Kama hauko katika hizi listi fanya uwepo mwanaJF

Kama hauko katika hizi listi fanya uwepo mwanaJF

Unatamani uniibie nini wewe Muree?
Hongera mkuu, nadiriki kusema u miongoni mwa watu waliosababisha jf iendelee kuwepo kwa namna ulivyoiunga mkono wew na wenzako waliopo na hata walioishia njiani, nafikiri unastahili pongezi tukiweka unafiki wa ktz kando
 
Ila Rutashubanyuma anatisha bana.

Nisipoangalia anaweza kunipita hata kabla hii 2016 haijaisha.
Wew umetisha zaidi kwa kushikilia rekodi muda mrefu sana, huyu ruta sina historia yake ya nyuma sana, nafikiri itikadi yake hunifanya nisimfuatilie zaidi japo simchukii
 
Kushikwa mkono sitaki ndo maana mmeniacha, nataka bebwa mie
Usijali mkuu chagua mwenyewe÷
-kichwani
-mgongoni
-baiskeli
-pikipiki
-gari
-guta
-bajaji
-bodaboda
-bombdier
Kuhusu mwendo unataka mwendokasi, wa kobe au kinyonga.
Tatizo Iceman 3D kapata wanyonge wake basi anariiinga
Hance mtanashati ndio moto wa kuotea mbali, angekuwepo around ungeniambia mwenyewe na kumpigia salute.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] baby kishanimwaga et kisa kanifuma natongozwa mitaa ya kati Na akasahau kua nilimfumania red handed


Tuseme inshaallah [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Amin[emoji120]
Kuhusu huyu baby wako mbona amekuhukumu kwa kesi ambayo sio yako..!!
-Nitaitisha kikao cha familia tuzungumze kwa hekma na busara kutoka pande zote 2, usijali mkuu hilo niachie mimi
 
Ha haa basi hapo Li Ngabu bichwa limefuraaa. Usilisifie sana hilo
Aaaaah sijamsifia nimempa stahili zake, sipendi ile tabia ya kusifia mtu akifa, mwambie akiwa hai na sio ujinga au kujikomba
 
Usijali mkuu chagua mwenyewe÷
-kichwani
-mgongoni
-baiskeli
-pikipiki
-gari
-guta
-bajaji
-bodaboda
-bombdier
Kuhusu mwendo unataka mwendokasi, wa kobe au kinyonga.

Hance mtanashati ndio moto wa kuotea mbali, angekuwepo around ungeniambia mwenyewe na kumpigia salute.
Aaah, kubebwa ni mgongoni na mwendo wa pole msije niangusha
 
Amin[emoji120]
Kuhusu huyu baby wako mbona amekuhukumu kwa kesi ambayo sio yako..!!
-Nitaitisha kikao cha familia tuzungumze kwa hekma na busara kutoka pande zote 2, usijali mkuu hilo niachie mimi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nakuaminia najua uwepo wako hakitaharibika kitu
 
nitafika tu huko sku moja, mbal na account yangu ya 2007 kupewa ban
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nakuaminia najua uwepo wako hakitaharibika kitu
Ndo mambo yangu hayo[emoji12] [emoji23] [emoji23][emoji23]
Mimi tena, mpambe nimekabidhiwa rungu.
-nways mimi rafiki yako wa kweli, nataka nikufae kwa dhiki wakati wa matatizo tuendelee kuzidi kuwa pamoja na kusaidiana na sio tu wakati wa furaha pekee.
 
Ndo mambo yangu hayo[emoji12] [emoji23] [emoji23][emoji23]
Mimi tena, mpambe nimekabidhiwa rungu.
-nways mimi rafiki yako wa kweli, nataka nikufae kwa dhiki wakati wa matatizo tuendelee kuzidi kuwa pamoja na kusaidiana na sio tu wakati wa furaha pekee.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]asanteeeeee nakuaminia
 
Nilitamani Sana cm yangu iwe na muonekano Kama hip. Cjui nifanyeje au Nitumie app ili.
Yan toka nibadili cm inakuja application mbovu ambayo siielewi
 
Mkuu umependelea maana mimi natoa likes,na coments,michango mpaka pesa zikihitajika za kujenga jukwaa lakn simo kwenye orodha au hao ni wa Ccm bado sisi wa chadema
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom