Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 4,748
- 7,061
Mpaka tutakapofunguliwa hiki kifungo, tutakuwa tumenyooka!Jichanganye ugongwe
Haya yote tulikuwa tunayasikia kwenye nchi zingine tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka tutakapofunguliwa hiki kifungo, tutakuwa tumenyooka!Jichanganye ugongwe
TushafunguliwaMpaka tutakapofunguliwa hiki kifungo, tutakuwa tumenyooka!
Haya yote tulikuwa tunayasikia kwenye nchi zingine tu!
exactlyTushafunguliwa
Nami nipo pamoja na ww nataka kujifunza na kufahamu wajuzi njooni mtupe darasa bila ada[emoji122][emoji122]Hili swali nimeuliza sana humu na sijapewa majibu.. je! Unapowasha VPN na kutumia namna mbs zako zinavyotumika ni tofauti na kutumia internet ya kawaida? Au hakuna utofauti?? Na kama hakuna utofauti kuna haja gani watumiaji wa VPN kuzima VPN Na kurudi katika internet ya kawaida?
Nishajibu hili swali kwa kirefu tu. Angalia page ya kwanza kabisa ya hii thread utakuta discussion khs hio kituHili swali nimeuliza sana humu na sijapewa majibu.. je! Unapowasha VPN na kutumia namna mbs zako zinavyotumika ni tofauti na kutumia internet ya kawaida? Au hakuna utofauti?? Na kama hakuna utofauti kuna haja gani watumiaji wa VPN kuzima VPN Na kurudi katika internet ya kawaida?
Nitakupa mrejeshoO
![]()
Orbot APK for Android Download
Orbot Latest Version APK download for Android. Enhance your privacy and break through firewalls.m.apkpure.com
Kweli hii nchi imepitia mengi duhMda wa kutumia vpn unaisha leo maana mkuru ameisha apishwa
Hadi Leo unatumiaTOR browser ni mwisho wa mchezo ....miaka yote natumia hiyo
vp wamefunga tena internet?UZI UFUFULIWE
Hii ni ya muda wote as long as FBI na CIA wanaexistNataka nijiunge na hii VPN, So inapiga kazi bado?
Wakikujibu nitagHivi inawezekana kutumia Vpn bila bando na kuweza kuingia kwenye mindao ya kijamii?
Ndio mkuu unaweza. Na ndio lengo LA kutumia VPN 1. USIRI 2. KAMSEREREKO.Hivi inawezekana kutumia Vpn bila bando na kuweza kuingia kwenye mindao ya kijamii?
VPN nyingi lazime uwe na bando kutoka kwa ISP wako uweze ku googleHivi inawezekana kutumia Vpn bila bando na kuweza kuingia kwenye mindao ya kijamii?
mimi yangu ina vitu vifuatavyo;1.nenda setting
2.then general
3.then vpn
4.then click add vpn configuration
5.then after kwenye type unachagua ya mwisho L2TP
5.then kwenye description andika vpn
6.then kwenye server write this code 219.100.37.180
7.kwenye account write vpn
8.password again andika vpn
9.kwenye secret again andika vpn
10.after filling all this unabonyeza done kwajuu
11.itakuja status unabonyeza on
Note:Make sure your mobile data is on na una kifurushi