Mkuu The Boss, japo hoja yako hii ni ya zamani, lakini umetisha sana!. I think something was going to happen, ili kuzuia that something isi happen, ndio mkambidi mtu aitwe, achukuliwe na kuleta Suluhu ili kuleta suluhu ya hali iliyokuwepo!.
P
Mama Samia amekuja kukamilisha kazi ya Magufuli, hizi neema na baraka nilizozitaja hapa, sasa zinakuja kukamilishwa na Mama Samia.Wanabodi,
Kupitia kwa Magufuli, Tanzania itapata neema, mafanikio na maendeleo makubwa ya ajabu kwa sababu ya baraka za Mungu zitakuwa juu yake, nchi yetu inakwenda kageuka kuwa ni ile nchi ya ahadi ya maziwa na asali.
Neno litasimama, mambo mengine yote yatapita, lakini neno litasimama!.
Paskali
Sema safari hii Ukuu wa Wilaya lazima Kaka yangu ondoa shaka usinisahau kwenye Ufalme wako...Mama Samia amekuja kukamilisha kazi ya Magufuli, hizi neema na baraka nilizozitaja hapa, sasa zinakuja kukamilishwa na Mama Samia.
Huu utumbuaji wa leo, ni uthibitisho sasa kupitia kwa Mama Samia, Tanzania itapata neema, mafanikio na maendeleo makubwa ya ajabu kwa sababu ya baraka za Mungu zitakuwa juu yake, nchi yetu inakwenda kageuka kuwa ni ile nchi ya ahadi ya maziwa na asali.
Paskali
Wanabodi,
Hili ni bandiko la swali kuhusu figisu figisu za kwenye Uchaguzi Mkuu uliopita, ambapo kila anayeshindwa, hakubali kushindwa kihalali kwenye sanduku la kura katika uchaguzi huru na wa haki, na badala yake huja na tuhuma za kuibiwa kura, kupokwa ushindi halali, na kususia matokeo, hivyo bandiko hili ni swali, Kama Tuhuma Hii ni Kweli, Then, Serikali Yetu ni Serikali Dhalimu?, Haramu? iliyoingia madarakani kwa hila, udhalimu na ulaghai?. Kama ni kweli, then Hukumu ya Karma ii juu serikali yetu na viongozi wake waliohusika na udhalimu huu kwa karma kuwashughulikia. Na kama sii kweli, ni uzushi tuu, then tutamshuhudia huyu mzushi anayemzushia rais Magufuli na serikali yake kuwa ni madhalimu, kwa kumtwisha tuhuma za udhalimu, akitandikwa na bakora za karma, kwake yeye binafsi na kwa chama chake, huku Rais Magufuli, Chama chake na serikali yake, wakibarikiwa, nchi yetu ikibarikiwa na kupata neema na ustawi.
Mkuu lee van cliff , karibu mitaa hii uone kimya changu.Pascal nasikitika kukuambia kuwa
Hua nashindwa kukuelewa unashindwaje kuielewa CCM jinsi inavyowatendea wapinzani kinyume kabisa na matakwa ya katiba na wewe unakaa kimya tu.
KaribuKulikuwa na udhalimu gani? Maana ukisema udhalimu, je wewe ukuwahi kuandika au kukosoa kipindi hicho?
Na huyo anayemuita dhalimu alikuwa akujua? Na alikufanya chochote kibaya?
Tusipende kuongeza chumvi kama alikuwa kiongozi katili na hafai
Wanabodi,
Hili ni bandiko la swali kuhusu figisu figisu za kwenye Uchaguzi Mkuu uliopita, ambapo kila anayeshindwa, hakubali kushindwa kihalali kwenye sanduku la kura katika uchaguzi huru na wa haki, na badala yake huja na tuhuma za kuibiwa kura, kupokwa ushindi halali, na kususia matokeo, hivyo bandiko hili ni swali, Kama Tuhuma Hii ni Kweli, Then, Serikali Yetu ni Serikali Dhalimu?, Haramu? iliyoingia madarakani kwa hila, udhalimu na ulaghai?. Kama ni kweli, then Hukumu ya Karma ii juu serikali yetu na viongozi wake waliohusika na udhalimu huu kwa karma kuwashughulikia. Na kama sii kweli, ni uzushi tuu, then tutamshuhudia huyu mzushi anayemzushia rais Magufuli na serikali yake kuwa ni madhalimu, kwa kumtwisha tuhuma za udhalimu, akitandikwa na bakora za karma, kwake yeye binafsi na kwa chama chake, huku Rais Magufuli, Chama chake na serikali yake, wakibarikiwa, nchi yetu ikibarikiwa na kupata neema na ustawi.
Kada wa Ccm.Wanabodi,
Hili ni bandiko la swali kuhusu figisu figisu za kwenye Uchaguzi Mkuu uliopita, ambapo kila anayeshindwa, hakubali kushindwa kihalali kwenye sanduku la kura katika uchaguzi huru na wa haki, na badala yake huja na tuhuma za kuibiwa kura, kupokwa ushindi halali, na kususia matokeo, hivyo bandiko hili ni swali, Kama Tuhuma Hii ni Kweli, Then, Serikali Yetu ni Serikali Dhalimu?, Haramu? iliyoingia madarakani kwa hila, udhalimu na ulaghai?. Kama ni kweli, then Hukumu ya Karma ii juu serikali yetu na viongozi wake waliohusika na udhalimu huu kwa karma kuwashughulikia. Na kama sii kweli, ni uzushi tuu, then tutamshuhudia huyu mzushi anayemzushia rais Magufuli na serikali yake kuwa ni madhalimu, kwa kumtwisha tuhuma za udhalimu, akitandikwa na bakora za karma, kwake yeye binafsi na kwa chama chake, huku Rais Magufuli, Chama chake na serikali yake, wakibarikiwa, nchi yetu ikibarikiwa na kupata neema na ustawi.
Naomba kuanza na angalizo. Hli ni bandiko swali la dhana tuu ya kufikirika, hypothetical situation kuwa if A is true, then B is true, if A is not true, then B is not true!. Hivyo kwa wenye uelewa wa mashaka mashaka wa wengi wetu humu, msije kushangaa wakashindwa kukiona hicho kitangulizi cha "kama ni kweli", na kupelekea kudhania nimesema serikali yetu ni serikali dhalimu!, ninachosema hapa ni kama hii tuhuma iliyotolewa leo na Edward Lowassa ni kweli, then..
Tuhuma yenyewe imetolewa hapa
Tamko la Edward Lowassa Baada ya NEC Kumtangaza Dr Magufuli Kuwa Mshindi wa Kiti cha Urais - JamiiForums
Kama tuhuma hii ni kweli, then serikali ya rais Magufuli itakuwa ni serikali dhalimu, iliyoingia madarakani kwa njia ya udhalimu na uharamu, na udanganyifu wa kwenye sanduku la kura, kitu ambacho sio kizuri kwa mustakabali mwema wa nchi yetu, taifa letu na watu wake, kwa mujibu wa sheria ya karma. Karma ina uzuri wake na ubaya wake, uzuri wa karma ni lazima italipa!, ubaya wa karma, haiitandiki serikali as serikali, kwasababu serikali sio natural being, bali karma itawatandika viongozi wa serikali, waliohusika na udhalimu huu. Tatizo kubwa la karma katika kuwatandika, ni haina Mswalie Mtume wa kujali nani ni nani, ikianza kutembeza kichapo cha bakora, ni bakora tuu kwa kwenda mbele bila kujali nani ni nani!. Ubaya wa karma, haijulikani utalipiza lini, ila ikitokea alietenda udhalimu huu, ameitwa kuondoka duniani kabla ya kulipa deni lote la karma, then deni hili linahamia kwa familia yake!, kitu ambacho its not fair kwa mtu asiye na hatia kubebeshwa kufidia makosa ya mtu mwingine!.
Ila pia, endapo tuhuma hizi ni za uongo, ni za kupika na ni uzushi, then rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli, ndiye rais chaguo la Mungu kwa Tanzania aliyetangazwa mshindi siku yake ya kuzaliwa!, katika uchaguzi huru na wa haki, hivyo atasimama test in time, of which time will tell!.
Kupitia kwa Magufuli, Tanzania itapata neema, mafanikio na maendeleo makubwa ya ajabu kwa sababu ya baraka za Mungu zitakuwa juu yake, nchi yetu inakwenda kageuka kuwa ni ile nchi ya ahadi ya maziwa na asali.
Neno litasimama, mambo mengine yote yatapita, lakini neno litasimama!.
Mungu ibariki Tanzania.
Paskali
Kwa rejea mambo ya karma, karibu mitaa hii
"The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili
"Bora Katiba", Tuikubali!, Tusiichukie CCM!, Kwa Sababu
When Karma comes calling, she stings like a bitch
Psychic Powers: Ni Nguvu za Kufanya Miujiza. Wengi wanaz
"Will Powers!", "Faith Healing!"-Nguvu ya Miujiza Ya Uponyaji kwa