MESSI AMETWAA UFUNGAJI BORA SPAIN.
RONALDO AMETWAA UFUNGAJI BORA ULAYA.
MESSI ANA MAGOLI 45 MSIMU HUU.
RONALDO ANA MAGOLI 44 MSIMU HUU.
TIMU YA TAIFA VIPI?
MPE MESSI BALLON d'Or.
MIMI NAMPA CR7 BALLON d'Or.
TUSUBIRI TUONE ANATAKAYE PEWA BALLON d'Or
1.Mafanikio binafsi ya mchezaji katika msimu husika,mfano:idadi ya upachikaji magoli na msaada wake katika timu.mpaka Leo sijajua ni vigezo gan wanavyotumia kumpa mchezaji tuzo hiyo.
kama kuna raia anajua naomba anieleweshe
Naona anajitoa ufahamu nimempa na vigezo vingine vya kiuchezaji ata kwenye man to man battle kwenye vigezo christiano anapotea kwa Messimkuu unalolisema unalijua au, messi ni mfungaji bora laliga na ni mfungaji bora ulaya (the big five league) na atachukua pichichi na golden shoe. ronaldo ni mfungaji bora wa uefa champions league
ok sawa1.Mafanikio binafsi ya mchezaji katika msimu husika,mfano:idadi ya upachikaji magoli na msaada wake katika timu.
2.Mafanikio ya club katik Msimu husika,mfano:vikombe walivyoshinda.
BlackPanther namwita MESSI kwa jina la KIROBOTO si kwamba nimemtukana, La Hasha! Bali ni jina lake la utani yaani, "LA PULGA". Usinielewe vibaya mkuu.
Bale ni Mzuri ila Ni Injury Prone.Majeraha yamemrudisha sana nyuma.Ni yaheri hata kupewa Sadio Mane kuliko yeye.Mechi 1 tu amefanya Timu inyanyue kwapa basi apewe tuzo Jamani..!!UMLINGANISHE BALE NA RONALDO?
BALE KAFANYA NINI KTK UEFA?
KUFUNGA FINAL GOAL NDO AMEKUWA BORA KULIKO RONALDO?
BALE ANA MAGOLI MANGAPI YA EUFA?
BALE ANA MAGOLI MANGAPI LA LIGA?
AMEFANYA NINI TIMU YA TAIFA?
NI MFUNGAJI BORA WA MWEZI? NI MFUNGAJI BORA WA EUFA?
AMENG'ARA KTK MECHI NGAPI ZA UEFA?
ANA TUZO YOYOTE MSIMU HUU?
{UNACHEKESHA SANA}