Kama hauna pesa endelevu achana na mapenzi

Kama hauna pesa endelevu achana na mapenzi

Quinton Canosa

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2012
Posts
1,224
Reaction score
1,250
Habari wana JamiiForums

Nimekaa na kufikiria sanaaaa. 100% Mapenzi ni biashara, kila penzi unalogusa linataka pesa, kila ukijaribu upate wa kuishi naye milele usipokuwa na kipato endelevu wanakimbia. Hii ina maana gani?

Hii ina maana Wanawake hawaingii kwenye mahusiano na wewe kwa upendo wa dhati, wanaingia kwenye mahusiano wakitegemea uwepo wa chochote kitu. Pesa ikipungua penzi linanyauka.

Tuna safari ndefu sana ili kufikia malengo yetu wa kimaisha. Kama hauna PESA ENDELEVU achana na mapenzi. MAPENZI KIDOGO MIZINGA MINGI.
 
Habari wana JamiiForums

Nimekaa na kufikiria sanaaaa. 100% Mapenzi ni bahasha, kila penzi unalogusa linataka pesa, kila ukijaribu upate wa kuishi naye milele usipokuwa na kipato endelevu wanakimbia. Hii ina maana gani?. Hii ina maana Wanawake hawaingii kwenye mahusiano na wewe kwa upendo wa dhati , wanaingia kwenye mahusiano wakitegemea uwepo wa chochote kitu. Pesa ikipungua penzi linanyauka.

Tuna safari ndefu sana ili kufikia malengo yetu wa kimaisha.Kama hauna PESA ENDELEVU achana na mapenzi.MAPENZI KIDOGO MIZINGA MINGI
Hujapata mtu sahihi, ukimpata pesa kwake haitakua kipaumbele sana japo atazihitaji.
 
Habari wana JamiiForums

Nimekaa na kufikiria sanaaaa. 100% Mapenzi ni biashara, kila penzi unalogusa linataka pesa, kila ukijaribu upate wa kuishi naye milele usipokuwa na kipato endelevu wanakimbia. Hii ina maana gani?

Hii ina maana Wanawake hawaingii kwenye mahusiano na wewe kwa upendo wa dhati, wanaingia kwenye mahusiano wakitegemea uwepo wa chochote kitu. Pesa ikipungua penzi linanyauka.

Tuna safari ndefu sana ili kufikia malengo yetu wa kimaisha. Kama hauna PESA ENDELEVU achana na mapenzi. MAPENZI KIDOGO MIZINGA MINGI.
We ndo unajua leo
 
Habari za usiku vijana wangu
Leo sina mengi ya kuongea ngoja niongee kiufupi.....KIJANA KAMA HAUNA KIPATO CHA MAANA ACHANA NA MAPENZI...UTAANDAMWA NA MAGONJWA YASIOAMBUKIZA KILA SIKU......

Siku njema
Tatizo ni hitajio la mwanadamu kama vile kwenda haja ,kula kulala , kuvaa nk na mapenzi nayo kadhalika.
 
Habari wana JamiiForums

Nimekaa na kufikiria sanaaaa. 100% Mapenzi ni biashara, kila penzi unalogusa linataka pesa, kila ukijaribu upate wa kuishi naye milele usipokuwa na kipato endelevu wanakimbia. Hii ina maana gani?

Hii ina maana Wanawake hawaingii kwenye mahusiano na wewe kwa upendo wa dhati, wanaingia kwenye mahusiano wakitegemea uwepo wa chochote kitu. Pesa ikipungua penzi linanyauka.

Tuna safari ndefu sana ili kufikia malengo yetu wa kimaisha. Kama hauna PESA ENDELEVU achana na mapenzi. MAPENZI KIDOGO MIZINGA MINGI.
Umeandika kwa uchungu sana
 
Habari wana JamiiForums

Nimekaa na kufikiria sanaaaa. 100% Mapenzi ni biashara, kila penzi unalogusa linataka pesa, kila ukijaribu upate wa kuishi naye milele usipokuwa na kipato endelevu wanakimbia. Hii ina maana gani?

Hii ina maana Wanawake hawaingii kwenye mahusiano na wewe kwa upendo wa dhati, wanaingia kwenye mahusiano wakitegemea uwepo wa chochote kitu. Pesa ikipungua penzi linanyauka.

Tuna safari ndefu sana ili kufikia malengo yetu wa kimaisha. Kama hauna PESA ENDELEVU achana na mapenzi. MAPENZI KIDOGO MIZINGA MINGI.
Women don't love us men, they just love the money we have that can support the lifestyle they crave for
 
Habari wana JamiiForums

Nimekaa na kufikiria sanaaaa. 100% Mapenzi ni biashara, kila penzi unalogusa linataka pesa, kila ukijaribu upate wa kuishi naye milele usipokuwa na kipato endelevu wanakimbia. Hii ina maana gani?

Hii ina maana Wanawake hawaingii kwenye mahusiano na wewe kwa upendo wa dhati, wanaingia kwenye mahusiano wakitegemea uwepo wa chochote kitu. Pesa ikipungua penzi linanyauka.

Tuna safari ndefu sana ili kufikia malengo yetu wa kimaisha. Kama hauna PESA ENDELEVU achana na mapenzi. MAPENZI KIDOGO MIZINGA MINGI.
Watu wengi hufikiri mapenzi ni pesa. Nenda huko vijijini watu wanaoana hawana hata hela na wana watoto. Kuna wanandoa wanaunga unga maisha lkn wanaishi kwa upendo.
Unaweza kuwa na hela na bado ukaachwa
 
Sahv ni pesa,lazima upige bajeti kabisa

Kinachoniboa ni pale unapotaka kuachana nae anakuganda kama ruba,wakat mim nataka nipate ladha mpya maana kwake nilikuwa nanunua na nataka nikanunue na kwingine
 
Ahahahahah..
Umechelewa sana kujua.
UKichekewa jua kuna kitu kina chekiwa 😂
Sasa wewe nawe jifanya kucheka cheka, utalia mbele ya safari
 
Back
Top Bottom