Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnajazana ujinga kumbafu kabisaHiki ni kichekesho, inamaana hata reli yenyewe haijakamilika tayari mkopo wake umeshaanza kulipwa? hivi vitu walikua wanafanya wasomi au?
View attachment 2063977View attachment 2063978View attachment 2063979
Magufuli hakuwa mzalendo, ila muhujumu uchumi na fisadi namba mojaHiki ni kichekesho, inamaana hata reli yenyewe haijakamilika tayari mkopo wake umeshaanza kulipwa? hivi vitu walikua wanafanya wasomi au?
View attachment 2063977View attachment 2063978View attachment 2063979
Kwani si ndie aliyekuwa anakopa kwani Kwa serikali ile Kuna Mtu alikuwa anauwezo wa Kwenda Kukopa Bila Baraka Za Hayati. So mnamsema ili Mneutarilize mikop ya Sasa Autunaongelea mikopo, sio marehemu
Pumbavu wahuni nyinyi mmekusanyana sasa hvambacho hujaelewa ni nini tukusaidie?
Msoga kaziniMagufuli hakuwa mzalendo, ila muhujumu uchumi na fisadi namba moja
Bhangi za wapi umevuta badala ya kujadili hoja unarusha rusha mitusi humu?Pumbavu wahuni nyinyi mmekusanyana sasa hv
Hata huyo Mr Msoga ndio zuzumagic kabisaMsoga kazini
Awamu ya tanoHaya Yote mnamsema Marehemu!?