Kama hauna pesa endelevu achana na mapenzi

Utakuwa unalenga pisi ambazo sio level zako mkuu
 
..hata ndoa za sasa ni ajira kwa wanawake, kama ukitetereka kiuchumi ndyo utaona true colour ya wife
 
Unaishi kijijini ww
Kuna watu kama ww waliamini mapenzi ni pesa.
Wakawasomesha wapenzi wao, kuwajengea nyumba na kuwanunulia magari wanawake wakifikiri watapendwa sana. Nyie ndiyo wale, mwanamke anakutafuta akiwa na shida ya pesa, ukimpa hakutafuti. Siku akiwa na shida anakutafuta sana. Endelea kutafuta pesa ili kuwafurahisha wanawake
Kuamini mapenzi ni pesa ni kuwa na uwezo mdogo sana wa kufikiria
 
..hata ndoa za sasa ni ajira kwa wanawake, kama ukitetereka kiuchumi ndyo utaona true colour ya wife
Kuna wanawake wa kuishi kwenye raha tu na wanawake wa kuishi kwenye shida na raha.
Amini kuna watu wanaenjoy kwenye ndoa zao
 
Mbona makasiriko,nimekuuliza unaishi Kijijini ww mkuu?,Jibu alafu twende na hoja
 
Naaam ..
Mwenye nyumba akitaka kukufukuza hukuzidishia kodi😎
 
Haya umeyajua leo? Weee umetoka wapi na imani yako hiko wapi? Kwa mkristo mme atakula na kuishi kwa jasho! Lazima ufanyekazi! Mwanamke ni kuzaa na kutunza nyumba na ni mlinzi wa mume na mali zake! Sasa huna hela unaanzaje kuwaza kumiliki mmke?
 
Sasa tukiona sayari itatusaidia nini kiuchumi?
 
Kuishi kijijini ni sehemu ya Tanzania.
Endelea kutafuta pesa ili kuwafurahisha wanawake wakupende
Sawa Ngoja nikae kimyah mm ...Maana mwijaku alikuwa Hana pesa kihivo ila mkewe aliishi nae hivo hivo Leo ni next level....mawazo yako ni yako Baki nayo tu
 
Show kali
 
Tatizo la sasa kwa vijana ni.moja tu:- Hawakuwahi kufundishwa kwa kina kabisa ili wajue kwamba 1. Ngono SIO mapenzi 2. Wewe mwanaume ujue unapodhani mwanamke atakupenda kwa sababu ya utajiri wako, UNAJIDANGANYA. Unaweza kujikuta unachapiwa na kibega wa Kariakoo shimoni japo una mamilioni ya dola, rolls royce, na maghorofa kadhaa. 3. Kama wakati unatafuta ajira unafanya dua na sala, basi ukitaka kuoa usiache kuweka dua na sala tena kwa nguvu kuliko dua za kutafuta kazi. Kazi utadumu nayo miaka 35 lakini mke utakuwa nae hadi utakapoingia kaburini 4. Kila mvulana anataka apate mke mzuri sana kwa mwonekano wa nje (very beautiful) lakini hakai akawaza kwamba ni mara chache sana uzuri wa nje umeambatana na uzuri wa tabia na moyo wenye wema. Tena hataki kukubali kwamba kama yeye amemtamani, wapo pia na wanaume wengine, wenye uwezo kuliko wake wamtamani pia. 5. Kijana usifanye haraka kuoa. Tena hakikisha msichana wako anajua kwamba kabla hujamvika pete unao uhuru wa kwenda out na wengine. 6. Jaribu kila uwezalo kuchunguza historia na tabia za msichana uliyekutana nae barabarani. Inawezekana alikuwa na "mtu wake wa kudumu" chuoni wakati hapo hapo alikuwa na "zee la posho" mjini, na hapo hapo ana mchumba kijiji. Halafu wooote hao, (pamoja na wewe), mmeshaonjeshwa "asali" yake. Vijana ambao bado hamjaoa, kuweni makini, zingatieni sana mambo haya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…