaotumia sana
 
Mimi sio mnywaji wa mara kwa mara wa hivi vinywaji lakini ikitokea nimekunywa huwa napata hali ya kutetemeka na mwili kushtuka shtuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…