Kwenye android tunafanyaje mkuu
It works!! Oi nitumie namba yako ya m pesa1.nenda setting
2.then general
3.then vpn
4.then click add vpn configuration
5.then after kwenye type unachagua ya mwisho L2TP
5.then kwenye description andika vpn
6.then kwenye server write this code 219.100.37.180
7.kwenye account write vpn
8.password again andika vpn
9.kwenye secret again andika vpn
10.after filling all this unabonyeza done kwajuu
11.itakuja status unabonyeza on
Note:Make sure your mobile data is on na una kifurushi
It works!! Oi nitumie namba yako ya m pesa
Je ni lazima uwe umepakua VPN au hapana?1)Go to Settings>>Wireless and Network and wireless>VPN and then Tap add VPN profile
2)New VPN profile will appear with the following blank fields
a)Name field "Put vpn"
b)Type "Select L2TP/IPSecPSK
c)Server adress "write 219.100.37.144 "
d)IP Sec pre-shared key "write VPN"
e)Fowarding routes "write 0.0.0.0/0
3)Connect to VPN will appear with the following empty fields
a)Username "write vpn"
b)Password "Put vpn"
Then you will connect to new vpn profile where a [emoji1006] symbol will appear on top of your phone window after succesfully connecting to VPN
Je ni lazima uwe umepakua VPN au hapana?
Mkuu hiyo inbuilt VPN ina speed ya kutosha kulinganisha na hizi za kupakua?
Kwa kali linux nadhan iko hivyo japo sina uhakika coz sijaitumia hio feature kwenye kali, ila kwa parrot OS ndio inafanya kazi bila shida yoyotekali linux mbona inasema kuwa hatutakuwa anonymous?View attachment 1620148
Mimi nikiconnect inaandika unsuccessful[emoji19]
Sasa hivi imekubali.Mkuu hizi server ulizotaja hapa zipo nchi gani?
Ivi VPN HIYO haitumii bundle langu pindi napohitaj kuperuz ?Mkuu nawezaje kupata hizi IP address za nchi mbalimbali kama vile Kenya,South Afrika,Swatzland,etc?
Mkuu nawezaje kupata hizi IP address za nchi mbalimbali kama vile Kenya,South Afrika,Swatzland,etc?
Vipi hiyo Orbot Toy haitumii bundle kukuunganisha na page unayotaka kuperuzHello bosses
Kwa hali ya sasa kumekua na wimbi la watu kukimbilia VPN ili kuaccess internet kwa wanaopata shida ya internet breakdown. Kutumia VPN kuna madhara yake ukiachana na slow speed kwa baadhi ya VPN providers.
Madhara makubwa ya kutumia VPN ni kwamba VPN provider wako anaweza kuona kila data zako unazotuma na kupokea hivyo akitaka kujua umesurf nini ni rahisi kwake kufanya hivyo. Kwa wanaotumia apps au websites ambazo hazifanyi end to end encryption au hazina ssl wako kwenye hatari zaidi ya kuingiliwa kwenye mawasiliano yao, kuibiwa passwords etc......
Kwenye dark web kuna hackers huwa wanatoa password dumps zinazokuwa zimebeba passwords zinazotumika mara kwa mara na moja ya chanzo cha hizo data huwa ni passwords zinazotumwa kwenye websites ambazo hazina ssl (requests & data sent or received to/from the server are not encrypted) pamoja na data kutoka kwenye VPN(hasa free VPNs).
Pia VPN providers wana uwezo wa kuuza data zako bila wewe kujua.
Suluhisho la hii ni kutumia TOR circuit. Sitoelezea kiundani sana ufanyaji kazi wa tor circuit lakini kiufupi ni kwamba request yako inapitishwa kwenye nodes mbalimbali kabla ya kutoka na kuingia kwenye exit node yako. Hii ni tofauti na VPN za kawaida kwa sababu kwnye VPN unakua umepewa Server moja ifanye kazi kama intermediary wako, so ni kama vile unaiambia server ikutafutie kitu fln au i-fanye login sehemu fln etc..... Kwa TOR circuit request yako haitofuata route moja bali requests tofauti zinaweza kufuata routes tofauti ila zikawa na exit node moja ambayo ndio inakulink ww na TOR circuit, hii inaondoa uwezekano wa requests zako kuwa logged sehemu moja kama ilivyo kwa VPN
UNAJIUNGAJE NA TOR CIRCUIT.?
Kwa wenye smartphone kuna app inaitwa ORBOT Tor, na pia nadhan kuna windows version yake. Download kisha weka kwenye kifaa chako na itakuuliza ku-enable 'Built in VPN', iruhusu kisha utachagua apps zipi zitumie TOR circuit. ORBOT TOR ni rahisi kutumia na inajieleza.
Kwa wanaotumia parrot OS kujiunga na TOR circuit ni kitendo cha 'one-click; tu. Fungua menu kisha chagua 'Anon-surf' then 'Start Anon-surf'
NOTE:
WATU WENGI HUHUSISHA TOR NA DARK WEB LAKINI TOR CIRCUIT INAWEZA PIA KUKUSAIDIA KU-BROWSE INTERNET ANONYMOUSLY NA KUEPUKA USUMBUFU WA KUTOINGIA KWENYE APPS AU WEBSITES AMBAZO ZIMEZIMWA KWENYE ENEO ULIPO. SO TOR CIRCUIT HAITUMIKI KWA DARK WEB TU LAKINI NI ALTERNATIVE NZURI YA VPN
Happy Surfing!
~Kali Linux
THANKS1)Go to Settings>>Wireless and Network and wireless>VPN and then Tap add VPN profile
2)New VPN profile will appear with the following blank fields
a)Name field "Put vpn"
b)Type "Select L2TP/IPSecPSK
c)Server adress "write 219.100.37.144 "
d)IP Sec pre-shared key "write VPN"
e)Fowarding routes "write 0.0.0.0/0
3)Connect to VPN will appear with the following empty fields
a)Username "write vpn"
b)Password "Put vpn"
Then you will connect to new vpn profile where a [emoji1006] symbol will appear on top of your phone window after succesfully connecting to VPN
Hello bosses
Kwa hali ya sasa kumekua na wimbi la watu kukimbilia VPN ili kuaccess internet kwa wanaopata shida ya internet breakdown. Kutumia VPN kuna madhara yake ukiachana na slow speed kwa baadhi ya VPN providers.
Madhara makubwa ya kutumia VPN ni kwamba VPN provider wako anaweza kuona kila data zako unazotuma na kupokea hivyo akitaka kujua umesurf nini ni rahisi kwake kufanya hivyo. Kwa wanaotumia apps au websites ambazo hazifanyi end to end encryption au hazina ssl wako kwenye hatari zaidi ya kuingiliwa kwenye mawasiliano yao, kuibiwa passwords etc......
Kwenye dark web kuna hackers huwa wanatoa password dumps zinazokuwa zimebeba passwords zinazotumika mara kwa mara na moja ya chanzo cha hizo data huwa ni passwords zinazotumwa kwenye websites ambazo hazina ssl (requests & data sent or received to/from the server are not encrypted) pamoja na data kutoka kwenye VPN(hasa free VPNs).
Pia VPN providers wana uwezo wa kuuza data zako bila wewe kujua.
Suluhisho la hii ni kutumia TOR circuit. Sitoelezea kiundani sana ufanyaji kazi wa tor circuit lakini kiufupi ni kwamba request yako inapitishwa kwenye nodes mbalimbali kabla ya kutoka na kuingia kwenye exit node yako. Hii ni tofauti na VPN za kawaida kwa sababu kwnye VPN unakua umepewa Server moja ifanye kazi kama intermediary wako, so ni kama vile unaiambia server ikutafutie kitu fln au i-fanye login sehemu fln etc..... Kwa TOR circuit request yako haitofuata route moja bali requests tofauti zinaweza kufuata routes tofauti ila zikawa na exit node moja ambayo ndio inakulink ww na TOR circuit, hii inaondoa uwezekano wa requests zako kuwa logged sehemu moja kama ilivyo kwa VPN
UNAJIUNGAJE NA TOR CIRCUIT.?
Kwa wenye smartphone kuna app inaitwa ORBOT Tor, na pia nadhan kuna windows version yake. Download kisha weka kwenye kifaa chako na itakuuliza ku-enable 'Built in VPN', iruhusu kisha utachagua apps zipi zitumie TOR circuit. ORBOT TOR ni rahisi kutumia na inajieleza.
Kwa wanaotumia parrot OS kujiunga na TOR circuit ni kitendo cha 'one-click; tu. Fungua menu kisha chagua 'Anon-surf' then 'Start Anon-surf'
NOTE:
WATU WENGI HUHUSISHA TOR NA DARK WEB LAKINI TOR CIRCUIT INAWEZA PIA KUKUSAIDIA KU-BROWSE INTERNET ANONYMOUSLY NA KUEPUKA USUMBUFU WA KUTOINGIA KWENYE APPS AU WEBSITES AMBAZO ZIMEZIMWA KWENYE ENEO ULIPO. SO TOR CIRCUIT HAITUMIKI KWA DARK WEB TU LAKINI NI ALTERNATIVE NZURI YA VPN
Happy Surfing!
~Kali Linux
THANKS
Inatumia bundle mkuuVipi hiyo Orbot Toy haitumii bundle kukuunganisha na page unayotaka kuperuz
You said it all!¡Mkuu wote wanatumia neno data lkn wanamaanisha vitu viwili tofauti
1)Data (Context ya Kampuni za simu)
-->hiki ni kiasi cha information ambacho unaweza kutuma na kupokea ndani ya wakati fln kwenye mtandao. Mfano natumia voda na nikanunua gb1 kwa siku, hio inamaanisha kwamba naruhusiwa kupokea na kutuma data kupitia internet zenye jumla ya size ya 1gb, nikizidi hapo huduma ina-stop. Na hii aina ya data bundle ndio inakufanya upate huduma ya internet. Sasa inategemea na jinsi utakavyo taka kuaccess hio internet yako. Kama utataka ku-access ukiwa anonymous (yaani unataka kudanganya sehemu ulipo ili upate huduma ambazo hazipatikani mahali ulipo kiuhalisi) basi itabidi utumie VPN au TOR ila kama unataka ku-access kawaida tu basi hamna haja ya VPN ama TOR. Tuseme umeamua kutumia VPN, next naelezea data upande wa vpn
2)Data (Context ya VPN)
--->Hapa kwanza inabidi ujue vpn inafanya vipi kazi. Kiufupi vpn ni kama intermediary kati yako na website au huduma zinazopatikana kwa intaneti. So kama unatumia vpn kufungua google.com basi hauendi moja kwa moja google.com lkn unaiomba vpn server yako ikufungulie google.com kisha yenyewe itafungua na kukutumia wewe, hio process yote inahusisha utumaji wa data. Na hapo wanapokwambia ununue data za VPN basi wanamaanisha kiasi cha data ambacho unaweza kuiomba VPN server ikutafutie na kukutumia. Hii Pia inatokana na pricing feature ya VPN husika. Kuna VPN zinatoa price kutokana na data unazo-transfer lkn kuna VPN zinatoa price kutokana na muda utakaotumia eg 1 week, month etc...
So kiufupi kabisa kama haujaelewa hapo juu ni kwamba hata kama ukiwa na Data bundle za kwenye vpn ila kama hauna za kwenye mtandao wako wa simu hautoweza kupata internet coz za kwenye mtandao wa simu ndizo zinakufungulia internet afu ni juu yako sasa jinsi ya kuaccess hio internet uliopewa.
mie inagoma au nakosea username na passwd?1)Go to Settings>>Wireless and Network and wireless>VPN and then Tap add VPN profile
2)New VPN profile will appear with the following blank fields
a)Name field "Put vpn"
b)Type "Select L2TP/IPSecPSK
c)Server adress "write 219.100.37.144 "
d)IP Sec pre-shared key "write VPN"
e)Fowarding routes "write 0.0.0.0/0
3)Connect to VPN will appear with the following empty fields
a)Username "write vpn"
b)Password "Put vpn"
Then you will connect to new vpn profile where a [emoji1006] symbol will appear on top of your phone window after succesfully connecting to VPN