Kama hii ni kweli basi Injinia Hersi na yanga kutikisa dunia

Nikiripoti kutoka kijiwe cha Kahawa ni mimi hapa nilievaa Jezi ya njano [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Yanga wanaweza wakaamini maana akili zao wanazijua wenyewe.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji23] utopolo kazi mnayo. Sasa huyo Gueye anaruka mkojo na kukanyaga mavi? Ushoga si ndo chimbo hapo jangwani

Au mnajitoa ufahamu?
 
Ndipo atakapojua nini maana ya kabwili fc na kwamba wenye akilo huko ni wawili tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…