Kama haupo vizuri kiroho ni ngumu ku-run biashara kubwa

Kama haupo vizuri kiroho ni ngumu ku-run biashara kubwa

Ukitaka nguvu ya kiroho ni lazima uwe na utaratibu wa kusoma biblia kila siku amka ata mara tatu kwa wiki usiku saa kumi kumshukuru Mungu omba rehema omba hitaji lako Mungu akutendee acha dhambi toa sadaka ya kupanda mbegu sadaka ya ujenzi,toa malimbuko toa zaka hivi ndio unavyoenda kupata utajiri
nimekukubali aise ufalme wa Mungu unatekwa na wenye nguvu
 
Duuh hamna noma kaka wee lete mazaga tuuze
Changamoto muda wa kusafirisha ni mrefu sana sana...kama kawaida kuna mmbongo mwenzetu ndio deal zake za kusafirisha ....atakuambia mzigo uko kwenye meli ...kumbe bado upo stoo anakusanyakusanya angalau kontena lijae....halafu mwishowe anakuambia hata mama samia anamsafirishiaga mizigo yake.
 
Huu ujinga utausikia nchi maskini tu.
Usijidanganye kaka, wazungu na watu wakubwa duniani wanaamini kuliko maskini wengi. A thing ni kwamba wewe ukisikia ulimwengu wakiroho unafikiria maswala ya shumileta. Ila wazungu wanaongelea maswala ya Metaphysics , Chakra, Subconscious Mind, etc. Albert Einstein, Stive Jobs, Abraham Lincoln, Nicola Tesla. ninaweza nikakupa lists hadi ukaamini ni wachache ambao hawaamini ukilinganisha na wanaoamini. Ila public criticism kama zako ndo zinafanya watu wasiongelee hayo mambo na pengine ni siri ya kibishara ya watu wengi hawataki ujue. Nimejifunza vitu viwili kwa mtu anayekataa kuwa ulimwengu wa kiroho haupo 1. Wengi wanaosema haupo ni wachawi na wanaogopa watu wakiamka wataanza kujiuliza kuhusu uchovu, hasira, tamaa, ugomvi, mikosi, magonjwa wanayopata kama ni hali ya kawaida tu au kuna jambo limefichika, mwishi wa siku mtu akajinasua. 2. Wengi wamepofushwa na wachawi (hapa siongelei nshyka nk) ili wasipate msaada na hawajui ulimwengu wa kiroho unafanyaje kazi. Wengi wafikiri ukiongelea ulimwengu wa kiroho unaongelea miujiza tu au bahati na mikosi tu, ila wanasahau confidence, amani, furaha, uoga wa kujaribu, uchovu, perception vyote hvyo ni vitu vya kiroho
 
Usijidanganye kaka, wazungu na watu wakubwa duniani wanaamini kuliko maskini wengi. A thing ni kwamba wewe ukisikia ulimwengu wakiroho unafikiria maswala ya shumileta. Ila wazungu wanaongelea maswala ya Metaphysics , Chakra, Subconscious Mind, etc. Albert Einstein, Stive Jobs, Abraham Lincoln, Nicola Tesla. ninaweza nikakupa lists hadi ukaamini ni wachache ambao hawaamini ukilinganisha na wanaoamini. Ila public criticism kama zako ndo zinafanya watu wasiongelee hayo mambo na pengine ni siri ya kibishara ya watu wengi hawataki ujue. Nimejifunza vitu viwili kwa mtu anayekataa kuwa ulimwengu wa kiroho haupo 1. Wengi wanaosema haupo ni wachawi na wanaogopa watu wakiamka wataanza kujiuliza kuhusu uchovu, hasira, tamaa, ugomvi, mikosi, magonjwa wanayopata kama ni hali ya kawaida tu au kuna jambo limefichika, mwishi wa siku mtu akajinasua. 2. Wengi wamepofushwa na wachawi (hapa siongelei nshyka nk) ili wasipate msaada na hawajui ulimwengu wa kiroho unafanyaje kazi. Wengi wafikiri ukiongelea ulimwengu wa kiroho unaongelea miujiza tu au bahati na mikosi tu, ila wanasahau confidence, amani, furaha, uoga wa kujaribu, uchovu, perception vyote hvyo ni vitu vya kiroho
🚮huu mda umetumia kuandika yote haya ungewaza hata kitu cha maana.
 
🚮huu mda umetumia kuandika yote haya ungewaza hata kitu cha maana.
Well, nina vision ambayo ni tofauti na yako na kama wewe umeajiriwa huwezi kuelewa kwanin mimi naweza nikaandika na nikalala ninavyotaka na pengine napata mkate wangu kwa wakati
 
Back
Top Bottom