Kama hii tweet ni kweli basi Air Tanzania ni ya kuhurumiwa

Kama hii tweet ni kweli basi Air Tanzania ni ya kuhurumiwa

KAZI YA SERIKALI C KUFANYA BIASHARA ILA NI KUKUSANYA KODI.
Usikariri hivyo Mkuu, tafiti vizuri nchi ya USA inaratibu mradi wa nyumba za kukodisha wananchi wake tangu 1880 na hadi sasa ina zaidi ya nyumba 500,000/=.

So mwananchi atapaswa kulipa kodi katika hiyo nyumba kwa kila mwaka, biashara zinafanywa sana na serikali sema tu ni lazima ziwe zimelenga pazuri katika mikakati mbinu thabiti na hubuni kila kukicha namna ya kuwavutia Wateja kwa kadri watavyobadilika tokana na mahitaj na uvutiwaji wao wa huduma pa1 na bidhaa kwa serikali husika.
 
November 30 ndege ya abiria 144 ilipata abiria mmoja tu kwenda Thai island.
Mwaka jana ndege ya abiria iliyokuwa inaenda Malta ilipata abiria mmoja tu.
Haya ni mambo ya kawaida sana.
Kama tunajua hali halisi ni hii kwann tulipoteza pesa zetu?
 
Huo ndio mfumo wetu yaani mikurupuko
If you don't plan you are planning to fail.

Kuna failures zingine ni za kujitakia, shirika linaanzaje biashara sensitive kama hii bila kufanya research na kuwa na business plan, matokeo yake ni kurupuka kupeleka ndege Entebe bila kujua flow ya abiria kwa kutafuta kiki za kisiasa.
 
WAZO DUME:

MHESHIMIWA MAGUFULI RAISI WANGU MPENDWA PIGA KAZI TU WALA USIHOFU MAANA HAKUNA ALIYEWAHI KUPENDWA NA WATU WOTE HAPA DUNIANI, NDIYOMAANA HATA MANABII NA YESU(MUNGU) WALICHUKIWA NA KUPINGWA KATIKA KILA JAMBO WALILOKUWA WAKILITENDA PA1 NA KUWA WALIKUWA WAKITENDA MEMA NA KWA FAIDA YAO WENYEWE WAHUBIRIWA.

SO USIANGALIE WATU KWA KUKUSIFIA WALA KUKUPONDA, BALI WE JIKITE KATIKA BIDII YA UTENDAJI KUTIMIZA KILE UNACHOKILENGA.

MUNGU AKUPE NDUVU, UHAI, IMANI, UJASIRI NA BIDII KATIKA UONGOZI WAKO.
 
Walishasema wazi wanasitisha Coz hamna wateja that’s business... nyie mnafanya alimradi kukomoa wakosoaji wenu!!
Hakuna wateja! Route ndefu hivyo waliianzisha kama mama ntiie? bila hata uchunguzi! Ni kujiamini kuliko kipimo. Kenya kuna nini kuhalalisha safari ya New York? Maua?

KWa nini unasema Nyie? Sisi akina nani na wewe ni nani?
 
Mwongo! " collapsed, failure"
Huwasikii wapi? Mbona wameeleza kuwa wamepunguza kiasi cha safari na sio hiyo "collapsed, failure" unayoshangilia wewe!
Sasa hapa unataka tukusifu kuwa unajua jambo hilo kuzidi wengine?
Ulichokiandika hakihusiani na mjadala huu. Nikisoma naona mapungufu ya ufahamu wako. Tulia, jifunze polepole, baadaye utakomaa na kutoa michango mizuri, kama una kichwa cha kujifunza maana sioni kama kuanzia July ulipo join umeweza kuongeza ufahamu.
 
Kenya wapo wanapiga safari. Sema tu badala ya siku saba 7 wamefanya kuwa 5, sio mbaya wanakusanya watalii.

Kiukweli Kenya wako mbali ktk mengi, hata kama ni kujigamba waacheni maana ni haki yao.
Naomba nitabili kwamba watapunguza tenana tena hadi sifuri. Huwezi kuanzisha safari kwa ajili ya watalii. Huo ni ujinga. Wazoefu kuliko Kenya kama KLM, wako hewani kwa mtindo wa Hub yao ya Amsterdam. sasa KQ INa uwezo gani wa kukusany abiria kuwaleta NRB. Watoke wapi?

Btw., KQ tangu ianchike na KLM kila mwaka inatengeneza hasara! Tusiwapongeze kama kumkomoa rais. Hatuna faida nao.
 
Ulichokiandika hakihusiani na mjadala huu
Ngoja nikufundishe.
Mjadala uliochangia ulihusu Air Tanzania.
Jibu lako la kishamba ukaleta Kenya Airways na ulikokuita "colapsed, failure" kuhusu safari zao za New York. Mara hii umesahau? Una kichwa cha panzi?

Hiyo uliyosema 'collapse, failure' uliiona wapi? KQ hawaendi tena New York?
 
May ni low season.
Hata daladala wakati wa mchana zinakuwa hazina abiria kabisa. Au asubuhi wakati zinatoka city center.
Kama hujui biashara ya daladala ukiona daladala inatoka Kariakoo na abiria 2 inaelekea Tandika unaweza kusema Dar watu wamehama au wanatumia magari binafsi.
Ila yote yawezekana, shirika hili nasikia linajiendesha kwa hasara
Unacompare ndege na dadadala hizi wanazojaza wese la ten?
 
Jamaa kila siku yeye ni kutafuta na kufurahia mapungufu tu.
Nini kimekuonyesha kuwa jamaa anafurahia mapungufu? Nadhani wewe ndiye mwenye mapungufu huwezi kuchambua mambo. Kwa uchambuzi wako nadhani ulitaka jamaa akae kimya anapoona mapungufu. Kwa faida ya nani?
 
Aisee unajua sijui hii dunia ina mijitu ya namna gani Mkuu, sasa mbona kwa ninyi mliomtolea mifano kama hii hajawa-qout kuwakubali jinsi gani biashara ilivyo katika mazingira hayo ili asishangilie tu mapungufu yaliyojitokeza katika hiyo Air Tanzania?

Jamaa lina chuki za kiwango cha juu sana kwa lolote afanyalo Raisi wetu hata shetani analishangaa Mkuu
Yaaani mkuu kuna shida sana kwetu sisi wafrica
unaweza fungua mgahawa kila siku ukauza vizuri lakini siku moja chakula kikibakia ndio utajua aisee kuwa wapo wengi wanaokuombea mabaya kabisaaa
 
Sijaona Shida yoyote hapo
nilienda misri kutoka dar ndege abiria 12 tu ilikuwa mara yangu ya kwanza, safari ndefu
Nilishangaa but niliona nikajua ni mambo ya kaiwaida katika biashara sio kila siku wateja watakuwa wengi sometime inakuwa kama hivi
Lakini pia kumbuka adui haangalii mafanikio anakuwa anakutafutia uozo kila siku ili akutikise
so pia ingekuwa inacolapse basi wangeua hiyo route ama safari zote kiujumla i hope still they are doing good
Point.
 
Dah! Yaan we biashara ya ndege unafananisha na ya daladala?

Ukapimwe akili!
May ni low season.
Hata daladala wakati wa mchana zinakuwa hazina abiria kabisa. Au asubuhi wakati zinatoka city center.
Kama hujui biashara ya daladala ukiona daladala inatoka Kariakoo na abiria 2 inaelekea Tandika unaweza kusema Dar watu wamehama au wanatumia magari binafsi.
Ila yote yawezekana, shirika hili nasikia linajiendesha kwa hasara
 
Back
Top Bottom