Kama hauwezi kulipia VPN Tumia TOR circuit bure kama mbadala

Kama hauwezi kulipia VPN Tumia TOR circuit bure kama mbadala

1)Go to Settings>>Wireless and Network and wireless>VPN and then Tap add VPN profile
2)New VPN profile will appear with the following blank fields
a)Name field "Put vpn"
b)Type "Select L2TP/IPSecPSK
c)Server adress "write 219.100.37.144 "
d)IP Sec pre-shared key "write VPN"
e)Fowarding routes "write 0.0.0.0/0
3)Connect to VPN will appear with the following empty fields
a)Username "write vpn"
b)Password "Put vpn"

Then you will connect to new vpn profile where a [emoji1006] symbol will appear on top of your phone window after succesfully connecting to VPN
connecting unsuccessful
 
Hello bosses

Kwa hali ya sasa kumekua na wimbi la watu kukimbilia VPN ili kuaccess internet kwa wanaopata shida ya internet breakdown. Kutumia VPN kuna madhara yake ukiachana na slow speed kwa baadhi ya VPN providers.

Madhara makubwa ya kutumia VPN ni kwamba VPN provider wako anaweza kuona kila data zako unazotuma na kupokea hivyo akitaka kujua umesurf nini ni rahisi kwake kufanya hivyo. Kwa wanaotumia apps au websites ambazo hazifanyi end to end encryption au hazina ssl wako kwenye hatari zaidi ya kuingiliwa kwenye mawasiliano yao, kuibiwa passwords etc......

Kwenye dark web kuna hackers huwa wanatoa password dumps zinazokuwa zimebeba passwords zinazotumika mara kwa mara na moja ya chanzo cha hizo data huwa ni passwords zinazotumwa kwenye websites ambazo hazina ssl (requests & data sent or received to/from the server are not encrypted) pamoja na data kutoka kwenye VPN(hasa free VPNs).

Pia VPN providers wana uwezo wa kuuza data zako bila wewe kujua.

Suluhisho la hii ni kutumia TOR circuit. Sitoelezea kiundani sana ufanyaji kazi wa tor circuit lakini kiufupi ni kwamba request yako inapitishwa kwenye nodes mbalimbali kabla ya kutoka na kuingia kwenye exit node yako. Hii ni tofauti na VPN za kawaida kwa sababu kwnye VPN unakua umepewa Server moja ifanye kazi kama intermediary wako, so ni kama vile unaiambia server ikutafutie kitu fln au i-fanye login sehemu fln etc..... Kwa TOR circuit request yako haitofuata route moja bali requests tofauti zinaweza kufuata routes tofauti ila zikawa na exit node moja ambayo ndio inakulink ww na TOR circuit, hii inaondoa uwezekano wa requests zako kuwa logged sehemu moja kama ilivyo kwa VPN

UNAJIUNGAJE NA TOR CIRCUIT.?
Kwa wenye smartphone kuna app inaitwa ORBOT Tor, na pia nadhan kuna windows version yake. Download kisha weka kwenye kifaa chako na itakuuliza ku-enable 'Built in VPN', iruhusu kisha utachagua apps zipi zitumie TOR circuit. ORBOT TOR ni rahisi kutumia na inajieleza.

Kwa wanaotumia parrot OS kujiunga na TOR circuit ni kitendo cha 'one-click; tu. Fungua menu kisha chagua 'Anon-surf' then 'Start Anon-surf'


===============>
UPDATE

Kwa wanaotumia windows ukiweka TOR browser itakuconnect moja kwa moja na unaweza kuitumia kufungua web ambazo hazipatikani kama youtube na jf

============>

NOTE:
WATU WENGI HUHUSISHA TOR NA DARK WEB LAKINI TOR CIRCUIT INAWEZA PIA KUKUSAIDIA KU-BROWSE INTERNET ANONYMOUSLY NA KUEPUKA USUMBUFU WA KUTOINGIA KWENYE APPS AU WEBSITES AMBAZO ZIMEZIMWA KWENYE ENEO ULIPO. SO TOR CIRCUIT HAITUMIKI KWA DARK WEB TU LAKINI NI ALTERNATIVE NZURI YA VPN

Happy Surfing!
~Kali Linux
Mbona mimi VPN natumia Bure?
 
Kwangu baada ya server address kuna field L2TP secret, halafu IPsec identifier nijaze nn kwenye hizo field??

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo field zote mbili ziache kama zilivyo yaani usijaze kitu chochote, nenda moja kwa moja kwenye field yenye neno pre-shared ndo ujaze neno vpn. Halafu isave. Kisha i-click kwa ajili ya kui-connect, zitajitokeza fiels mbili zote utajaza neno vpn. Halafu weka tick kwa ajili ya kusave account informations halafu click connect, and you are done
 
Hizo field zote mbili ziache kama zilivyo yaani usijaze kitu chochote, nenda moja kwa moja kwenye field yenye neno pre-shared ndo ujaze neno vpn. Halafu isave. Kisha i-click kwa ajili ya kui-connect, zitajitokeza fiels mbili zote utajaza neno vpn. Halafu weka tick kwa ajili ya kusave account informations halafu click connect, and you are done
Thanx let me try it, will revert

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hello bosses

Kwa hali ya sasa kumekua na wimbi la watu kukimbilia VPN ili kuaccess internet kwa wanaopata shida ya internet breakdown. Kutumia VPN kuna madhara yake ukiachana na slow speed kwa baadhi ya VPN providers.

Madhara makubwa ya kutumia VPN ni kwamba VPN provider wako anaweza kuona kila data zako unazotuma na kupokea hivyo akitaka kujua umesurf nini ni rahisi kwake kufanya hivyo. Kwa wanaotumia apps au websites ambazo hazifanyi end to end encryption au hazina ssl wako kwenye hatari zaidi ya kuingiliwa kwenye mawasiliano yao, kuibiwa passwords etc......

Kwenye dark web kuna hackers huwa wanatoa password dumps zinazokuwa zimebeba passwords zinazotumika mara kwa mara na moja ya chanzo cha hizo data huwa ni passwords zinazotumwa kwenye websites ambazo hazina ssl (requests & data sent or received to/from the server are not encrypted) pamoja na data kutoka kwenye VPN(hasa free VPNs).

Pia VPN providers wana uwezo wa kuuza data zako bila wewe kujua.

Suluhisho la hii ni kutumia TOR circuit. Sitoelezea kiundani sana ufanyaji kazi wa tor circuit lakini kiufupi ni kwamba request yako inapitishwa kwenye nodes mbalimbali kabla ya kutoka na kuingia kwenye exit node yako. Hii ni tofauti na VPN za kawaida kwa sababu kwnye VPN unakua umepewa Server moja ifanye kazi kama intermediary wako, so ni kama vile unaiambia server ikutafutie kitu fln au i-fanye login sehemu fln etc..... Kwa TOR circuit request yako haitofuata route moja bali requests tofauti zinaweza kufuata routes tofauti ila zikawa na exit node moja ambayo ndio inakulink ww na TOR circuit, hii inaondoa uwezekano wa requests zako kuwa logged sehemu moja kama ilivyo kwa VPN

UNAJIUNGAJE NA TOR CIRCUIT.?
Kwa wenye smartphone kuna app inaitwa ORBOT Tor, na pia nadhan kuna windows version yake. Download kisha weka kwenye kifaa chako na itakuuliza ku-enable 'Built in VPN', iruhusu kisha utachagua apps zipi zitumie TOR circuit. ORBOT TOR ni rahisi kutumia na inajieleza.

Kwa wanaotumia parrot OS kujiunga na TOR circuit ni kitendo cha 'one-click; tu. Fungua menu kisha chagua 'Anon-surf' then 'Start Anon-surf'


===============>
UPDATE

Kwa wanaotumia windows ukiweka TOR browser itakuconnect moja kwa moja na unaweza kuitumia kufungua web ambazo hazipatikani kama youtube na jf

============>

NOTE:
WATU WENGI HUHUSISHA TOR NA DARK WEB LAKINI TOR CIRCUIT INAWEZA PIA KUKUSAIDIA KU-BROWSE INTERNET ANONYMOUSLY NA KUEPUKA USUMBUFU WA KUTOINGIA KWENYE APPS AU WEBSITES AMBAZO ZIMEZIMWA KWENYE ENEO ULIPO. SO TOR CIRCUIT HAITUMIKI KWA DARK WEB TU LAKINI NI ALTERNATIVE NZURI YA VPN

Happy Surfing!
~Kali Linux
Umetutafunia vizuri sana.

Hebu weka tonge la mwisho tutafune wenyewe. Tuwekee link ya kudownload maana play store siku hizi adimu kuconect
 
Hello bosses

Kwa hali ya sasa kumekua na wimbi la watu kukimbilia VPN ili kuaccess internet kwa wanaopata shida ya internet breakdown. Kutumia VPN kuna madhara yake ukiachana na slow speed kwa baadhi ya VPN providers.

Madhara makubwa ya kutumia VPN ni kwamba VPN provider wako anaweza kuona kila data zako unazotuma na kupokea hivyo akitaka kujua umesurf nini ni rahisi kwake kufanya hivyo. Kwa wanaotumia apps au websites ambazo hazifanyi end to end encryption au hazina ssl wako kwenye hatari zaidi ya kuingiliwa kwenye mawasiliano yao, kuibiwa passwords etc......

Kwenye dark web kuna hackers huwa wanatoa password dumps zinazokuwa zimebeba passwords zinazotumika mara kwa mara na moja ya chanzo cha hizo data huwa ni passwords zinazotumwa kwenye websites ambazo hazina ssl (requests & data sent or received to/from the server are not encrypted) pamoja na data kutoka kwenye VPN(hasa free VPNs).

Pia VPN providers wana uwezo wa kuuza data zako bila wewe kujua.

Suluhisho la hii ni kutumia TOR circuit. Sitoelezea kiundani sana ufanyaji kazi wa tor circuit lakini kiufupi ni kwamba request yako inapitishwa kwenye nodes mbalimbali kabla ya kutoka na kuingia kwenye exit node yako. Hii ni tofauti na VPN za kawaida kwa sababu kwnye VPN unakua umepewa Server moja ifanye kazi kama intermediary wako, so ni kama vile unaiambia server ikutafutie kitu fln au i-fanye login sehemu fln etc..... Kwa TOR circuit request yako haitofuata route moja bali requests tofauti zinaweza kufuata routes tofauti ila zikawa na exit node moja ambayo ndio inakulink ww na TOR circuit, hii inaondoa uwezekano wa requests zako kuwa logged sehemu moja kama ilivyo kwa VPN

UNAJIUNGAJE NA TOR CIRCUIT.?
Kwa wenye smartphone kuna app inaitwa ORBOT Tor, na pia nadhan kuna windows version yake. Download kisha weka kwenye kifaa chako na itakuuliza ku-enable 'Built in VPN', iruhusu kisha utachagua apps zipi zitumie TOR circuit. ORBOT TOR ni rahisi kutumia na inajieleza.

Kwa wanaotumia parrot OS kujiunga na TOR circuit ni kitendo cha 'one-click; tu. Fungua menu kisha chagua 'Anon-surf' then 'Start Anon-surf'


===============>
UPDATE

Kwa wanaotumia windows ukiweka TOR browser itakuconnect moja kwa moja na unaweza kuitumia kufungua web ambazo hazipatikani kama youtube na jf

============>

NOTE:
WATU WENGI HUHUSISHA TOR NA DARK WEB LAKINI TOR CIRCUIT INAWEZA PIA KUKUSAIDIA KU-BROWSE INTERNET ANONYMOUSLY NA KUEPUKA USUMBUFU WA KUTOINGIA KWENYE APPS AU WEBSITES AMBAZO ZIMEZIMWA KWENYE ENEO ULIPO. SO TOR CIRCUIT HAITUMIKI KWA DARK WEB TU LAKINI NI ALTERNATIVE NZURI YA VPN

Happy Surfing!
~Kali Linux
Nimejaribu hiyo orbot haifanyi kazi
Nimerudi kwenye VPN
 
Nielekeze mkuu tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
Download orbot apk hapa



Kisha install kwenye simu yako, usisahau kuruhusu "Installing from unknown resources"


Kisha fungua na fuata maelekezo, utaulizwa kama unataka kuchagua apps kadhaa zitumie tor, so chagua mfano whatsapp na browser, then ukimaliza maelekezo yao utaona picha kama hii hapo chini. Hio btn nlozungushia kama sio ya kijani inabidi ubonyeze iwe ya kijana(inamaanisha "Tor is running")

Screenshot_20201106-131744.png



Hakikisha umetick sehemu ya vpn mode hapo chini.

Orbot ipo simple sana kutumia coz inajielezea
 
1)Go to Settings>>Wireless and Network and wireless>VPN and then Tap add VPN profile
2)New VPN profile will appear with the following blank fields
a)Name field "Put vpn"
b)Type "Select L2TP/IPSecPSK
c)Server adress "write 219.100.37.144 "
d)IP Sec pre-shared key "write VPN"
e)Fowarding routes "write 0.0.0.0/0
3)Connect to VPN will appear with the following empty fields
a)Username "write vpn"
b)Password "Put vpn"

Then you will connect to new vpn profile where a [emoji1006] symbol will appear on top of your phone window after succesfully connecting to VPN
Na Je ukiwa nje na Tanzania ukarudi pia ukabadili line husika na ulikuwa ushafanya VPN Itakulazimu urudie tenaa...?
 
1)Provider hana muda wa kukaa na kuchunguza data zako bali kuna systems wanazo zenye trained models zinazojua information ipi inahitajika, na hapo juu nimetoa mfano wa passwords. So kazi ya hizo systems ni kufilter na kujua kipi kinahitajika. Note sio wote wanafanya hivyo.

2)Sishangai kuona hau-feel concerned khs data zako kuuzwa coz nadhan hata privacy policy ya jf haujasoma. Mfano kipindi faceApp imeingia watu wengi bila kujali privacy zao wakaitumia lkn privacy policy ya faceapp ilikua inasema "uki-upload picha yako humo inakua sio mali yako tena bali wanaweza kuitumia wanavyotaka"
So kama haujali khs privacy yako ndipo hautoona umuhimu wa wewe kuhusishwa endapo data zako zitauzwa.
Na sio kweli kwamba data always zinauzwa, mitandao ilio halali inakuuliza kwanza na kama haujawahi kuulizwa basi soma privacy policy kwanza

Note: mamilioni ya emails zinazokua exposed kwenye porn sites na sites nyingine za ovyoovyo zinatumiwa sana kwenye kusambaziwa scamming emails. Ili kuamini hilo kama ulishawahi kuweka email yako kwenye sites za ovyoovyo basi scam box ya email yako utakuta imejaa scam emails. Pia password dictionaries wanazotumia hackers kufanya brute-force zinatokana na passwords zinazotumwa kupitia unsecure connections au untrusted VPNs

3)Umesema kama unatumia kuwasiliana na unaogopaje data zako kuuzwa? Hii inategemea na role yako kwenye jamii na content ya mawasiliano yako
Kuna baadhi ya taarifa kuuzwa inanirahisishia..mfano nimezoea google vitu flani naingia youtube nakuta wameniwekea pale juu kabisa hiyo ni faida
 
Kuna baadhi ya taarifa kuuzwa inanirahisishia..mfano nimezoea google vitu flani naingia youtube nakuta wameniwekea pale juu kabisa hiyo ni faida
Hapo hazijauzwa mkuu. Ni google wanashare data zako kwenye products zao, google search ni ya google LLC same as youtube.

Anyway baniani mbaya kiatu chake dawa
 
Tunamuamini kigogo wewe mutaalamu wa CD burning tulia tu
 
Back
Top Bottom