Kama hii tweet ni kweli basi Air Tanzania ni ya kuhurumiwa

Kama hii tweet ni kweli basi Air Tanzania ni ya kuhurumiwa

Sijaona Shida yoyote hapo
nilienda misri kutoka dar ndege abiria 12 tu ilikuwa mara yangu ya kwanza, safari ndefu
Nilishangaa but niliona nikajua ni mambo ya kaiwaida katika biashara sio kila siku wateja watakuwa wengi sometime inakuwa kama hivi
Lakini pia kumbuka adui haangalii mafanikio anakuwa anakutafutia uozo kila siku ili akutikise
so pia ingekuwa inacolapse basi wangeua hiyo route ama safari zote kiujumla i hope still they are doing good
Aisee unajua sijui hii dunia ina mijitu ya namna gani Mkuu, sasa mbona kwa ninyi mliomtolea mifano kama hii hajawa-qout kuwakubali jinsi gani biashara ilivyo katika mazingira hayo ili asishangilie tu mapungufu yaliyojitokeza katika hiyo Air Tanzania?

Jamaa lina chuki za kiwango cha juu sana kwa lolote afanyalo Raisi wetu hata shetani analishangaa Mkuu
 
Unafananisha Senene na kondoo wewe! Tizama investment ya coach vs ndege. Kww akili za aina yako tusitegemee maendeleo nchi hii. Hujui hata ROI, return of investment au Investment/Sales ratio ni nini halafu unathubutu ku comment kwenye mambo yaliyo juu ya upeo wako. Wakati mwengine kunyamaza kimya ni busara sana
Basi mzikodishe sasa.
 
Sijaona Shida yoyote hapo
nilienda misri kutoka dar ndege abiria 12 tu ilikuwa mara yangu ya kwanza, safari ndefu
Nilishangaa but niliona nikajua ni mambo ya kaiwaida katika biashara sio kila siku wateja watakuwa wengi sometime inakuwa kama hivi
Lakini pia kumbuka adui haangalii mafanikio anakuwa anakutafutia uozo kila siku ili akutikise
so pia ingekuwa inacolapse basi wangeua hiyo route ama safari zote kiujumla i hope still they are doing good
Unaweza kutuambia hiyo ndege ilikuwa ya shirika gani? Bado wanaendelea kutoa huduma from Dar to Cairo?
 
Kulingana na hii Twitter, yaelekea mwandishi ni mtu wa UGANDA.
Swali ni Je, UGANDA AIRLINES or any Airline kama Kenya Airline,ziliondoka/huondoka na abiria wangapi KIA-ENTEBBE?
Magufuli laikuwa anafikri ukinunua Ndege basi kazi imeisha yaani ni kuvuna pesa tu..!!!Hii ni akili mbovu kabisa kufikri kuwa kwa vile wewe ni Rahisi kila unachofikiri/kutenda ni sahihi...Huwezi kuwa bingwa wa KEMIA ukategemea kuwa unaweza ukafanya na BIASHARA ya kurusha ndege angani.Never..!! Very soon ATC wataanza kuvuna HASARA tupu!!!
Ulaya ndiyo ardhi pekee ambayo Mtu anaweza kuwa na fani zaidi ya 1 na akazimiliki zote katika ufanisi sahihi kwa wakati mmoja tofauti na sisi Watanzania tulip na mitazamo hasi.

Mfano;
Jose Mourinho ni kocha huku akiwa ana fani ya kujua lugha zaidi ya 7.

Wayne Rooney ni Kijana Muingereza aliyewahi kuwa mcheza boxer na kisha akabadili fani akacheza tena mpira NA kuwa na mafanikio makubwa sana akiweka rekodi nzuri sana katika kuifungia nchi yake magoli mengi na katika klabu yake ya Manchester United.

So endelea tu kukariri kuwa sababu rahisi wako alikuwa Msomi wa fani flani, so ni marufuku kufanikiwa katika biashara.

NOTE:

Every successful Man must not have only one plan rather than others towards suitable goals development achievement.
 
Jinga hasa wewe,basi unafananisha na ndege? Angani kuna vituo vya kubebea watu?
Aisee kumbe pale Julius Nyerere International Airport kuna nyani na sokwe ila siyo Watu?

Ni mtizamo tu maana ninavyofahamu viwanjani huwa kuna mahali pa abiria wa ndege kukaa kusubiri ndege itue, ipakie abiria na isepe, ingawa pia papo ambapo wageni hupumzika wakisubiria kuwapokea ndugu, rafiki na jamaa zao.

Basi ukishanielewa utanijibu vyema Mkuu wala usipaniki maana huo ni mtizamo wangu tu.
 
JIWE alishatangaza kuwa SERIKALI haipati HASARA.

- CHA MUHIMU NI SIFA TU KWA JIWE.

#ViWonder
Aisee hilo profile lako nimelipenda bure jinsi unavyoonesha inavyopasa Mwanamke akunyenyekee katika maadili bora, siyo kama wale wanaowapigia magoti chini ili wawavalishe pete.
 
Ndege siyo kama basi. Inabidi walipie uwanja, mafuta, wahudumu, vyakula na usafi kwenye ndege ambavyo vinafanywa na viwanja wanakotua. Hesabu ni kiasi gani wanapoteza?
Tusiwe tunaongea kisiasa, tuongee kiuchumi. Kwenda Uganda kutoka Dar hailipi sababu wafanyabiashara wengi hawachukui mzigo kule na ujue hakuna shughuli zaidi na watu wenye uhusiano na uganda wapo kanda ya Ziwa. Wangetumia ndege ndogo ya kubeba abiria hata hamsini au less than that kama tunavyotumia Auric sababu ile haipati hasara.
Wazo zuri sana
 
Wasipoangalia hli shirika litarudi lilikotoka mapema sana..

Kiongozi wa hii nchi hana tofauti na baba anaechukua pesa na kwenda kununua suti na vitu vya dhamani ili tu washkaji zake wamuone anazo wakati nyumbani watoto wanashindia uji wa chumvi..ujinga ujinga tu!
Kama kuna ukweli vile?
 
Jaman hata kama kweli hatumpendi jiwe basi tupende hata vyetu, hio ATC sio ya jiwe ni ya Tanzania ndio maana haijaandikwa pale Air Jiwe, imeandikwa Air Tanzania,,liwalo na liwe awe amekaa madarakan miaka 5,10, ama hata 50 but siku moja ataondoka na kuziacha hizi jasho zetu..tweet hii ni uongo uliopitiliza, ndege zs nchini kwetu zinazoenda entebbe ni mbili, ikiwa ni PW na ATC, siku zoote ndege ya kwanza kuja ni ATC, tena normally unakuta 2 days before departure its fully booked, u can even confirm this online just check wherever ur, ndio ndege iende entebbe with 6 pass????
Bongo bahati mbaya kuzaliwa sisi tunaojielewa Mpendwa.
 
Hizi ni changamoto za biashara japokuwa ni ngumu kutoa maamuzi kwa kutumia flight moja.Je ni kila siku hakuna wateja au ni siku hiyo tuu?Na jee ilivyokua inarudi Entebe Kilimanjaro, hali ilikua hivyo hivyo?

Niliwahi kushuhudia Egypt Air Airbus 320 from Cairo to DSM ikiwa na abiria 20.

So hizi ni changamoto na ninaamini wahusika wakiona route hailipi wataifuta au kupunguza idadi ya safari kama KQ walivyofanya route ya NBO to New York.
Mjumbe kumbuka haya ni makampuni ambayo tayar yalishakuwa Long Plan, na kufanya Feasibiltu Study....

lakin kwa sisi angalia namna tulivyorudi kwenye hii industry kwa mkurupuko, ww unafikilia what culd happened?
 
Back
Top Bottom