Kama hii ni kweli, basi mikopo ya awamu ya tano ilikua ya ajabu sana, ukweli ndio unajulikana sasa

Kama hii ni kweli, basi mikopo ya awamu ya tano ilikua ya ajabu sana, ukweli ndio unajulikana sasa

muafi

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2015
Posts
2,557
Reaction score
6,128
Hiki ni kichekesho, inamaana hata reli yenyewe haijakamilika tayari mkopo wake umeshaanza kulipwa? hivi vitu walikua wanafanya wasomi au?


IMG_20211231_154006.jpg
IMG_20211231_154045.jpg
IMG_20211231_154104.jpg
 
"Tunajenga kwa pesa zetu wenyewe hadi Trump ameona wivu".

Tanzania sihami kabisa mnaotaka kuhamia Burundi nendeni tu mie nabaki hapa.
 
Ndio maana hivi sasa tumebambikiziwa tozo. Magufuli wakati anakopa kwa mbwembwe ili kusaka sifa za kisiasa alipigia mahesabu faida ya bomba la mafuta la Uganda, maana walisema litakamilika Nov 2020. Pale ndio nilijua Magufuli hajui kitu zaidi ya matumizi makubwa ya nguvu. Kwa bahati mbaya Magu hakujua kuwa Museveni ni bonge la tapeli.
 
Nyinyi wahuni tulieni dawa iwaingie
mfikishie salam huyo shotiii kua asijaribu kina cha maji kwa miguu yote miwili, mama ana watu, sasa atajionea mwenyewe
 
Kwani si ndie aliyekuwa anakopa kwani Kwa serikali ile Kuna Mtu alikuwa anauwezo wa Kwenda Kukopa Bila Baraka Za Hayati.

hv unaweza kukopa deni hata mradi haujakamilika unaanza kulipa ilo deni huo kama wendawazimu ni nini
 
Back
Top Bottom