Ramon Abbas
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 1,964
- 3,913
Mezea bwana. Sio Klini kabisaKuna watu wanaita Meko , Meko halafu hawamjui mzee Meko mwenyewe yupo hapo juu..
๐ ๐ ๐ Wazee wenzangu msioneshe chuneni kimya
We unajuaje kama hawafanyi hivyo?View attachment 1873685
Kama hii timu unaijua yote basi ushakuwa mtu mzima sana na hivyo nguvu za mwili za kupambana na corona zimepungua
Nitakushangaa ukiendelea kudanganywa na vitoto vya mwaka 2000 hebu kimbia wahi chanjo acha ujinga.
Mzungu angekuwa na nia mbaya na wewe basi angekuulia kwenye njia nyingine kama kukuwekea virusi vya ukimwi kwenye condom ama vyovyote vile maana 90% ya maisha yetu kiafya tunamtegemea yeye
Mapungo bonge la striker [emoji3][emoji3]Kipepe, mapung'o, madenge...