Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakupendaga unavyojua kujitetea tu bae
Nakupenda in everything you do lady wanguNakupendaga unavyojua kujitetea tu bae
*Nakuona nakuona shilawadu[emoji1] [emoji1]supermarket nakuona
Soon na wewe utakuwepo kwa list tuanze kukimbizana sote, kwa maana njia tunayokimbiza na kina ukhuty na Iceman 3D ni moja. Tunatembea na sakayo huku tumemshika mkono mbio nyingi vumbi[emoji23] [emoji23] [emoji23]Supermarket
Iceman 3D
Ukhuty naona mnakimbizana.
Zz kabaki wapi
Mjanja wetu angekuwepo hance mtanashati, tusingeona hata vumbi alipopitia[emoji1] [emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] baby kishanimwaga et kisa kanifuma natongozwa mitaa ya kati Na akasahau kua nilimfumania red handed*Nakuona nakuona shilawadu[emoji1] [emoji1]
-Namuona baby wako pale kwa most messages[emoji12]
-Na wewe soon nikuone kwa list 2017.
Kushikwa mkono sitaki ndo maana mmeniacha, nataka bebwa mieSoon na wewe utakuwepo kwa list tuanze kukimbizana sote, kwa maana njia tunayokimbiza na kina ukhuty na Iceman 3D ni moja. Tunatembea na sakayo huku tumemshika mkono mbio nyingi vumbi[emoji23] [emoji23] [emoji23]
-Zz yupo biz kidogo
Tatizo Iceman 3D kapata wanyonge wake basi anariiingaMjanja wetu angekuwepo hance mtanashati, tusingeona hata vumbi alipopitia[emoji1] [emoji1]
Mbna yupo hujamuona?Bi Faiza kakosekana vipi.. Au ndo figisu figisu za mjini
Hupo ila huna impact mkuucategory hovy kabisa, ungeweka na wakongwe tulionzia Jambo forums, mimi jamii niko toka mwaka 2009
Na mimi je?Ubaaa Ubaaa ubarikiweee
Hapo kwa Nyani Ngabu natamani nimwibie....
Hizo post zako nyingi sana bana. Hebu nipunguzie kidogoUnatamani uniibie nini wewe Muree?
Ubarikiwee ubaa ubaa Ubarikiwee [emoji176] [emoji175]Na mimi je?
Hapo sawa... Baraka za Bwana ziwe mbele yakoUbarikiwee ubaa ubaa Ubarikiwee [emoji176] [emoji175]
Hao wapo kitambo sana, twaweza sema ni miongoni mwa waasisi wa jf, na safari ndefu sana kuifikisha jf ilipo sasaSijaelewa yani MTU ametuma post sitini na tano elfu au macho yangu 65000 posts mh
Hao wapo kitambo sana, twaweza sema ni miongoni mwa waasisi wa jf, na safari ndefu sana kuifikisha jf ilipo sasa
Cc nyani ngabu